CONGO: Msafara wa Kamanda wa Operesheni za kijeshi wilayani Beni washambuliwa na mwanajeshi mmoja auawa papo hapo

Ifike mahali kama tunashambuliwa na UN wanasema tusijibu mashambulizi kwa kisingizio tunalinda amani sasa ni Amani ya namna gani tunayoilinda nadhani ni wakati muafaka wachague mambo mawili 1.Wakitushambulia ktk ngome zetu nasi tujibu kwa nguvu zetu zote na vifaa vya kitaalamu wapewe 2. Kama sivyo mzee Mabeyo mshauri mkuu wetu wa nchi jeshi letu lirudi nyumbani .Inauma unaposikia kila siku askari wetu anauawa pasipo na kosa kwa sasa tuseme HAPANA
 
Mashujaa wetu wanamalizwa! Kila baada ya siku kadhaa shujaa anapotezwa!sasa hawa mashujaa wakiisha sijui tutabaki na akina nani tutakaowategemea!! Kweli shujaa wa kweli bado hajazaliwa!
Nenda nawe uwe shujaa hahaha. Tatizo kama UN hawaruhusiwi kupigana wenyewe wanaenda kutenganisha sehemu zinazopigana. Wakianza kupigana ina maana wanasaidia upande mmoja. Hawa waTanzania wapo kule kwa kivuli cha UN au wanamsaidia Kabila?
 
Kwa teknolojia ya dunia ya Leo unataka kwenda muona muasi physically. Sasa UN wanashindwa weka surveillance drones ili kujua movement za waasi? Au magumashi inagharimu maisha ya vijana

Hii Vita itaisha baada ya Madini yote kuisha Congo
 
Nenda nawe uwe shujaa hahaha. Tatizo kama UN hawaruhusiwi kupigana wenyewe wanaenda kutenganisha sehemu zinazopigana. Wakianza kupigana ina maana wanasaidia upande mmoja. Hawa waTanzania wapo kule kwa kivuli cha UN au wanamsaidia Kabila?
Wapo upande wa UN, kwani mimi nimesema nini kilichokukwaza ndugu?mbona umenikejeli?
 
Hivi ' Wanajeshi ' wa Kike / Wanawake ambao nao huwa huko katika hizo ' Missions ' majukumu yao haswa huwa ni yapi / yepi? Nitashukuru sana nikijibiwa ila nami niweze ' Kumshawishi ' Mpenzi wangu ambaye pia ni ' Mchumba ' wangu ajiunge na ' Ujeda ' awe kama hao Wenzake.
Majukumu yao ni kubeba silaha na kupambana sambamba na wenzao wa kiume. Kwa hiyo kama unataka kumshawishi mchumba wako ajiunge huko, uwe tayari pia kumpoteza.
 
Nenda nawe uwe shujaa hahaha. Tatizo kama UN hawaruhusiwi kupigana wenyewe wanaenda kutenganisha sehemu zinazopigana. Wakianza kupigana ina maana wanasaidia upande mmoja. Hawa waTanzania wapo kule kwa kivuli cha UN au wanamsaidia Kabila?
Hapana sheria ilishabadilishwa na kikosi chetu cha JWTZ kinaruhusiwa kupigana na ndio maana tulimfukuza M23 kwa kumpiga.

Ila kumbuka hatupo peke yetu kuna sout africa, angola na wengineo wengi tu.
 
Majukumu yao ni kubeba silaha na kupambana sambamba na wenzao wa kiume. Kwa hiyo kama unataka kumshawishi mchumba wako ajiunge huko, uwe tayari pia kumpoteza.

Mkuu una uhakika 100% kabisa na haya majibu yako dhidi ya ' Majukumu ' makubwa wa Wajeda wa Kike Kimedani?
 
Hao ndo wanaume sasa ,wako kazini
Sio wanaume wa Dar wanagombania siti za mwendokasi wakati dada zao tunasimama hadi gerezani
Sasa mnataka ninyi mpishwe siti kama nani? Na msipogombania waendelee kuwapigisha kalijombwe hivyo hivyo. Eti dada zo mnasimama hadi gerezani, linapokuja suala la siti ndiyo mnakumbuka kuwa ninyi ni dada zao!!!
 
These troops now they have a special mandate to fight back if they are attacked, or if they are threatened. Immediately.
Who gave them such mandate?is it anywhere in their obligation to fight the fighters of any side affiliated? Or to protect themselves against whoever tends to fight them?
 
mjomba wale sio askari wa peace keeping, ila ni peace enforce, kwahy wanarusiwa kushambulia sio mpaka washambuliwe
You are probably right lakini hii mission imekuwa kichaa labda ndio maana kila wakati muda wake unaongezwa, however kama utasoma MONUSCO mandate UN peace keepers pamoja na kuwa na jukumu la kufanya neutralization they also have a role of providing military policing kwenye jamii and in that environment you are just like a sitting a duck kwa sababu you have to be more friendly than aggressive na ndio katika mazingira haya wanakula ambush.

Binafsi nadhani stability ya Congo by now ilitakiwa kuwa jukumu la vyombo vyao vya ulinzi if they cant reach that far let Kagame annex that part as he wishes, it is their problem not ours.

Na kama tumeamua kusaidia ni bora tupelekee polisi wetu na vyombo vyetu vya ulinzi kuwafundisha wakongo jinsi ya kulinda mipaka yao na kuwapa uwezo kila siku wapigane wenyewe in a capacity building role.

Lakini kuendelea kufanya kazi kwa taratibu za UN sidhani kama kutakuwa na matunda anytime soon Congolese dont seem very much interested ya kujenga military capability maraisi wao wamejikita kujikinga ndani ya Kinshasa tu kujilinda wenyewe why should other parts of that nation be of our interest.

Vijana warudishwe nyumbani kama mkakati wa kuisaidia Congo sio wetu, hao wanaozitaka resources zao ndio watandikane upande waulinzi na uasi wenyewe, maana wakongo hawako serious kuilinda hiyo sehemu bila ya msaada wa kimataifa.
 
Back
Top Bottom