Comedy Bora Kuliko Zote .

Comedy Bora Kuliko Zote .

kwenye commedy iyachukua miaka 100 kutokea kama huyu
images


images

images
Sio miaka 100 ni kwamba hatatokea tena mtu mwengne comedian kama charlie champlin
 
Mimi nampendaga King Julian wa Madagascar animation franchise
 
hivi ni bubu au maana nilivoviona alikuwa haongei kabisa

Tecnologia ilikuwa bado.hizo zinaitwa enzi za SILENT MOVIES.
Mambo yalichange miaka ya 1930.Ipo ile ya THE GOLD RUSH unaweza kumsikia akiwa narrator.
 
Sio ojola ila ni marehemu Ochola!
Human right yake ilikwanguliwa kabisa na OCHOLA akabaki FLAT . !!!! Hawa jamaa vioja mahakamani sio kwamba wamekamilika kuwa ni wachekeshaji kwelikweli wa asili lakini bado vipindi vyao vinafundisha namna ya kutoa ushahidi mahakamani ninawahusudu sana ila sidhani kama wote wapo pamoja tena maana sioni clip zao mpya kwani zoote nimekwisha angalia na ninazoziona sasa hivi wale magwiji kama OLEXANDA ,ONDIEK LUKAKOTRA,ALFONCE MAKACHA DOT MAKOHA siwaoni kabisa sijui nini kimetokea.
 
Back
Top Bottom