Confirmed: Tcu selection

Confirmed: Tcu selection

Wadau,

TCU selection kwa vyuo vyote itatoka baada ya 25 mwezi huu, maana kwa sasa majina ya waliochaguliwa yamepelekwa kwa vyuo husika ili wayapitie, then watayarudisha majina hayo kwa TCU tarehe 25 mwezi huu, na TCU watafanya final approval na kuyatangaza mwisho wa mwezi huu.

Chanzo: Gazeti la Citizen la leo. TCU to release list of successful candidates soon - National - thecitizen.co.tz

Nimekasoma hako kahabari na nimekaelewa kwa urefu wangu.. Sasa naanza kua na wasiwasi na Airtel Yatosha kutokana na maelezo ya Mh kutoka Tcu
 
kumbe ww ni bwegee kila thread kazi yako kubishana na watu.! unajifanya unajua kumbe kichwa chako unafugia nywelee na ndevuu, badilika bila hivyo utapakatwaaa mjini hapaaa kilazaaa wewee! Lete fact watu tukuelewe, hiyo habari imechanganyaa watu wengi humu jf watu wana maswali kuhucu hio habarii, ---- ww unaboa!!

Kama uelewa wako ni kama wa kondoo lazma uchanganyikiwe,,lazm nikuboe kma unataka nkufrahishe panua paja uliwe utam...nyambaf...
 
kuna uwezekano wale wa airtel yatosha wakakutwa wamebadilishiwa course ktk afficial results za TCU kwani kuna vyuo vitawatema,mfano kuna jamaa alipata III.15pnts kupitia airtel yatosha kakuta amepangiwa UDSM,Mechanical engnearing.Maybe UDSM kwa sasa but kuna kitu ka hicho cha kubadilishiwa course,so wale wa yatosha..........!!!!!!!!!!!!!tetesi

airtel wajiandae kupokea mitusi tuu
 
Back
Top Bottom