Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,786
EXECUTIVE,
Kwa vile siasa ni malengo, kwa vile CUF nguvu yake kubwa ni Zanzibar na Pemba, na hali ya kusiasa katika visiwa hivyo ilikuwa mbaya sio tuu ilitishia amani, bali imeshaletwa umagwaji damu na mpaka kutoa wakimbizi. Kwa CUF kukubali SUK ni good compromise kwa ustawi wa Zanzibar, hivyo kwa CUF Zanzibar haya ni mafanikio kuondoa siasa za uhasama na umwagaji damu, japo at the cost of kupigiwa vigora na kutekeleza sera za CCM.
Kwa vile Zanzibar, asilimia 98% ya Wazanzibari ni Waislamu, chama chochote cha siasa ili kupata ustawi Zanzibar, lazima kiwakumbatie hao 98%. Sasa kwa sababu CUF bara inakabiliwa na jinamizi la udini, CUF lazima ipate prone ya kuicheza mbele kenye gama yake ya chess, ili kuliondoa jinamizi hilo, ndivyo walivyomtumia Rwakatare, na sasa ndivyo watakavyomtumia Mtatiro bila yeye kujijua, watampa kila anachokitaka, kila cheo na vilemba vya ukoka, lakini wakati utakapofika, ndipo atakapoijua what CUF really is and what does it stand for!. Only time will tell!.
Please do not curse!