Come on Divas give us a break !

Come on Divas give us a break !

mr gentleman

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,221
Reaction score
4,692
Miaka michache nyuma,Wanaume walikuwa wanalalamika sana vibomu vya kuombwa vocha,vocha ilikuwa gharama inayokera sana na kuboa maana kila siku iendayo kwa Mungu ni vocha..

Kumbe bora ingebakia Vocha,maana ina
afadhali...Siku hizi,unapigwa mzinga hadi Simu yako inazimika kwanza maana haiamini kilichoandikwa..''Baby naomba laki 8 ninunue iPhone simu yangu imeibiwa..dah,laki 8 ni mshahara wa Walinzi 5 wa KK security wenye wake na watoto!Mama zao wenyewe wanaisikia
tu iPhone wanajua ni Aina mpya ya Kitenge cha Wax...Balaa,hatuhemi hatujengi,Love has become Article of Oenstation,kui-afford ni ngumu,come on
DIVAS give us a break!
 
Haya maisha yanapoelekea sielewi kabisa.Ni kukomoana tu,ukigoma unaitwa bahili,zilipendwa,mshamba,huna confidence n.k.
 
Siwezi kukuomba kitu ambacho sina uwezo nacho.
Na wewe kama waona 800k ni issue achana nae tafuta wa kuwahonga mapera.
Vaa kiatu size yako.

HILI NALO NENO,maana huwezi kulazima kufanya shopping supermarket wakati budget yako ni ya gengeni
 
Kama huwezi kuhudumia wafuate wapigwa free p!!!! wako wengi sanaaaaaa.
 
Siwezi kukuomba kitu ambacho sina uwezo nacho.
Na wewe kama waona 800k ni issue achana nae tafuta wa kuwahonga mapera.
Vaa kiatu size yako.

sasa kama una uwezo nacho kwanini unaomba?? si ununue mwenyewe.
 
na huyo anayejishaua kuniita cjui baby mara hny cjui wife saa zingine afanye kazi gani?????????

kuna tofauti kati ya kuomba omba na kununuliwa as gift.....baby wako atakununulia as gift if u deserve it otherwise sio kila anaekuita baby anamaanisha.
 
Kama uwezo wako ni kula gengeni Ngarenaro usijifarague na wa Mount Meru Hotel.Ingiza mdomoni unachoweza kutafuna na kumeza.
 
if you cant finance it just sit so I can spot the guy behind you
 
Umecopy Kwa MSANII SONGA unaleta huku hebu kuwa mbunifu unapotoa threads siyo unasample sehemu then unaleta huku
 
Back
Top Bottom