Mbona pesa za maafa Bukoba na madawati wamechangisha watu? Hata pesa za kuhamia Dodoma hakuna, pesa zilizobaki ni kwa ajili ya lipumba na kudhoofisha ukawa tu hizo zingine znabakiwa kuwa story za matumainiNdege za mapangaboi zimeletwa ili kuwahudumia wananchi wanyonge na masikini wa kitaa, wacheni ziwahudumie walalahoi na wadanganyika.
Kuna mpango na mchakato kwa kila mkoa kupatiwa ndege 2 za mapangaboi. Siri-kali hii ina fedha za kutosha, kaeni mkao wa kutumbuliwa tu. Hapana kazi tu.
Pia kuna Wastaafu waliostafu tangu April mwaka huu hawajapata mafao yao mpaka leo hii.Mbona pesa za maafa Bukoba na madawati wamechangisha watu? Hata pesa za kuhamia Dodoma hakuna, pesa zilizobaki ni kwa ajili ya lipumba na kudhoofisha ukawa tu hizo zingine znabakiwa kuwa story za matumaini
Aje huku agawe tickets za bure za kupanda Mapangaboi sio?Hatutaki!!Malaika njo huku
Comfortability unaipima kwa rangi za viti na hizo LED?! Flying na kuendesha barabara iliojaa matuta mashimo,dereva anafunga breki ghafla,kona kali unaweza kulinganisha?!Mleta mada anaulizia comfortability ya ndani sio mwendo,kama ni mwendo Mkulu alisha prove mwenyewe kuwa Bajaji ina mwendokasi kuliko hayo Mapangaboi.
Lakini ni ujinga Original (OG) kuwa na ndege inayofanana na Mbaula 682Ujinga ni kudhani ndege Lazima iwe nzuri Zaidi ya bus.
Hili bus sijawahi lionaView attachment 409423 Shabiby Luxury Coach.
Tena wakome wakomae.Hivi kwa akili zako timamu kuna malaoi anapanda ndege hapa Tanzania ambaye anaishi chini ya dola moja acheni kuwahusisha walalahoi Na Izo ndege
Na ujinga zaidi ni pale unapotaka kuwaaminisha Watanzania ndege zote ni sawa.

Hahaha ndio maana jamaa anatamani malaika washuke wazime mitandao yateDar Lux imeizidi Pangaboi kwa mbali sana tena mno,Pangaboi kwa ndani imekaa kama zile Dala Dala za Mbagala Rangi3 kwenda Chasimba na Kiburugwa.
