Ex Spy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2007
- 213
- 1,726
Hawa ni wateule wa Rais Magufuli, ila kuna taarifa zinazodai kuwa wawili hawa (Ndg. Dotto James ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Waziri Philip Mpango ambaye ni Waziri wa Fedha) ni ndugu na wote ni maswahiba wa 'mkuu wa kaya'.
Endapo tetesi hizi zina ukweli, tutarajie nini?
Kwa wanaowafahamu wawili hawa, tafadhali tusaidie kujua mbivu na mbichi.
Endapo tetesi hizi zina ukweli, tutarajie nini?
Kwa wanaowafahamu wawili hawa, tafadhali tusaidie kujua mbivu na mbichi.