Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 3,240
- 16,941
Leo tar 04 Septemba 2021, kada kindakindaki wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndg Petro Magoti amefunga pingu za maisha na mchumba wake wa muda mrefu, mrembo Joyce Mvungi.
Kada huyu ambaye anafanya kama Ofisa Makao Makuu ya Chama. Alikuwa msaidizi wa karibu sana kwa aliyekuwa Katibu wa NEC, Siasa na uenezi, Ndg Humphrey Polepole.
Mkewe ni wakala wa Ulimbwende wa kampuni maarufu ya Black Fox Models Africa.
Harusi hiyo imefanyika katika viunga vya Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Tuwatakie ndoa njema na yenye furaha.
Kada huyu ambaye anafanya kama Ofisa Makao Makuu ya Chama. Alikuwa msaidizi wa karibu sana kwa aliyekuwa Katibu wa NEC, Siasa na uenezi, Ndg Humphrey Polepole.
Mkewe ni wakala wa Ulimbwende wa kampuni maarufu ya Black Fox Models Africa.
Harusi hiyo imefanyika katika viunga vya Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Tuwatakie ndoa njema na yenye furaha.