mlokole halisi
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 268
- 87
Nimekuelewa unajipigia promo ya biashara kistaarabu,
Hongera, watakuja wengi we subiri tu!
home of great thinkers......nimekubali
Nimekuelewa unajipigia promo ya biashara kistaarabu,
Hongera, watakuja wengi we subiri tu!
LIKUD,
Kitu kinachinishangaza, kwa jinsi ulivyoandika naona huo uchawi wa Kiafrika upo katika kuharibu tu na si kutengeneza, kwanini usimroge akasahau "ulevi wa pombe kali za kienyeji, uvutaji wa bangi ulio kithiri na kujiunga kwenye makundi ya fujo na vurugu."?
Ingekuwa umetengeneza badala yake wewe umemroga akimbie na kusahau kwao. Au ndiyo uchawwi Kiafrika hautengenezi unabomoa tu? au ndipo uwezo wako wa kufikiri uliishia hapo kwa wakati huo?
Inasikitisha sana.
It was not about him,it was about my family. I wanted to make my family happy. Alikuwa tatizo, so nikaamua kumtatua.Its moe or less the same as what Adolf Hitler did to the jews.He found that they were a problem to German and Europe.So he exterminated them. Do u get my point!!!
Kwa kuamua kumfukuza kiuchawi kwa pombe zake, bangi zake na makundi yake, inaonessha wewe ulikuwa huchukii hayo yale bali ulikuwa unamchukia yeye binafsi.
Ungekuwa unampenda nduguyo basi ungefanya kila njia aachane na hayo yake kwa kuyafukuza hayo yake badala ya kumfukuza yeye.
Binaadam huwa tuna kasoro zetu lakini tunatakiwa kukabiliana na hizo kasoro na kuzipunguza mpaka ziondoke kabisa na si kuzizidisha hizo kasoro.
Kulikuwa kuna urithi?
sasa hili ni swali, hoja, maoni, tangazo la biashara au nini?
Waliowafanya vibaya ndug zao hawa kubak salaama mtazame kaini mtazame yusuf tobaya kwel nikumtafta umuombe mshaha.utaish
he was pombe,bangi and vurugu himself.
Hiyo ni tafsiri yako. Na naamini ni ya kichawi na kishetani zaidi.
Swali langu la mwisho hujalijibu, inanitia mashaka.