PHILE1879
JF-Expert Member
- May 6, 2013
- 645
- 483
yaani miaka hyo ulaya wapo juu africa huku walikuwa bado msituni wanawasha moto kwa kusugua mawe
Kweli kabisa.
yaani miaka hyo ulaya wapo juu africa huku walikuwa bado msituni wanawasha moto kwa kusugua mawe
jamani mambo ya disney na tifa wengine tushaota mvi humu
itachukua miaka elf kuja kuifikia ulaya wenzetu wameendelea miaka elf iliyopitaKweli kabisa.
Human right yake ilikwanguliwa kabisa na OCHOLA akabaki FLAT . !!!! Hawa jamaa vioja mahakamani sio kwamba wamekamilika kuwa ni wachekeshaji kwelikweli wa asili lakini bado vipindi vyao vinafundisha namna ya kutoa ushahidi mahakamani ninawahusudu sana ila sidhani kama wote wapo pamoja tena maana sioni clip zao mpya kwani zoote nimekwisha angalia na ninazoziona sasa hivi wale magwiji kama OLEXANDA ,ONDIEK LUKAKOTRA,ALFONCE MAKACHA DOT MAKOHA siwaoni kabisa sijui nini kimetokea.
ahahaaa hata mimi aiseeUyu jamaa namkubali kichizi nashindwaga kuelewa ile tembea yake miguu dizaini kama inafyeka nyasi kama huwa anaigiza au ndo tembea yake ya kawaida
Miaka 1000kwenye commedy iyachukua miaka 100 kutokea kama huyu
![]()
![]()
![]()
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]jamani mambo ya disney na tifa wengine tushaota mvi humu
Charlie Chaplinanaitwa nani mkuu niliona vituko vyake somewhere nikiwa nasafiri nilicheka kweli
Hapana sio bubu, ilikuwa ni stahili yake, Kuna siku alikuwa anapewa Nishani utasikia sauti yakehivi ni bubu au maana nilivoviona alikuwa haongei kabisa
Huyu mwehu ni balaa aiseekwenye commedy iyachukua miaka 100 kutokea kama huyu
![]()
![]()
![]()
Hapana sio bubu, ilikuwa ni stahili yake, Kuna siku alikuwa anapewa Nishani utasikia sauti yake
Sio Mia, sidhani kama atatokea tena kama huyukwenye commedy iyachukua miaka 100 kutokea kama huyu
![]()
![]()
![]()
Ukiangalia kazi za Charlie Chaplin ndo utajua kwamba Mr bean amesaidiwa saana na kazi za charlie kufika hapo alipo.Mnaongea tu kwa sababu hamjaangalia Mr. Bean zote. Yule mtu nae hana akili kabisa.