Confession: Nimefanya sana umalaya, sasa basi

Confession: Nimefanya sana umalaya, sasa basi

Naona umekurupuka na kuanza kutoa mapovu bila hata kuelewa mtiririko wa huu uzi. Hapa kuna threads mbili zimeunganishwa; moja ndiyo ilielezea mapito niliyopitia na kuelezea nia yangu ya kubailika na kuwa kiumbe kipya; ya pili ni ya mrejeshoi wa wapi nimefikia katika mabadiliko yangu. Wewe mwenyewe ni mzinifu na mchafu kama ulivyoshuhudia katika comment hii, ila umeni judge fasta fasta!! Binadamu sisi ni viumbe wa ajabu sana! Hebu tulia vizuri uangalie mtiririko wa huu uzi na kuuelewa halafu uje tena ewe mtakatifu kedekede
Neemababy,haya nenda kanisani ukaombewe!si unataka hivyo?once a thief always a thief!
 
Neemababy,haya nenda kanisani ukaombewe!si unataka hivyo?once a thief always a thief!
Naona umekurupuka na kuanza kutoa mapovu bila hata kuelewa mtiririko wa huu uzi. Hapa kuna threads mbili zimeunganishwa; moja ndiyo ilielezea mapito niliyopitia na kuelezea nia yangu ya kubailika na kuwa kiumbe kipya; ya pili ni ya mrejeshoi wa wapi nimefikia katika mabadiliko yangu. Wewe mwenyewe ni mzinifu na mchafu kama ulivyoshuhudia katika comment hii, ila umeni judge fasta fasta!! Binadamu sisi ni viumbe wa ajabu sana! Hebu tulia vizuri uangalie mtiririko wa huu uzi na kuuelewa halafu uje tena ewe mtakatifu kedekede
tatizo ilikuwa kupenda pesa?kwa nini ulianza ukiwa 9?u disgust me!
 
tatizo ilikuwa kupenda pesa?kwa nini ulianza ukiwa 9?u disgust me!
Tazama ya kale yote yamepita, na sasa yamekuwa mapya. Hayo yalikuwa ni mapito yangu, na kila siku napiga magoti nikisali kumuomba Mwenyezi Mungu nisirudi huko. Na ninashukuru sana kwa kuwa kila siku nakaza mwendo nikisonga mbele. Heri yako wewe ulie "mtakatifu" kedekede
 
Tazama ya kale yote yamepita, na sasa yamekuwa mapya. Hayo yalikuwa ni mapito yangu, na kila siku napiga magoti nikisali kumuomba Mwenyezi Mungu nisirudi huko. Na ninashukuru sana kwa kuwa kila siku nakaza mwendo nikisonga mbele. Heri yako wewe ulie "mtakatifu" kedekede
mimi sio mtakatifu and am not taking this personal,kuna umri wa kutojua what one is doing,innocent age (9-17) hyo ni rape,and u never reported it kwa sababu ulikuwa unataka umaarufu!ulikusudia!mimi nafanya makosa mengi hadi sasa lakini yako sio makosa Neemababy,ni maamuzi ya umly,huyo jmaa hawezi kukutosheleza maana mpaka fivesome umefanya?go act porn movies now u got enough experience!repeating a mistake is a decision!
 
Ahsante sana kwa matusi yako. Unanitukana kiasi hicho kwa vile tuu mimi nimesema ukweli na kuelezea haya mapito yangu, je unajua story za huyo mkeo uliyemuoa? Unajua mapito yake? Naona povu limekutoka kweli kweli; unafikiri watu wote wana uelewa finyu kama wewe? Kwa taarifa yako sasa, mtu niliyenaye nimemueleza mapito yote haya niliyopitia na amekubali kuwa na mimi na kunikubali kama nilivyo na mapito yote niliyopitia. Unavyonitukana mimi hapa, je weweni mtakatifu? Mara ngapi umezini huko gizani? Mara ngapi umefanya uchafu gizani?
SAnyways, ubarikiwe sana wewe ulie mtakatifu kedekede
Mpendwa, huyu uliye nae sasa mmeoana?
 
mimi sio mtakatifu and am not taking this personal,kuna umri wa kutojua what one is doing,innocent age (9-17) hyo ni rape,and u never reported it kwa sababu ulikuwa unataka umaarufu!ulikusudia!mimi nafanya makosa mengi hadi sasa lakini yako sio makosa Neemababy,ni maamuzi ya umly,huyo jmaa hawezi kukutosheleza maana mpaka fivesome umefanya?go act porn movies now u got enough experience!repeating a mistake is a decision!
Nashukuru Mungu kuwa yeye hawazi kama binadamu, ndio maana muda wowote ukitaka kutubu milango iko wazi, na wala haangalii idadi ya dhambi au ukubwa wa dhambi ulizozitenda!! Maana binadamu ni wepesi sana wa kufanya judgement na kukuona kuwa hufai katika jamii, na kwamba huwezi kubadilika!!
Anyways, nachukulia maneno yako kama changamoto ya kunifanya niendelee kukaza mwendo na kamwe nisirudi nyuma kama nilivyosema awali. Wewe endelea kuamini kuwa siwezi kubadilika, kwamba wanaoweza kubadilika ni watu waliofanya dhambi za aina fulani tuu, endelea kuamini hivyo hivyo!! Heri yako mtakatifu kedekede
 
walikuingiza kila tundu la mwili wako so hata puani na masikioni dushelele zilipita
 
Neemababy kitendo cha kuconfess...umeshajikomboa kuna watu wamefanya ushenzi we cha mtoto
 
Neemababy ukipata mwanaume wa kukuoa kwa kuwa muwaz ivo usisite kutupa mrejesho. Kwel hapa duniani kuna wanaume majasir kweli.
 
Ulichokisema ni sawa na kuweka nadhili au kiapo kwa Mungu, sasa ole wako urudie tena !!!!
 
Hongera kwa kuamua kubadili maisha to the positive ways. [emoji120]

Let me ask you something, ukija kupata mtu akakupenda na akawa tayari kuwa na wewe maishani utamwambia hiyo PAST yako kama ilivyo? [emoji848]
 
Najutia yote hayo na mengine mengi machafu niliyofanya. Naamini bado naweza kuwa mke mwema
Daaaah.... Dada Mungu akuhurumie sana dhambi zako, kama umeamuwa kuachana na hizo tabiya basi unaweza kuacha, maana nakumbuka kisa cha mama mmoja aliyefanya ukahaba kwa miaka 12 baadae alitubu na kumludia Mungu na akawa mtu mwema tu, ila Muombe sana Mungu.
 
Ukitaka kubadilika kweli kwanza angalia marafiki wako wanaokuzunguka kwa sasa wakoje? Imani yako kwa sasa iko je na umepanga kukua namna gani kiimani? Kama umeamua kweli sema uko wapi ili uunganishwe na watoa huduma ambao watakusaidia kunadilika Moja kwa moja. Bila ya kufanyiwa huduma ya kufunguliwa itakuwa kazi bure. Behevior change is possible.
 
Mrudie Mungu kwa Imani yako, hakuna aliyekamilika duniani na vizuri kuwa you have done your reflection and you have seen where you went wrong.
Kiukweli wanawake wengi waliofanikiwa kimaisha wametumika sana. Nalisema hili nikiwa na uhakika kwa lile nilisemalo. Chunguza kwa wale unaowafahamu ndo utajua ukweli.
 
Ila mtoa mada nina hofu na nia yako ya kubadilika..."You are in your late 20's...unataka kuwa mke na mama wa watoto"

Kwangu mimi hii si nia tosha ya kuacha tabia yoyote mbaya...! Tafuta sababu stronger than those.
.
.
.
Jiangalie kwenye kioo jiulize, "WHY DO I REALLY WANT TO CHANGE?"
 
Ukitaka kubadilika kweli kwanza angalia marafiki wako wanaokuzunguka kwa sasa wakoje? Imani yako kwa sasa iko je na umepanga kukua namna gani kiimani? Kama umeamua kweli sema uko wapi ili uunganishwe na watoa huduma ambao watakusaidia kunadilika Moja kwa moja. Bila ya kufanyiwa huduma ya kufunguliwa itakuwa kazi bure. Behevior change is possible.
Amen. Ahsante sana mpendwa. Tayri nilishaianza safari ya mabadiliko tangu mwezi April na sasa namshukuru sana Mungu nimesonga mbele kwa kiasi kikubwa, na bado nakaza mwendo, safari inaendelea nsekwa
 
Ila mtoa mada nina hofu na nia yako ya kubadilika..."You are in your late 20's...unataka kuwa mke na mama wa watoto"

Kwangu mimi hii si nia tosha ya kuacha tabia yoyote mbaya...! Tafuta sababu stronger than those.
.
.
.
Jiangalie kwenye kioo jiulize, "WHY DO I REALLY WANT TO CHANGE?"
Ondoa hofu mpendwa. Tayari niko kwenye mabadiliko tangu mwezi April, na safari inaendelea. Nilisha meditate sana kuhusu kwa nini nataka kubadilika. Mentor
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom