TUTUO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,251
- 2,035
Na ni ajabu kweli basi liizidi ndege kwa uzuriUjinga ni kudhani ndege Lazima iwe nzuri Zaidi ya bus.
Na ni ajabu kweli basi liizidi ndege kwa uzuriUjinga ni kudhani ndege Lazima iwe nzuri Zaidi ya bus.
Hatukosoi. Tunahitaji kujua kama kweli pesa iliyotumika kununua hizi ndege inaendana nayo. Iyo pesa ni kodi yetu aseeeMpeni President a chance to do his work. Na tusikosoe sana ni aibu hata kwa mataifa jirani.
Kodi yetu ndio imetumika kununua hizo ndege sio hayo mabasi. Tujifunze kujipenda na kujiheshimu.
Weka na muda kusafiri dar hadi arusha na hiyo lux.View attachment 409423 Shabiby Luxury Coach.
jamani nyie vibaya mjue ndio mkuu anawaleta malaika wafunge hii kwanza mwaka mmoja tu unatosha.Dar Lux imeizidi Pangaboi kwa mbali sana tena mno,Pangaboi kwa ndani imekaa kama zile Dala Dala za Mbagala Rangi3 kwenda Chasimba na Kiburugwa.
Umeona wapi nimetofautisha mimi. Au Wajikanyaga mwengeweKwanza bei tu,na pia hilo ni basi na hiyo ni ndege ,speep pia,nafikiri unatumia makalio kutofautisha ewe mburura
Ushaambiwa achana na speed!!Linatumia muda gani from DSM to Mwanza?
Kwangu bado air Magufuli is the best option
Soma halafu u edit although nazijua GreyhoundNdege ni ndege tuu hata iwe ya Jeshi uwezi fananisha na basi hata zile Greyhound five star bus huwezi fananisha na bus...basi dereva akifunga breki ghafla unaanza kuangalia mbele kuna nini...
Na ujinga zaidi ni pale unapotaka kuwaaminisha Watanzania ndege zote ni sawa.
Rwanda nao walianza na bombadier..hyo ndege wamenunua juzi baada ya business yao kuimarika
sisi ndio tulitakiwa tuwatangulie kwa mbali saaana sio wao watutangulie sisi ebo!!!Rwanda nao walianza na bombadier..hyo ndege wamenunua juzi baada ya business yao kuimarika
Hatukosoi. Tunahitaji kujua kama kweli pesa iliyotumika kununua hizi ndege inaendana nayo. Iyo pesa ni kodi yetu aseee
Wewe ninauhakika ni kat ya wale wasioelewa,husomi maelezo kwanza ukaelewa. Ww wakurupuka 2.Hivi kweli safari ya masaa 14 na safari ya lisaa 1 45 we unaona vina fanana?? Rudishule we mtoto
Hakuna shida!! Nipo mapangoni hapa ndani ya mlima fulani na wataalam tunatafuta namna ya kumdhibiti huyo malaika!!jamani nyie vibaya mjue ndio mkuu anawaleta malaika wafunge hii kwanza mwaka mmoja tu unatosha.
MTUI HAPO UMENENA UKWELI.Hyo ndege siyo luxury..ukitaka luxury go for the other options...ata ndege huwa zina clases...business..executive n.k
Na chuki ni kubwa sana rohoni mwa watu, na watu walijua kuwa mkulu huyu ni tofauti kiasi na waliopita kwa kutoshabikia na kutukuza vyama vyao lkn kumbe ni zaidi ya ilivyokuwa, na pia viongozi wanamwaga mafuta ktk moto unaotaka kuwaka, wanaweza kuona ni rahisi kudhibiti hali lkn ukisoma historia za nchi kama Rwanda unaogopa pale mtu anapokuwa na chuki iliyolundikana rohoniUnajua kinachowafanya viongozi washambuliwe ni chuki za watu dhidi ya chama tawala.Kama kusingekuwa na historia mbaya kati ya raia wengi na chama haya yote yasingekuwepo.Hata J P Ma asingefikiria kuomba msaada wa malaika kuja kuzipoteza JF,fb,twitter,instagram nk.
Hiyo Dar lux inapaa na kutua uwanja gani km wewe siyo mpotoshaji? Ndege na basi wapi na wapi?Dar Lux imeizidi Pangaboi kwa mbali sana tena mno,Pangaboi kwa ndani imekaa kama zile Dala Dala za Mbagala Rangi3 kwenda Chasimba na Kiburugwa.