Come back Kikwete: Uliwezaje kufanya yote haya?

Come back Kikwete: Uliwezaje kufanya yote haya?

nyakandula

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
1,251
Reaction score
1,736
KIKWETE aliwezaje kufanya yote haya?

1. *Kutoa mikopo kwa wanafunzi zaidi ya 80%*

2. *Kulipa mshahara wafanyakazi wote na wale HEWA*

3. *Kuwapa mkopo wanafunzi zaidi 71000 wale vilaza wa Udom*

4. *Kuwapa mikopo wanafunzi hewa wa vyuo vikuu waliofutwa mwaka huu*

5. *Hakukusanya kodi ipasavyo*

6. *TRA ilikua shamba la bibi lakini still maisha yalikua normal tu na nchi iliendelea*

HAYA MASWALI NAJIULIZA MWENYEWE SIPATI JIBU? HELA ZIMEENDA WAPI?

WHY TUNATESEKA HIVI AS IF NI WAKIMBIZI
-MKOPO HAKUNA
-DAWA HOSPITALINI HAKUNA
-KODI IKO JUU
-AJIRA ZIMESITISHWA

[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

God help us..come back Nyerere[emoji27][emoji120]
 
Hii noma ila mmi ninachojiuliza want was kampen Mheshimiwa alikuwa anaahidi nni kuhusu wanafunz was elimu ya juu kupata mikopo na hiki kinachotokea saiv in kitu gani
Mpk ikifika 2019 ndio atalainisha vigezo vya mikopo saiv lazima awe mjeuri
 
Hii noma ila mmi ninachojiuliza want was kampen Mheshimiwa alikuwa anaahidi nni kuhusu wanafunz was elimu ya juu kupata mikopo na hiki kinachotokea saiv in kitu gani
Ile clip hataki hata kuiona na nna uhakikaa kabisa alikua anatamba kule tabora hakuna haja ya combination mtu akifaulu tu apate mkopo tena kwa kusisitiza atafukuza wale wote watakao chelewesha alikua anaongelea hela za wengine tu hapa anatapa tapa
 
KIKWETE aliwezaje kufanya yote haya?

1. *Kutoa mikopo kwa wanafunzi zaidi ya 80%*

2. *Kulipa mshahara wafanyakazi wote na wale HEWA*

3. *Kuwapa mkopo wanafunzi zaidi 71000 wale ****** wa Udom*

4. *Kuwapa mikopo wanafunzi hewa wa vyuo vikuu waliofutwa mwaka huu*

5. *Hakukusanya kodi ipasavyo*

6. *TRA ilikua shamba la bibi lakini still maisha yalikua normal tu na nchi iliendelea*

HAYA MASWALI NAJIULIZA MWENYEWE SIPATI JIBU? HELA ZIMEENDA WAPI?

WHY TUNATESEKA HIVI AS IF NI WAKIMBIZI
-MKOPO HAKUNA
-DAWA HOSPITALINI HAKUNA
-KODI IKO JUU
-AJIRA ZIMESITISHWA

[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

God help us..come back Nyerere[emoji27][emoji120]


Hahaha chadema ni zaidi ya Jiwe!
 
KIKWETE aliwezaje kufanya yote haya?

1. *Kutoa mikopo kwa wanafunzi zaidi ya 80%*

2. *Kulipa mshahara wafanyakazi wote na wale HEWA*

3. *Kuwapa mkopo wanafunzi zaidi 71000 wale ****** wa Udom*

4. *Kuwapa mikopo wanafunzi hewa wa vyuo vikuu waliofutwa mwaka huu*

5. *Hakukusanya kodi ipasavyo*

6. *TRA ilikua shamba la bibi lakini still maisha yalikua normal tu na nchi iliendelea*

HAYA MASWALI NAJIULIZA MWENYEWE SIPATI JIBU? HELA ZIMEENDA WAPI?

WHY TUNATESEKA HIVI AS IF NI WAKIMBIZI
-MKOPO HAKUNA
-DAWA HOSPITALINI HAKUNA
-KODI IKO JUU
-AJIRA ZIMESITISHWA

[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

God help us..come back Nyerere[emoji27][emoji120]
Wacha tuisome namba. Magumashi yalikuwa mengi.
 
Back
Top Bottom