Confirmed: Tcu selection

Confirmed: Tcu selection

wadau mnafikiliaje kwa hao watu takrabani 80,000 kukosa vyuo....???
 
Bado saana hata yakirudishwa tar25 kuna wale waliopewa mda mbaka tar30 mwezi huu jua nao wanatakiwa wapewe matokeo sawa na sisi.....kwa hilo mayb kadilia week baada ya tar30
 
me nahisi hiyo awamu ya tatu ni kwaajili ya hao 8,000 au wadau mnaonaje.....
 
Hiyo nayo neno........................kep on waiting....,:fish: like this guys.
 
Watu walishapata mpaka joining instructions hasa kwa inservice wengine bado mnasubiria selections.
 
Lets wait every thing right now is like tale stories of grandpa...this guys sumtymz ar'nt accurate..::::waiting::::
 
hawa tcu wala hawaaminiki kabisa, leo wanasema hiki kesho kile, wala mwisho wa kuaaply jun30, july30, aug30, mpaka watasema oct30. Approval kitu gan wakati airtel washavujisha?! Shame upon you tcu.
 
hawa tcu wala hawaaminiki kabisa, leo wanasema hiki kesho kile, wala mwisho wa kuaaply jun30, july30, aug30, mpaka watasema oct30. Approval kitu gan wakati airtel washavujisha?! Shame upon you tcu.

Aseee wabongo hamsaidiki...unapewa updated infomations at the right time still unaleta ligi...aya wewe tupe bas tarehe zako zenye usahihi....
 
mapritenda wakubwa hao tcu, third round mwisho 30aug, alafu approval 25aug, does it bring sense? Itakuwaje kwa watakaoapply 30aug? Let us be great thinkers, this is a drama and tcu are acting untittled movie.
 
Tusichanganyane hapa, vyuo vingine vimeshatoa majina hii imekaa vipi wadau?
hebu tutulize akili tutafakari haya matukio,mi binafsi niko confused
 
Back
Top Bottom