Connecting the Dots: Waziri Mpango na Dotto James(MoF)

Connecting the Dots: Waziri Mpango na Dotto James(MoF)

sasa mnashangaa nini hata kama wangekuwa ndugu wa kuzaliwa? Hamshangai wakurugenzi wa halmashauri, manispaa na majiji ni ma-kada wa ccm wasio na uzoefu wa wanachokifanya sasa? wameachwa watendaji wanaofaa ktk kazi hizo!
 
Kua ndugu si tatizo swala kuitumikia nchi kwa weledi na mpaka sasa hakuna shida zaidi ya vijimaneno tu
 
Kwa hyo alitaka aweke maadui wake wamfanyie kazi?eti swahiba

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
 
Kamanda mimi sitaki kubisha sana, ukweli ndiyo huo jamaa kwao ni Kilosa kwa babu na bibi
Kilosa alitokea Mustafa mkulo ambaye alikuwa Waziri chini ya serikali ya awamu ya nne, pengine mchangia mada alikosea.
 
Najaribu kufungua jicho la tatu ila sijaona dots
 
Je wanaqualification za nafas zao au hawana?kama wanazo wana haki kama Watanzania wengine...kama hawana ndio hoja..
 
Back
Top Bottom