zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Kidoka, kinauma uspme! Mm hata cna mwez mpnz wng' alipadlka sana nikajarbu kumbembeleza aniambie tatzo ni nn! Akaniambia hana hisia tena na mm, nilijihc kama nme fiwa vile, roho ili niuma sana, mpaka sasa bado sijaweza kusahau najuta kupenda, some broken heart never mend
Kidoka, kinauma uspme! Mm hata cna mwez mpnz wng' alipadlka sana nikajarbu kumbembeleza aniambie tatzo ni nn! Akaniambia hana hisia tena na mm, nilijihc kama nme fiwa vile, roho ili niuma sana, mpaka sasa bado sijaweza kusahau najuta kupenda, some broken heart never mend
.......Mimi sijawahi kupigwa kibuti....
......endelea mwnzangu ili tujifunze kutoka kwako maumivu ya kibuti tupate uzoefu kidogo....
Dogo kumbe bado hujakua,
Weweee kibosho forget hiyo bana aah, sasa kwann usisahau mpaka leo au ulitemwa juzi, tatizo watu mna over estimate mkiwa kwa relationships zenu ndo hapo mkitemwa wengine mpaka mnaanza kuwaza suicide, kuwa mguu mmoja ndani mwngne nje, every broken heart mends take it from me ni wewe mwenyewe utavoamua, pole lkn
.......Mimi sijawahi kupigwa kibuti....
......endelea mwnzangu ili tujifunze kutoka kwako maumivu ya kibuti tupate uzoefu kidogo....
dah, umenikumbusha miaka ile naanza mapenzi.
Yaani, huwa nikikutana naye siku hizi kule kijijini Sitimbi, hana hamu.