Connecting the Dots: Waziri Mpango na Dotto James(MoF)

Connecting the Dots: Waziri Mpango na Dotto James(MoF)

Kua ndugu si tatizo swala kuitumikia nchi kwa weledi na mpaka sasa hakuna shida zaidi ya vijimaneno tu
Tatizo conflicts of interests ndo maana mashirika makubwa ndugu huruhusiwi kufanya kazi pamoja
 
JPM kuchaguwa watu wa karibu yake siyo kitu cha ajabu, mwangalie Trump, Boris Johnson, na hata wale vichwa ngumu kama kina Museveni na yule wa Eq Guinea...
Hata wale marais wetu wa awamu zilizopita,, kuanzia chief of staff mpaka mpaka mfagia uwanja Ikulu, lazima wawe watu wa karibu na boss..
 
Back
Top Bottom