Mi nishazoea mwaya.
Hata leo nimepigwa chengine, and life goes on...
Come on darling,embu sogea pembeni tuyamalize,pale nilipitiwa na shaitwani tu.
Come on darling,embu sogea pembeni tuyamalize,pale nilipitiwa na shaitwani tu.
nalipa nini.
Yaani atakuwa alikusahau the moment umetoka kwenye uso wake. Demand ya sweetlady iko juu sana, kabla hujamdiss kuna applications kama mia pending, anaitisha file tu. Your loss baba, i promise you
.......Mimi sijawahi kupigwa kibuti....
......endelea mwnzangu ili tujifunze kutoka kwako maumivu ya kibuti tupate uzoefu kidogo....
Hahahahahaha! Mimi nimempiga kibuti Vin Diesel sijui anajisikiaje ! Filipo nikikukamata we hayaMimi nimempiga kibuti sweetlady. Sijui anajisikiaje! Kamata, tupa kule!! Hah hah hah hah!