Confessions: Nilimfukuza kaka yangu kichawi

Confessions: Nilimfukuza kaka yangu kichawi

Mkuu LIKUD nakumbuka last time uliazimia asifike kwenye harusi yako kabisa ulifanikiwa?

yeah nilifanikiwa kaka.Angekuja kuniabishisha tu . Coz alivyo jiweka,hafanani kabisa na mimi wala any member of our family. Maadui wa familia yetu wanamchukulia yeye kama kielelezo cha familia yetu. Mfano ukikutana na jamaa, lets say hata hapo Mlimani City,he be like " Yule braza ako,juzi alikuwa sehemu fulani hivi,alifanya hiki,hiki hiki and bla bla bla...Ni aibu kumtambuilisha kwa watu kamandugu yako.
 
yeah nilifanikiwa kaka.Angekuja kuniabishisha tu . Coz alivyo jiweka,hafanani kabisa na mimi wala any member of our family. Maadui wa familia yetu wanamchukulia yeye kama kielelezo cha familia yetu. Mfano ukikutana na jamaa, lets say hata hapo Mlimani City,he be like " Yule braza ako,juzi alikuwa sehemu fulani hivi,alifanya hiki,hiki hiki and bla bla bla...Ni aibu kumtambuilisha kwa watu kamandugu yako.

Nilikaa muda wa kama wiki tatu nikifikiria situation yako mkuu ila inaonekana wewe upo very sensitive sana, sasa mkuu kwa mfano angekua shoga ungefanyaje? Halafu kwani mkuu huyu bro wako ina maana hamna jinsi yoyote mpaka afukuzwe home
 
Nilikaa muda wa kama wiki tatu nikifikiria situation yako mkuu ila inaonekana wewe upo very sensitive sana, sasa mkuu kwa mfano angekua shoga ungefanyaje? Halafu kwani mkuu huyu bro wako ina maana hamna jinsi yoyote mpaka afukuzwe home

Kulikuwa na alternative mbili, apotezwe gerezani au afukuzwe.Ya kufukzuwa ndo nimeona inamfaa.Na gerezani nisinge mpeleka mimi, coz kila siku zinaletwa kesi, ingekuwa ni ishu ya kutomuwekea dhamana, na kumuacha aozee segerea.
 
"Ukifanyiwa uchawi huu, utaondoka kwenu na kwenda mahali utakapo pachagua wewe. Hutorudi tena nyumbani kwenu.Hutopakumbuka nyumbani kwenu ukiwa unaishi. Utakumbuka nyumbani kwenu siku utakayo kua kaburini..."

Jamaa vp isee sijaelewa hapo "utakumbukaje kwenu ukiwa kaburini"
 
Mbona hueleweki ndugu? Hii unayoita confession ni ya aina gani? Kwa kawaida confession huambatana na kuhitaji msaada lakini wewe ulichokifanya ni kujisifu kwa kitendo chako kibaya cha kumroga ndugu yako wa damu kwa kumpoteza na kuharibu ufahamu, sijafamu viwango vyako vya utakatifu mbele za Mungu aliyekuumba na kumuumba huyo ndugu yako unayemwita kero ktk familia yenu, mtumishi wa Mungu Daudi alisema kupitia kitabu cha ZABURI nanukuu KAMA MUNGU ANGEHESABU MAKOSA YETU NI NANI ANGESIMAMA?
 
Mbona hueleweki ndugu? Hii unayoita confession ni ya aina gani? Kwa kawaida confession huambatana na kuhitaji msaada lakini wewe ulichokifanya ni kujisifu kwa kitendo chako kibaya cha kumroga ndugu yako wa damu kwa kumpoteza na kuharibu ufahamu, sijafamu viwango vyako vya utakatifu mbele za Mungu aliyekuumba na kumuumba huyo ndugu yako unayemwita kero ktk familia yenu, mtumishi wa Mungu Daudi alisema kupitia kitabu cha ZABURI nanukuu KAMA MUNGU ANGEHESABU MAKOSA YETU NI NANI ANGESIMAMA?
 
Promo at work!!!!! Ungefanya hivyo hata usingejitangaza ingekuwa kimya kimya!!!
 
Ww kweli nyoko nyoko square wenzetu mafreemason wanatumia uchawi kujitajirisha ww unamfukuza nduguyo ww nyoko nyoko square.

Ayaaaaa hata mm nilikuwa na kaka wa baba mkubwa yeye pombe tuu na wanawake akirudi home ugomvi na jiran anampiga mwenye nyumba ya jirani ndo ilikuwa styme yake kwasababu alikuwa mbabe na akinywa ubabe unazidi alikuwa anachukiwa nakila mtu sasa basi kilichofanyika Baba ake akamfanyia mambo ya kichawi huko kwao leo hii huu mwaka wa tisa katulia na ameshaoa kawa mtu mwema kaacha pombe siku akikimbuka hata chupa mbili hamalizi anaacha.

Wewe nyoko sana yaaani nyoko square baada utafute suluhu unakimbia tatizo kwa kumfukuzisha nduguyo kwao alipozaliwa
 
Kama ni kweli wewe ni mshirika wa Shetani. Tubu kwa sababu Mungu amekukataa. Baada ya kutubu kwa dhati mwombe Mungu amrudishe ndugu yako vinginevyo mtakutana kwenye moto wa milele.
 
Kwani nini maana ya CONFESSION? Nilifikiri unajutia kosa la kumfukuza tena kwa ushirikina kumbe unajivunia! UMECHEMKA MBAYA Mkuu!
 
Aisee!
Hii dunia ina watu wa ajabu duuuh!

Inaelekea mambo yako yote yanaendeshwa na uchawi,
Si ungemfukuza tu kuliko kumfanyia hivyo?
Aisee, una roho mbaya mno doh!
 
We LIKUD si kila mtu analogwa kwa Sunka, huku uziguani washanitupia sana ulozi kama huo na ukadunda mpaka sahizi wamekuwa wapole.
So naimani huyo brother yako huko aliko pengine mambo yake yamemnyokea na ipo siku atarudi tu nyumbani.
Watu wa ukanda wa pwani especially hawa wazigua wapo too primitive. Mtoto akienda mbali kutafuta maisha wanamfanyia dawa arudi nyumbani. Huu ni upuuzi.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom