mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 20,455
- 36,446
Ngoja tumsaidie kupiga show...!!!
Jidanganye😆😆😆😆
Ngoja tumsaidie kupiga show...!!!
speaking from experience eeeehhh 😆 😆 😆 😆Jidanganye😆😆😆😆
Ataliweza kweli lile li model????Jidanganye![]()
Inawezekana pia😅😅😅😅speaking from experience eeeehhh 😆 😆 😆 😆
Alishaweza ndio maana amefika hapoAtaliweza kweli lile li model????
Alete watu wa system wasukumie ndani.
ila kwakuwa na wewe ni kada wa siku nyingi...sina mashaka nakauli zako.... 😆 😆 😆 😆 😆Inawezekana pia😅😅😅😅
Alishaweza ndio maana amefika hapo
Aaaah we kwenda zako .....Kwanini isiwe mapenzii
ila kwakuwa na wewe ni kada wa siku nyingi...sina mashaka nakauli zako.... 😆 😆 😆 😆 😆
kwa sisi wengine tunaamini wewe ni kijani tena kijani iliyokolea...hata ukiwekwa kwenye shamba la mboga mboga no one can tell the differency ........ 😉😉Laiti ungejua😅😅😅😅😅😅
kwa sisi wengine tunaamini wewe ni kijani tena kijani iliyokolea...hata ukiwekwa kwenye shamba la mboga mboga no one can tell the differency ........ 😉😉
Nasikia yeye ndio alikua mwenyekiti wa kamati ya harusiMangula alikuwepo?



Sidhani kama alikua anathubutu kula kwenye hivyo vikao 🤣Nasikia yeye ndio alikua mwenyekiti wa kamati ya harusi![]()
bwana wanawake wanakaziWewe Kina Kirefu wewe ...haha
Hata mm nauliza hiliMangula alikuwepo?