Confusion ya Marafiki, Please help!

Confusion ya Marafiki, Please help!

Rafiki definition ya "Tabia mbaya" ni pana mno na ina differ kati ya watu na watu. Kwa mfano kuna watu wengine watakwambia Mama XYZ ana tabia mbaya sana, "Yule mama anaweza kwenda Bar na wanawake wenzake na wakakaa na kunywa bia zao." Hapa tabia mbaya ya Mama XYZ ni kwenda bar bila kufuatana na mumewe. Wengine wanaweza kukwambia yule Mama ABC ana tabia mbaya sana, "Anapenda kuva nguo za kisichana wakati ameshakuwa mtu mzima. Lazima atakuwa mhuni yule" Hapa tabia mbaya ya Mama ABC ni kuvaa nguo fupi juu ya magoti, kaptula, vimini, skin tight etc. Kumbe hizo nguo anazovaa mumewe ndiyo anapenda avae hivyo kutokana na umbo la mkewe basi yeye haoni tatizo la mkewe kupendeza.

Mama mwingine katika jitihada za kuongeza kipato anaweza kabisa kuwa anajiuza kwa namna anayoijua yeye ambayo si ajabu watu wengi wamemshtukia. Sasa Mama kama huyu kuambatana naye katika macho ya jamii ni kujiharibia reputation. Inawezekana kabisa muhusika anafuatana na mama huyu hajui tabia yake ya kujiuza lakini machoni jamii wote wanaonekana lao moja na si ajabu mama huyu akijua tabia ya rafiki yake anaweza kabisa kumuepuka.

Watu wengine wana ile tabia ya "Don't care attitude" hata kama jamii iliyowazunguka inasema fulani ana tabia mbaya na yeye anazijua kabisa tabia za huyu rafiki yake kwamba ni mbaya ali mradi kuna mambo ambayo wanaelewana basi anatia pamba masikioni na kuendelea na urafiki wao bila kujali jamii inayowazunguka inasemaje kuhusu hao marafiki kuwa na "tabia mbaya"

Marafiki wengine wanaweza kabisa kuwashawishi marafiki zao waachane na hizo "tabia mbaya" zao bila masharti yoyote yale na huku urafiki ukiendelea bila dosari yoyote ile.

Hebu fafanua hizi "tabia mbaya" unazozizungumzia hapa ni zipi? Ukiziweka hata mbili tatu utasaidia sana katika mjadala huu.

Sayonara Rafiki.
rafiki ulikuwa wapi siku zote hizi ukatunyima mchango wako mzuri? asante sana kwa mchango.
kama ulivyosema tabia mbaya zinatofautiana, zipo nyingi na mtu mwingine anaweza kuona hii ni tabia mbaya na mwingine aone wala siyo. mimi nilikuwa naongelea yoyote ile, hata hizo ulizozisema. point yangu hapa ni kwa nini watu wakufikirie na wewe una/utaiga tabia ambayo huyo rafikiyo anayo kisa tu ni rafiki yako?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Yes kuna baadhi ya tabia nzuri nafafana nazo toka kwa marafiki zangu, ndugu best tabia inaambukiza uwe mtoto, mtu mzima hata mzee tabia ni tabia tu wewe angalia watu waliooana wakikaa kwa muda mrefu ndani ya ndoa yao tabia zao uambukizana na ulingana, na vilevile ushabihiana kabisa na kuwa kitu kimoja, hivyo best tabia huambukiza iyo ni true kabisa nenda kwa wanasaikolojisti watakwambia kuhusu TABIA jinsi inavyoambukiza kwa mwingine.

na huo nilitoa ni mfano tu kama mtu anatabia mbaya na yule rafikiye naye itamuambukiza tu lakini kama atakuwa na tabia nzuri na rafiki yake itamuambukiza tu hivyo ndivyo ilivyo
ladyfurahia, hapa kumbuka tunaongelea watu wazima na si watoto.
yaani wewe kama siyo mwizi umekuwa mtu mzima utakuwa mwizi sababu una rafiki mwizi?
labda nikuulize wewe na rafiki zako wote mnafanana tabia? hata zile nzuri tu
 
Yes kuna baadhi ya tabia nzuri nafafana nazo toka kwa marafiki zangu, ndugu best tabia inaambukiza uwe mtoto, mtu mzima hata mzee tabia ni tabia tu wewe angalia watu waliooana wakikaa kwa muda mrefu ndani ya ndoa yao tabia zao uambukizana na ulingana, na vilevile ushabihiana kabisa na kuwa kitu kimoja, hivyo best tabia huambukiza iyo ni true kabisa nenda kwa wanasaikolojisti watakwambia kuhusu TABIA jinsi inavyoambukiza kwa mwingine.

na huo nilitoa ni mfano tu kama mtu anatabia mbaya na yule rafikiye naye itamuambukiza tu lakini kama atakuwa na tabia nzuri na rafiki yake itamuambukiza tu hivyo ndivyo ilivyo
yaani hapa nahitaji husyo mwana saikolojia aje anieleweshe kivipi naweza kuibuka na tabia ya mwingine...
napenda kupingana sana tu na hoja yako ya kusema watu wakikaa pamoja hufanana tabia....
nimeona wana ndoa wengi tu watu wazima sana ambapo baba anakunywa, mama hanywi au kinyume chake.... baba anatembea sana huko nje ya ndoa wakati mama ni mtulivu sana.....
kuna tabia ambazo kweli wanaigana, na hizi mara nyingi zinakuwa nzuri, utakuta wanaongea sawa, wanacheka sawa, na vitu vidogo vya hivyo
 
acha nikuitie watu8, na Filipo wakueleweshe vizuri kwani wao kidogo wana ufahamu mzuri zaidi yangu ila mm nafahamu mkikaa kwa muda mrefu katika ndoa baadhi ya tabia mnashabihiana na sio zote kama unavyofikiri
yaani hapa nahitaji husyo mwana saikolojia aje anieleweshe kivipi naweza kuibuka na tabia ya mwingine...
napenda kupingana sana tu na hoja yako ya kusema watu wakikaa pamoja hufanana tabia....
nimeona wana ndoa wengi tu watu wazima sana ambapo baba anakunywa, mama hanywi au kinyume chake.... baba anatembea sana huko nje ya ndoa wakati mama ni mtulivu sana.....
kuna tabia ambazo kweli wanaigana, na hizi mara nyingi zinakuwa nzuri, utakuta wanaongea sawa, wanacheka sawa, na vitu vidogo vya hivyo
 
Last edited by a moderator:
acha nikuitie watu8, na Filipo wakueleweshe vizuri kwani wao kidogo wana ufahamu mzuri zaidi yangu ila mm nafahamu mkikaa kwa muda mrefu katika ndoa baadhi ya tabia mnashabihiana na sio zote kama unavyofikiri
sawa rafiki, ngoja niwasubiri wanipe hilo somo, lol!
 
Kuwa mtu mzima si kipimio cha maamuz.,kujua jema au baya sio kipimio cha maamuz.,unaweza ingia ndan zaid na kujiuliza jema ni nin au baya ni nin,mitazamo hii imepelekea watu hawa wanaoitwa wazima kuwa miongoni mwa waaribifu kwa kuhalalisha mambo kutokana na mitazamo yao..kuwa rafiki mbaya au mzuri si kipimo cha maamuzi.,akili hupimwa kwa upeo wa chaguz na sio ukubwa(umri).,binadam anasadikiwa kuwa kiumbe mwenye akili na utashi ulimwengun lakin ni kiumbe dhaifu na mwaribifu.,ni rahis kutumbukia katika uovu ila nivigumu kwenda katika wema inahitaji utambuzi..huwa nafikiri sana kuna-force inayokizana na dunia na upande wa pili wa existence katika maisha ya binadamu katika wema na uovu and the power to choose..
 
nakusubiri mtani.....
ila soma vizuri hoja zangu kabla hujaleta hizo saikolojia zako, sawa mtani?

Hapo awali nilitoa comment yangu kwa kifupi tu kuwa, "nguo uivaayo ndio ikutambulishayo".
Labda tuanzie hapa, ni nini maana ya neno tabia. Tabia ni mtiririko wa matendo na mazoea ambayo hufanywa na kiumbe hai (akiwemo mwanadamu) au hata vitu visivyo na uhai kwa uhusiano na mazingira.
Kwa kifupi ni kwamba kisaikolojia, tabia ina asili ya kuambukiza kulingana na mazingira ambayo humzunguka mtu. Pamoja na hilo, haimaanishi kwamba ni lazima kwa kiumbe fulani(mwanadamu) kubadilika tu tabia yake kulingana na watu ajengao nao urafiki.
Muda mwingine tabia ni mazoea ambayo mtu huweza kujijengea na ubongo wake kukubali hivyo.
 
Hapo awali nilitoa comment yangu kwa kifupi tu kuwa, "nguo uivaayo ndio ikutambulishayo".
Labda tuanzie hapa, ni nini maana ya neno tabia. Tabia ni mtiririko wa matendo na mazoea ambayo hufanywa na kiumbe hai (akiwemo mwanadamu) au hata vitu visivyo na uhai kwa uhusiano na mazingira.
Kwa kifupi ni kwamba kisaikolojia, tabia ina asili ya kuambukiza kulingana na mazingira ambayo humzunguka mtu. Pamoja na hilo, haimaanishi kwamba ni lazima kwa kiumbe fulani(mwanadamu) kubadilika tu tabia yake kulingana na watu ajengao nao urafiki.
Muda mwingine tabia ni mazoea ambayo mtu huweza kujijengea na ubongo wake kukubali hivyo.
hapa nakubaliana na wewe kwa asilimia mia, thank you mwana saikolojia
 
Kuwa mtu mzima si kipimio cha maamuz.,kujua jema au baya sio kipimio cha maamuz.,unaweza ingia ndan zaid na kujiuliza jema ni nin au baya ni nin,mitazamo hii imepelekea watu hawa wanaoitwa wazima kuwa miongoni mwa waaribifu kwa kuhalalisha mambo kutokana na mitazamo yao..kuwa rafiki mbaya au mzuri si kipimo cha maamuzi.,akili hupimwa kwa upeo wa chaguz na sio ukubwa(umri).,binadam anasadikiwa kuwa kiumbe mwenye akili na utashi ulimwengun lakin ni kiumbe dhaifu na mwaribifu.,ni rahis kutumbukia katika uovu ila nivigumu kwenda katika wema inahitaji utambuzi..huwa nafikiri sana kuna-force inayokizana na dunia na upande wa pili wa existence katika maisha ya binadamu katika wema na uovu and the power to choose..
sina uhakika kama nimekuelewa vizuri,
hata hivyo asante kwa post
 
Nadhani hakuna shida kwa mtu mzima anejua mema na mabaya unless kama malezi yake yalikuwa ni ya geti kali au mtoto wa mama kwa lugha zetu za uswahili kwamba pamoja na above 18 years bado mzazi alimlea kama mtoto kwa kumwekea masharti magumu (watu kama hao mara nyingi pindi anapoanza maisha hata kama ana 25+ wengi wao hutetereka.

Lakini kwa ujumla ni sawa kabisa ukawa na rafiki ambae tabia zake kwa watu wengi zinaonekana si njema sana kwani hata kama mtu awe na tabia mbaya namna gani kuna watu ambao katika jamii anawaamini na kuwasikiliza hivyo kikubwa ni kuangalia wapi mna match na sifa kuu ta binadamu ni kubadilika hivyo mtu hawezi kutoka kwenye tabia mbaya kama hana marafiki wenye mienendo mizuri ya kimaisha (kuna tabia zingine kidogo inabidi kuwa makini ama kusepa kabisa mfano unajua jamaa ni mtu anaechukua vitu vya wenzake usiku kwa lazima bila idhini (jambazi) alafu unakuwa nae close, hapa utata kidogo japo huwezi iga lakini atakutia hatiani sometimes)
 
Hahaha mtani mie si mwana saikolojia...nimeeleza kulingana na uwezo tu wa ufahamu wangu...
asante kwa kushare nasi huo utaalamu mtani
nakusubiri kule kwa "small boy", lol!
 
Nadhani hakuna shida kwa mtu mzima anejua mema na mabaya unless kama malezi yake yalikuwa ni ya geti kali au mtoto wa mama kwa lugha zetu za uswahili kwamba pamoja na above 18 years bado mzazi alimlea kama mtoto kwa kumwekea masharti magumu (watu kama hao mara nyingi pindi anapoanza maisha hata kama ana 25+ wengi wao hutetereka.

Lakini kwa ujumla ni sawa kabisa ukawa na rafiki ambae tabia zake kwa watu wengi zinaonekana si njema sana kwani hata kama mtu awe na tabia mbaya namna gani kuna watu ambao katika jamii anawaamini na kuwasikiliza hivyo kikubwa ni kuangalia wapi mna match na sifa kuu ta binadamu ni kubadilika hivyo mtu hawezi kutoka kwenye tabia mbaya kama hana marafiki wenye mienendo mizuri ya kimaisha (kuna tabia zingine kidogo inabidi kuwa makini ama kusepa kabisa mfano unajua jamaa ni mtu anaechukua vitu vya wenzake usiku kwa lazima bila idhini (jambazi) alafu unakuwa nae close, hapa utata kidogo japo huwezi iga lakini atakutia hatiani sometimes)
asante sana kwa mchango huu
 
Nani mwenye mamlaka ya kuamua kuwa hii ni tabia mbaya na hii ni nzuri? Mimi nadhani ni wewe mwenyewe. Pili marafiki hawaji kwa bahati mbaya lazima kuna kitu mnaendana na kama wewe ni mbinafsi basi kuna kitu unatafuta toka kwao ndiyo maana wanakuwa marafiki zako.
Tatizo ni kwamba anayekuwa anajua ukweli huo ni wewe
mwenyewe na watu wengine wanakuwa hawajui kwanini fulani ni rafiki yako na wanaanza kutumia vigezo vyao na kumwita huyu mzuri na yule mbaya. Binafsi nasema fuata utaratibu wako na kwa post zako hapa JF unaonaekana wewe ni mtu mzima yaani above 25. Kila la kheri
Ebana jamaa wenye kuamua nin tabia mbaya au la sio kitu kimoja tu ni muunganiko wa vitu vingi mfano jamii,imani ya dini, culture en traditions etc na mwishoni wewe mwenyewe...usitake kusema eti ni wewe mwenyewe irrespective ya umri ndo unaamua maana ktk jamii ya kiafrika ushoga ni kama laana lkn kwa wazungu ni fresh so staki amin eto mim nikiona ushoga fresh eti inakua kufany ushoga sio kitu kizuri mwishoni nafsi yako inasema kwmb nachofanya ni kibaya etc....over...
 
Ebana jamaa wenye kuamua nin tabia mbaya au la sio kitu kimoja tu ni muunganiko wa vitu vingi mfano jamii,imani ya dini, culture en traditions etc na mwishoni wewe mwenyewe...usitake kusema eti ni wewe mwenyewe irrespective ya umri ndo unaamua maana ktk jamii ya kiafrika ushoga ni kama laana lkn kwa wazungu ni fresh so staki amin eto mim nikiona ushoga fresh eti inakua kufany ushoga sio kitu kizuri mwishoni nafsi yako inasema kwmb nachofanya ni kibaya etc....over...
Thank you.....
 
Back
Top Bottom