hahaha...nimekupenda bure mamito safi sana umeongea fact...mwanaume huna uwezo hata wa kunipa elfu 50 mi wa kazi gani afu unataka papuchi...kudadadeki hii papuchi itakuwa na kazi moja tu ya mie kukojoa km una mkono mfupi..mjini pesa mapenz kwa mama yako
Siwezi kukuomba kitu ambacho sina uwezo nacho.
Na wewe kama waona 800k ni issue achana nae tafuta wa kuwahonga mapera.
Vaa kiatu size yako.
una uza??
yap..a au b inaweza kuwa majibu..no free cup of tea...mjini cha bure salamu tu
nimekupenda kwa kuwa muwazi na mkweli.
yah nashukuru kuelewa.mwanaume kama hujui kutoa wewe sio mwanaume ila mwanaume m.a.t.a.k.o. tu.
He he he nimependaHehheeeiya...ukimdelete wengine wanamdownload
yap..a au b inaweza kuwa majibu..no free cup of tea...mjini cha bure salamu tu
Ila wamezidi, I met a hot diva few weeks ago (banker) when I wiring some transaction! It was like give me your number I will call you when your transaction go through! She called the next morning hey your transfer was successful! Before I realize she started calling me bb, honey! The real shocker came when she dropped a bomb! Bby nina shida lakini naona aibu kukuambia (then kile kikaragosi kimejifunika uso)
Mwanaume I was like what is it bb.....? Nina shida na laki 8 naomba msaada wako!!!! I just went cold to the core of my stomach!!!! It is not fair!
Ukimwangalia ! She is hooot! Usafiri wa bomba! Yuko nadhifu!! Umbo namba 8!!! Lazima tu utanasa !! Thats why I say, its not fair!!!! They know our weakness!!
Nnachojua wanawake ni sawa na tumbo. Hawana shukrani. Wala usijidanganye et nikimnunulia iphone ya kilo nane ndio atakuwa faithful kwako. Hapa mwenyewe niko baa napunguza stress.
Nilitumiwa sms
"Baby nataka tule wote x mass ntumie nauli, nkatuma 100,000/-. Mpaka sasa hata simu zangu hazipokelew wala nini."
this bichz aint loyal
hahaha...nimekupenda bure mamito safi sana umeongea fact...mwanaume huna uwezo hata wa kunipa elfu 50 mi wa kazi gani afu unataka papuchi...kudadadeki hii papuchi itakuwa na kazi moja tu ya mie kukojoa km una mkono mfupi..mjini pesa mapenz kwa mama yako
wanawake wenye njaa utawajua tu..mwanaume ndio wakumpa maisha bila hivyo.........!! dhiki mbaya sana.
Brenda18!! don't do that! Zimeisha hata hivyo!!Si aliona transaction, na mimi naomba laki 8
Siwezi kukuomba kitu ambacho sina uwezo nacho.
Na wewe kama waona 800k ni issue achana nae tafuta wa kuwahonga mapera.
Vaa kiatu size yako.