tueur de lion
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 902
- 782
Ukiangalia vizuri utagundua ukabila upo na hapa Uchwara ndiyo kaupalilia haswa.Yaani typical Tanzanian arguing for nothing!!!!! Kereuuwiiii tunerogwa na nani? Alishakufagaeeee?
Mhe Waziri anatokea Morogoro na Katibu Mkuu anatokea Mwanza kama sikosei hakuna undugu wowote.
Kama hujui kaa kimya,hiyo morogoro ulimpeleka ww au?? Mwezi uliopita tu hapo TBC walirusha kipindi waziri yupo kijijini kwao kigoma huko,wana nchi wanamweleza kero za umeme,ww unadai kwao Moro!!
Huyu sisonje ni mkabila sana lisu alimchana live nilifurahi sana,tangu akiwa Waziri alianzisha ukabila kwa kugawa nyumba za serikali kwa ditto na kimwana wake,eti mniombee watanzania,utaombewa na maruhani na sii binadamu halisi mfyuuuuuSio jambo la kushangaza kwa awamu hii ya 5. Tutegemee vioja vingi sana mpaka 2020.
SawaKwani makabila hawaoleani (intermarriages)?
Watu hawajui lolote ila wako mbele tu kuuficha ukweli, iyo morogoro sijui ndo asili ya nyanya ake??Kama hujui kaa kimya,hiyo morogoro ulimpeleka ww au?? Mwezi uliopita tu hapo TBC walirusha kipindi waziri yupo kijijini kwao kigoma huko,wana nchi wanamweleza kero za umeme,ww unadai kwao Moro!!
Of course, ni km wewe ulivyomteua mama wako awe mpishi wako mkuuTrump alimteuwa mkwe wake kuwa mshauri wa Marekani, kamteuwa mtoto wake kuwa mshauri wake,
Kama wametimiza vingezo sioni kama kuna tatizo...
Hahahahah umeandika usichokijua ....nakushauri achana na huo uzushiHawa ni wateule wa Rais Magufuli, ila kuna taarifa zinazodai kuwa wawili hawa (Ndg. Dotto James ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Waziri Philip Mpango ambaye ni Waziri wa Fedha) ni ndugu na wote ni maswahiba wa 'mkuu wa kaya'.
Endapo tetesi hizi zina ukweli, tutarajie nini?
Kwa wanaowafahamu wawili hawa, tafadhali tusaidie kujua mbivu na mbichi.
na hiyo ndo point wanayotumia viongozi hawa wa ccm kuwajaza ndugu na watoto zao BOT, iv ww hauoni hapo kna conflict of interest?,wewe unadhani hawawezi kufanya maamuzi kwa interest zao au ya uko watokako?,serikali za afrika zimepoteza kabisa nguvu kazi hasa vijana wenye vision na creativity,vichwani wamejaza michezo ya ajabu km betting na upuuzi mwingine, kijana embu fungua bas iyo akili ,usituaibishe kwa ubashite wak,araaaaaaa
Unafananishwa marekani na Tanzania? Ujiulizi kwa nini trump kashindwa ondoa Obama care? Kwa nini watu wa chama chake walimpinga? Hapa bongo inawezekana kupinga mawazo ya kiongozi wako? Ndio maana watu wanataka mfumo haswa katiba maana hata ukivunja katiba kuna kipindi utatoka kwenye madaraka sheria itakubana tu angalia wakina chiluba baada ya kutoka kwenye madaraka sheria imechukua mkondo sio hivi kusewa baadhi ya viongozi hawaruhusiwi kupelekwa mahakamani wakistaafu hivyo mtu akipiga mishe anapitisha kwa muheshiwa kupoteza nguvu za kisheriaTrump alimteuwa mkwe wake kuwa mshauri wa Marekani, kamteuwa mtoto wake kuwa mshauri wake,
Kama wametimiza vingezo sioni kama kuna tatizo...
Mpango hatokei Morogoro. Anatoka Kigoma. Mkuu, wazazi walitokea Kigoma. Yeye alizaliwa Bukoba. Mama akaolewa na mume mwingine. Baba wa kambo ni msukuma aliyehamia Chato.Mhe Waziri anatokea Morogoro na Katibu Mkuu anatokea Mwanza kama sikosei hakuna undugu wowote.
Ndiyo maana kapewa kitengo.Mpango hatokei Morogoro. Anatoka Kigoma. Mkuu, wazazi walitokea Kigoma. Yeye alizaliwa Bukoba. Mama akaolewa na mume mwingine. Baba wa kambo ni msukuma aliyehamia Chato.
Hivi kama hujui kitu mpaka utokee hadharani kuwaonesha watuMhe Waziri anatokea Morogoro na Katibu Mkuu anatokea Mwanza kama sikosei hakuna undugu wowote.