Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,228
- 13,448
Ungeweza kutumia uchawi wa yeye kuacha kuliko ulivyofanya unafikiri utaishi kwa amani leo utaona sawa ipo siku utajuta sana
Yesu akaambiwa, ' Mama yako na ndugu zako wanakusubiri hapo nje ". Yesu akawajibu "Ndugu zangu ni wale wanao nipenda na kufuata maagizo yangu ".Hata Mungu anawapenda wanao mpenda
Swala la kuwa kama msukule hujalikwepa; maana ata saiz ni hajitambui na akili yake imeshikwa ndio maana hawezi kukumbuka yeye ni nani na kwao wapi.
Ulichomfanya umemfanya msukule ndugu yako.Sio jambo zuri kufanya.Kama ulishindwa kumsaidia ungempeleka kwa wanasaikolojia au viongozi wa dini.Ukishindwa muache awe huru kama hawezi kumuona akiwa hivyo basi ungehama wewe ukiwa na akili yako.
Ulichofanya ni unyama na unapaswa ujionee huruma wewe mwenyew
Wewe huna agizo wala agano, ndugu yako ni wa damu.
luka 6:32 Mkiwapenda wanaowapenda ninyi mna thawabu gani? Maana hata wenye dhambi huwapenda wenye dhambi wenzao.
33.Mkiwafanyia mema wale wawatendeao mema mwaonyesha fadhila gani? Maana hata wenye dhambi hutenda mema wakitarajia kurudishiwa mema.
busara hainunuliwiwe mpuuzi kinachokufanya uchanganye na kiingereza nini?au tujue umeenda shule.au ndo umekuja leo kutoka usa
Wajibu? ivi mtoto wako unaweza kumfanyia hivyo? au ulimweleza mzazi wakua unaenda kufanya hivyo? Halifai lakini lina pumbaza,sidhani kama alikua 100% mbaya kama unavyo fikiria wewe,na wala wewe sidhani kama ni mzuri 100% ikiwa wewe damu yake umeshindwa kumstahmilia dhiki zake utaweza kumstahmilia mwengine siutamuua kabisa? anyway haya tuishie hapa nisije nikapitiliza nikakukwaza....Amen!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! But me nimetimiza wajibu wangu...Jamaa alikuwa threat kweli kweli. Analeta ulevi wa kingese..unaenda kuwanywea watu, kila siku kesi, shida inakuwa kwa maza.... Tukimtumia maza mkwanja,anaenda kumtishia na mapanga apewe hela ,anachukua hela kwa nguvu anaenda kulewa.Na maza wetu ni mjane sasa hivi..Anahitaji kupata faraja kutoka kw watoto wake..Kitu gani kinamstahili hayawani kama huyu?HE IS 33 YEARS OLD!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wajibu? ivi mtoto wako unaweza kumfanyia hivyo? au ulimweleza mzazi wakua unaenda kufanya hivyo? Halifai lakini lina pumbaza,sidhani kama alikua 100% mbaya kama unavyo fikiria wewe,na wala wewe sidhani kama ni mzuri 100% ikiwa wewe damu yake umeshindwa kumstahmilia dhiki zake utaweza kumstahmilia mwengine siutamuua kabisa? anyway haya tuishie hapa nisije nikapitiliza nikakukwaza....
What is confession?
Nilimfukuza kichawi lakini........................