LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,349
- 36,317
- Thread starter
- #101
"Ukifanyiwa uchawi huu, utaondoka kwenu na kwenda mahali utakapo pachagua wewe. Hutorudi tena nyumbani kwenu.Hutopakumbuka nyumbani kwenu ukiwa unaishi. Utakumbuka nyumbani kwenu siku utakayo kua kaburini..."
Jamaa vp isee sijaelewa hapo "utakumbukaje kwenu ukiwa kaburini"
maana yake ni kwamba, hutopakumbuka tena kwenu.