CONGO: Msafara wa Kamanda wa Operesheni za kijeshi wilayani Beni washambuliwa na mwanajeshi mmoja auawa papo hapo

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,224
Msafara wa kamanda wa Operesheni za kijeshi wilayani Beni nchini DRC umeshambuliwa na mwanajeshi mmoja amefariki papo hapo.

Vikosi vya Tanzania Bado vina Pambana Bado hakuna Taarifa zaidi askari aliyefariki ni wa Wapi?
TPDF UNFIB Goma.jpg



Chanzo ITV.
 
BREAKINGNEWS:Msafara wa kamanda wa Operesheni za kijeshi wilayani Beni nchini DRC umeshambuliwa na mwanajeshi mmoja amefariki papo hapo.

Vikosi vya Tanzania Bado vina Pambana Bado hakuna Taarifa zaidi askari aliyefariki ni wa Wapi?
View attachment 612023


Chanzo ITV.
Huko Beni si ndipo ulisema JWTZ wamevamia? Ukaandika kipropaganda zaidi. Sasa unaongea kama unajiumauma.

Ungesema tu “kikosi cha kulinda amani nchini Congo, kinaendelea na UN mission kwenye operation huko msitu wa Beni” pia ungeeleweka.

Sasa ulisema JWTZ walivamia, lakini hujui mwanajeshi aliyekufa ni wa wapi
 
What kind of peace keeping mission is this. Peace keeping pande zinazopigana kwanza lazima ziridhie truce, na askari wa kulinda amani lengo Lao sio kufyatua zao.

Sasa iwapo kila siku ni ambush tu bora wawarudishe vijana nyumbani au wachague upande wa kusaidia kuliko kuwaanika watoto wa watu unguarded na kuishia kushambuliwa tu.
 
Sasa imetosha ni lazima nguvu nyingi itumike kurudisha heshima na kuwaenzi mashujaa wetu!
Mashujaa wetu wanamalizwa! Kila baada ya siku kadhaa shujaa anapotezwa!sasa hawa mashujaa wakiisha sijui tutabaki na akina nani tutakaowategemea!! Kweli shujaa wa kweli bado hajazaliwa!
 
Mwenzenu napatwa na hasira sana dhidi ya Rwanda na Uganda kila naposikia habari za mashambulizi na vifo kwa askari wetu huko mashariki mwa DRC
 
Back
Top Bottom