Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
ila mwili wake kaufunika jamani.
Mhh maneno jaman dah, yako wazi namna hiyo!!!!!!!!
Mhh maneno jaman dah, yako wazi namna hiyo!!!!!!!!
Unajua he can be one of them; Lkn si unaona faida ya kongesheni, mapenzi yangu na Eiyer yana pick again!
ila mwili wake kaufunika jamani.
Oya tuheshimiane.We mtoto kelele,watu wanatubu hapa ebo!
Usitazame,nahitaji maungamo yako!
Si kweli kwamba nakufukuzia..............Labda mods waniruhusu niweke PM zako kwangu hadharani!!!!!!!!!!!!
Halafu huyu dogo huyu!Hivi charminglady yuko wapi?
Ha ha ha, mwaga mboga nimwage dona! Hata ile mipicha ya size ya ....... nitaianika. LOL