Davion Delmonte Jr.
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 2,149
- 1,710
Mimi ni kijana mwenye falsafa za kimaisha na huwa napenda kuwashirikisha watu ama kwa kutoa mawazo au ushauri katika jambo lolote about Elimu, Dini, Historia, Siasa n.k ila pia najua kuna mambo ambayo nahitaji na mimi kujifunza kutoka kwenu ikiwemo masuala ya mahusiano, kuna vitu nahisi navikosa katika eneo hilo....... Napendelea kujenga mahusiano yenye nguvu na yawe mfano kwa wengine...... Ntahitaji kuwaalika ninyi marafiki mjumuike nami kwa yule ataejiskia (men & women) kwamba anaweza akaungana na mimi...... nice tym!