Filipo JF-Expert Member Jan 6, 2011 9,342 5,536 Dec 10, 2012 #121 Vin Diesel said: Kweli huyu sweetlady hajapona...... Click to expand... kwani sweetlady alikuwa anaumwa? Nimepishana nae njia ya Loitoktok anaelekea Engutatii wala hakuonesha ugonjwa? Labda nitonye kamgusa mahali! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Vin Diesel said: Kweli huyu sweetlady hajapona...... Click to expand... kwani sweetlady alikuwa anaumwa? Nimepishana nae njia ya Loitoktok anaelekea Engutatii wala hakuonesha ugonjwa? Labda nitonye kamgusa mahali!
sweetlady JF-Expert Member Dec 24, 2010 16,947 8,409 Dec 10, 2012 #122 Filipo said: kwani sweetlady alikuwa anaumwa? Nimepishana nae njia ya Loitoktok anaelekea Engutatii wala hakuonesha ugonjwa? Labda nitonye kamgusa mahali! Click to expand... Sazingine nakupendaga manake unakuwaga na maakili sana! Mwaaa! Mwaaa! Mwaaa! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Filipo said: kwani sweetlady alikuwa anaumwa? Nimepishana nae njia ya Loitoktok anaelekea Engutatii wala hakuonesha ugonjwa? Labda nitonye kamgusa mahali! Click to expand... Sazingine nakupendaga manake unakuwaga na maakili sana! Mwaaa! Mwaaa! Mwaaa!
Filipo JF-Expert Member Jan 6, 2011 9,342 5,536 Dec 10, 2012 #123 sweetlady said: Sazingine nakupendaga manake unakuwaga na maakili sana! Mwaaa! Mwaaa! Mwaaa! Click to expand... sema sasa wewe ndo unachangajaga habari. Hizo busu ungenipiga kwa rangi nyeupe!!?
sweetlady said: Sazingine nakupendaga manake unakuwaga na maakili sana! Mwaaa! Mwaaa! Mwaaa! Click to expand... sema sasa wewe ndo unachangajaga habari. Hizo busu ungenipiga kwa rangi nyeupe!!?
Vin Diesel JF-Expert Member Mar 1, 2011 9,088 6,368 Dec 11, 2012 #124 Filipo said: kwani sweetlady alikuwa anaumwa? Nimepishana nae njia ya Loitoktok anaelekea Engutatii wala hakuonesha ugonjwa? Labda nitonye kamgusa mahali! Click to expand... Tunaeamka nae ndio twajua ugonjwa wake.....
Filipo said: kwani sweetlady alikuwa anaumwa? Nimepishana nae njia ya Loitoktok anaelekea Engutatii wala hakuonesha ugonjwa? Labda nitonye kamgusa mahali! Click to expand... Tunaeamka nae ndio twajua ugonjwa wake.....
Filipo JF-Expert Member Jan 6, 2011 9,342 5,536 Dec 11, 2012 #125 Vin Diesel said: Tunaeamka nae ndio twajua ugonjwa wake..... Click to expand... hah hah hah hah! Amka na BBC....!
Vin Diesel said: Tunaeamka nae ndio twajua ugonjwa wake..... Click to expand... hah hah hah hah! Amka na BBC....!
Vin Diesel JF-Expert Member Mar 1, 2011 9,088 6,368 Dec 11, 2012 #126 Filipo said: hah hah hah hah! Amka na BBC....! Click to expand... Amka na sweetlady ndio utajua habari yake.....ha ha ha Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Filipo said: hah hah hah hah! Amka na BBC....! Click to expand... Amka na sweetlady ndio utajua habari yake.....ha ha ha
Filipo JF-Expert Member Jan 6, 2011 9,342 5,536 Dec 11, 2012 #127 Vin Diesel said: Amka na sweetlady ndio utajua habari yake.....ha ha ha Click to expand... kweli mimi bado mgeni sana humu! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Vin Diesel said: Amka na sweetlady ndio utajua habari yake.....ha ha ha Click to expand... kweli mimi bado mgeni sana humu!
Vin Diesel JF-Expert Member Mar 1, 2011 9,088 6,368 Dec 11, 2012 #128 Filipo said: kweli mimi bado mgeni sana humu! Click to expand... Taratibu sasa....mwendo wako huo utakuponza
Filipo said: kweli mimi bado mgeni sana humu! Click to expand... Taratibu sasa....mwendo wako huo utakuponza