asante kwa stori rafiki....Rafiki skiza hii hadithi.
Baba mmoja alikuwa akisafiri kwa punda akiwa na mwanae.
Akampandisha mwanae yeye akatembea kwa miguu, watu wakasema anamdekeza mtoto
Akaamua kumpanda punda mtoto atembee, wakasema anamdekeza mtoto
Akaamua kupanda yeye na mtoto, wakasema anamfanyia punda ukatili,
Akaamua yeye na mwanae watembee bila kupanda punda, watu wakasema hajui matumizi ya punda.
MORAL: Ishi maisha yako, maana hata ufanyeje huwezi kumridhisha kila mtu.
angetuonea kama angetulaumu....So sad!
Alaf mkewe angeweza kuwa lahumu akidhani mlikuwa mnajua kazi yake! Na hapa marafiki ndipo wana pata lawama maana anaweza kudhani lazima mlikuwa mnafahamu kabisa!
Na ni kawaida ya binadamu huwa tuna jitahidi tuonekane wema kwa watu wetu wa karibu!
watu wanadhani ukiwa na tabia njema huwezi ku-influence watu wakufwate ila ukiwa na tabia mbaya, lol!Kufuata watu ni tabia mbaya!
Kwa nini wewe usifuatwe badala ya kufuata wengine?????
Mi ni rafiki mzuri sana wa mabaamedi. Watu wakamfuata my wife wakamwambia mmeo hana adabu anakudhalilisha kwa kushikanashikana na wahudumu. Hao watu waliomwambia ni wake wa marafiki zangu.... Wakati wake wa marafiki zangu wakimcheka mai wife maskini hawajui heri yangu mie nayetaniana na wahudumu kuliko waume zao wanaowamega mazima! Mpaka mmoja wa marafiki alipoletewa mtoto nyumbani na kutelekezewa ndipo walipofunguka akili.asante kwa stori rafiki....
kweli kabisa niishi maisha yangu, maana binadamu bwana hawatabiriki
Wenye afya hawamuhitaji daktari, bali wagonjwa.watu wanadhani ukiwa na tabia njema huwezi ku-influence watu wakufwate ila ukiwa na tabia mbaya, lol!
kumbe mistari inashuka mkwe?Wenye afya hawamuhitaji daktari, bali wagonjwa.
Sikuja Kuwaita watu wema bali wenye dhambi ili wapate kutubu: Sousi: Jesus Of Nazareth
eti hata mbayuwayu anawashinda, lol!Mi ni rafiki mzuri sana wa mabaamedi. Watu wakamfuata my wife wakamwambia mmeo hana adabu anakudhalilisha kwa kushikanashikana na wahudumu. Hao watu waliomwambia ni wake wa marafiki zangu.... Wakati wake wa marafiki zangu wakimcheka mai wife maskini hawajui heri yangu mie nayetaniana na wahudumu kuliko waume zao wanaowamega mazima! Mpaka mmoja wa marafiki alipoletewa mtoto nyumbani na kutelekezewa ndipo walipofunguka akili.
Kwa kifupi ni kuwa, Akili za kuambiwa changanya na zako. Sousi: JK
Jamani hata mbayuwayu anawashinda?
Si unajua tena, mi ni mtu wa upendo? Nikamwambia tu wife kuwa yule jamaa ilikuwa bahati mbaya ila mi na mabaamedi ni tabia yangu. Na yeye akachanganya na zake.....:nono::nono:eti hata mbayuwayu anawashinda, lol!
hapo pa kupelekewa mtoto mume ambaye anaonekana "ana tabia njema" ndo patamu.
na wewe ungemwambia wife akampe pole mkewe kwa kupigwa changa la macho
Kama siyo kukutana na huyu malkia mama Matesha wangu, hivi sasa labda ningekuwa Paroko Ambrozi wa shirika la Damu Takatifu.kumbe mistari inashuka mkwe?
hapo sasa wale wanaosema sijui ndege gani haruki na ndege gani sijui haya maandiko hawayajuwi!
hapo kwenye uigaji hapo.....Rafiki FP
Mimi naona chamsingi ni mtu mwenyewe kujitambua na siyo kuiga kila unaloliona yako mazuri yakuiga na mabaya yakuacha,
ukiwa kama mtu mzima ninaamini utayaiga yale mazuri na kuyaacha yale mabaya. Ila shida inakuja pale ambap mtu anashindwa kumantilisha lipi baya na lipi zuri haswaa kwa kutaka kuonekana na yeye anayajua hayo toka kitambo.
Labda niseme sio kwamba ukiwa na rafiki wenye tabia mbaya na wewe utakuwa na tabia hizo, ila kinacho waponza watu wengi ni uigaji usio walazima.
ha haaa, rafiki naona ulijisemesha ili u-gain confidence, lol!Si unajua tena, mi ni mtu wa upendo? Nikamwambia tu wife kuwa yule jamaa ilikuwa bahati mbaya ila mi na mabaamedi ni tabia yangu. Na yeye akachanganya na zake.....:nono::nono:
he he heeeee, ndo mnavyotudanganya, lol!Kama siyo kukutana na huyu malkia mama Matesha wangu, hivi sasa labda ningekuwa Paroko Ambrozi wa shirika la Damu Takatifu.
hapo kwenye uigaji hapo.....
inawezekana kabisa wewe hujaiga na wala huna mpango wa kuiga tabia hiyo mbaya, lakini watu kwa vile wanakuona unaambatana na huyo wanayedhani ana tabia mbaya wanajiamulia tu na wewe kukuingiza kwenye sufuria moja
Jamani tumesalimika ndugu zangu?
Nina hili jambo huwa naliwaza sana na labda sielewi kwa nini watu wengi wana mtazamo tofauti na ninavyoamini mimi...
Ni hili swala la marafiki wa kuambatana nao (hapa naongelea marafiki wa kawaida tu na siyo wapenzi).
Watu wengi wanasisitiza sana watu wasiambatane na marafiki wenye tabia "mbaya" kwa sababu wanazozijua wao. na hili limenichanganya zaidi baada ya kulisikia jana kwa mtu ambaye sikutegemea angewaza hivi.
Mimi naamini unaweza kuwa na marafiki wenye hizo tabia na wewe usiwe/usiige hizo tabia zao.
Labda mimi sielewi mtu mzima unawezaje kuwa influenced na tabia ya mtu mwingine ambayo unaona siyo nzuri?
NOTE: HII NAONGELEA WATU WAZIMA AMBAO WANAJUA KUTOFAUTISHA JEMA NA BAYA, TUSIHUSISHE WATOTO KATIKA MJADALA HUU
Hahahahah, kaaazi kweli kweli.
Eti "ukikaa na mtu mwenye pesa kwa vyovyote nawe utakuja pata pesa".