James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,112
- 13,340
Ni siku ya huzuni kila ninaposikia askari wa Tz amekufa angali akipigana, halafu wengine humu vitu visivyoeleweka.Mwenzenu napatwa na hasira sana dhidi ya Rwanda na Uganda kila naposikia habari za mashambulizi na vifo kwa askari wetu huko mashariki mwa DRC