COL.MAHFUDHI: Zanzibari and Tanzanian internationalist

ngida eti kweli katika hili pilikapilika la kuoa kinguvu,Thabit kombo alioa mdosi kwa nguvu.waziri mkuu wa india akamuomba nyerere aingilie ili swala la watu kuozeshwa kinguvu-to the dismay of the world nyerere was powerless kumwambia strongman karume anything


Dear Son of Alaska,
Wewe ndugu yangu usinitafutie matatizo zaidi hapa ukumbini. Nishaitwa mbuzi sasa tena wewe unataka niitwe nini zaidi ya mbuzi? Au unataka niitwe Jack Ass?
Ninachojua mimi ni kuwa serikali ya Shah iliwahi kuleta maneno maneno kwa Nyerere. Lakini kuhusu Thabit Kombo na kinati chake sikuwahi kusikia kitu, kwani japokuwa alimuoa siku hizo hizo, lakini mama alikuwa ka-fall sana kwa Thabit na walikuwa siku zote wakionekana Forodhani wanakula ice-cream na mbatata za urojo kwa Adnan. Hii inaashiria kuwa ndoa yao ilikuwa ya mapenzi.
Saidi Washoto yeye yule mwarabu pia hakumuoa kwa nguvu kama inavyosemekana. Mume na mke walikuenda kwa Saidi Washoto pale Mnazi Mmoja wakati alikuwa RC wa Mjini ili wapatanishwe na Washoto. Katika mazungumzo Washoto akaona kuwa wale hawapendani tena na ndipo alipomueleza mume bora amuache mke. Siku ya pili Saidi Washoto akamuoa yule binti na akapata watoto nae. Sidhanii hapo kama Washoto alikosea, kwani jamaa alimuacha mwenyewe toto jeupe la kiarabu!
 
ngida1,nakumbuka pal maktaba ya taifa,with my own eyes nilisoma a 1964 copy of the standard if me is not mistaken,waziri mkuu wa india alimuomba nyerere aingilie kati what was happening in zanzibar,akina dada wengi wa kiasia rather then be forced into marriage walicommit sucide.nyerere remained mum,a worldwide condemnation of the anarcy in zanzibar ensued-Historians ARE STILL PUZZLED AS TO WHY NYERERE DID NOTHING ABOUT THIS,was he afraid of strongman Karume?
 
ngida1,nakumbuka pal maktaba ya taifa,with my own eyes nilisoma a 1964 copy of the standard if me is not mistaken,waziri mkuu wa india alimuomba nyerere aingilie kati what was happening in zanzibar,akina dada wengi wa kiasia rather then be forced into marriage walicommit sucide.nyerere remained mum,a worldwide condemnation of the anarcy in zanzibar ensued-Historians ARE STILL PUZZLED AS TO WHY NYERERE DID NOTHING ABOUT THIS,was he afraid of strongman Karume?

Dear Son of Alaska,
Hayo unayoyasema siyapingi, kwani Karume alikuwa hafanyiki kitu. Muungano ulimletea sifa nyingi sana Nyerere na asingelitaka uvunjike kwasababu ya hizo harusi za nguvu. Amir Jamal alirejeshwa Bara kwa nguvu from ZNZ Airport na Nyerere hakufanya kitu. Jamal aliitwa CHORI na Karume pale alipotaka kuunganisha foreign reserves - yaani mwizi na Nyerere hakufanya kitu.
Karume alisema kuwa Azimio La Arusha mwisho wake huko huko Bara na halitofika ZNZ na Nyerere hakusema kitu.
Karume alikuwa anatisha. Ilikuwa ukikutana nae hivi uso kwa uso basi utageuza uso wako tu. Yeye alikuwa ni mtu wa maguvu maguvu tu while Nyerere alikuwa ni mtu wa siasa. Kwahivyo, mimi sitostaajabu kwamba Nyerere alikuwa-contacted na Indian Prime Minister na akabakia kimya. Alipouliwa Karume wengi walisema kuwa Nyerere alipumua kidogo na machozi yake siku ya mazishi yalikuwa ni crocodile tears tu!!
Karume asingelikubali kuunganisha vyama.
Karume asingelikubali kuunganisha foreign reserves.
Karume asinglikubali mambo ya vyama vyingi. Angelisema vyama vingi huko huko Bara tu.
Karume angelikubali uchaguzi kwa ZNZ labda baada ya miaka 50.
Kila mtu ZNZ leo angelikuwa anaishi kwenye apartments kama zile za Michenzani.
Karume angelijiunga na Umoja wa Waislamu na Nyerere angelikaa kimya.
Karume asing..............etc etc etc etc etc.........
Kwa kweli ZNZ will never be the same without Karume.
 
lakini ngida1,uoni kwamba karume was only thinking of the present rather then the future,opportunity cost ya hizo tv na hayo majengo yaliyokuwa marefu kwa kwenda chini ni the education system which he did not invest in,leo hii ma intellectuals ni wa kuhesabu zanzibar,kisiwa kiko mark time,stagnant matokeo watu wako frustuated wanatafuta scapegoats which happens to be muungano
 
Asante kukumbushia Col. Mahafudh. Huyu ni miongoni mwa ma strategists wa Zanzibar Revolution, yeye, akina Abrahaman Mohamed Babu.Feild Marshal John Okello, Abdalah Said Natepe na wengine. Siku ya mapinduzi yenyewe, January 12, Karume aliikimbia Zanzibar na kujificha bara. Baada ya mapinduzi, ikaamuliwa Karume aliongoze Baraza la Mapinduzi kwa heshima tuu lakini power halisi zilikuwa zishikwe na Okello, Mnganda. Hili lilimuogopesha Karume, akamwambia Julius amuite Okello Dar, Tarehe 14 January 1964, baada ya ile picha ya pamoja ya Baraza la kwanza la Mapinduzi, John Okello alitwa Dar na masikini kumbe ndio ilikuwa safari yake ya mwisho.
Taarifa za ujio wa Okello Dar zilizagaa ambapo wajeshi walimsubiri kama shujaa.
Okelo alipofika tuu bara, badala ya mapokezi ya kishujaa, alipokelewa na detention kitu kilichowatia wazimu wajeshi ambao nao tarehe 18-20 Wakafanya Maasi na sasa ilikuwa ni zamu ya Julius kutoroshwa kwa boti kufichwa Zanzibar.Jaribio likazimwa, jeshi likavunjwa na kuundewa upiya chini ya Sarakikya.
Upande wa Zanzibar, ikumbukwe Karume (Mmalawi) hakushiriki physically aliwekwa tuu sasa aliwageuka wenzake akajipa madaraka yote in full na akawa hasikilizi tena ushauri wala cha mtu, ni yeye na Julius tuu.
Hata uamuzi wa kuungani aliufanya Karume sio kwa mapenzi na wabara, bali convenience ya usalama wa Zanzibar dhidi ya maadui nwa ndani, waliofanikisha mapinduzi na maadui wa nje, manowari ya Muingereza ulikuwa umeshatia nanga Lamu.

Baada ya Karume kujitwalia madaraka yote, yako maovu aliyoyafanya ambayo hata Julius hakuyaunga mkono, alisitisha utawala wa sheria, aliyonga kila aina ya wahalifu. Aliruhusu weusi wajitwalie vibinti vya kiarabu kwa kuwabaka, ikumbukwe baba zao ndio waliochinjwa wakati wa mapinduzi, no wonder kwa nini Wazanzibari wana jazba sana.

Ndipo mipango ya kumfix Karume ikafanywa ndani kwa ndani, azma iliyotimizwa 1972. Wako watu waliongamia akiwemo Shamte, baba wa Mwandishi/Mhariri wa Makala wa gazeti la Mwanachi na corespondent wa Sauti ya Ujerumani, Deustche Welle (Dochi Vella), Bi. Hawra Shamte.
Abdulrahaman Mohamed Babu na Col. Mahafudh waliepuka kifo kwa kukingiwa kifua na Julius, walitiwa kizuizini na kusalimishwa roho zao kwa Babu kukimbizwa uhamishoni London na Mahafudha kuchukuliwa na Samora.
Aliyekuwa mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki na Makamo Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binaadamu na Utawala Bora, Mahafudha Hamid Alley maarufu kama Untie Ummie, ni binti wa Col. Mahafudh, na wanaomfahamu huyu mama kwa karibu, ni miongoni mwa wanawake wachache wa shoka toka visiwani Zanzibar wenye misimamo isiyotetereka kwa jambo wanaliamini.


Mkuu pasco, big up kwa historia nzuri ilotukuka kuhusu Zenji!
 
lakini ngida1,uoni kwamba karume was only thinking of the present rather then the future,opportunity cost ya hizo tv na hayo majengo yaliyokuwa marefu kwa kwenda chini ni the education system which he did not invest in,leo hii ma intellectuals ni wa kuhesabu zanzibar,kisiwa kiko mark time,stagnant matokeo watu wako frustuated wanatafuta scapegoats which happens to be muungano


Dear Nd. Son of Alaska,
DIV { MARGIN:0px;}
Mimi sio kama ninampenda Karume. Pia, sio kama ninasema kuwa hakufanya makosa kule ZNZ.
Karume ruled ZNZ hardly for 8 years (1964-1972) out of ZNZ's post-Sultan era of 45 years (1964-2009). Are we being FAIR and JUST to Karume tunaposema kuwa ...."leo hii ma intellectuals ni wa kuhesabu zanzibar,kisiwa kiko mark time,stagnant matokeo watu wako frustuated wanatafuta scapegoats which happens to be muungano"
Sasa tokea hio 1972 hadi leo (37 years) sisi tunafanya nini hata tunamlaumu yeye aliye-rule only for 8 years? Kama Karume bado angelikuwa madarakani mpaka leo hii hapo kweli tungelimlaumu, lakini yeye kapita tu for 8 years na katuachia wenyewe balaa letu na bado tunamsakama yeye.
Kujibu maelezo yako ya hapa juu ni kuwa: In 1964 after the success of the people's revolution he shook the education system in ZNZ to its very concrete foundation - pale alipotoa matokeo mapya ya Entrance Examination to Form1 na aka-cancel yale matokeo bandia yaliyotolewa na vibaraka wa Sultani. Chini ya Sultani 98% ya nafasi za kusoma Form 1 zilikuwa wakipewa wahindi na waarabu,
waafrika waliyokuwa wengi wakipewa only 2%. Hii sio kasumba. Huu ni ukweli usiopingika!
Karume alitangaza (to the surprize of many in DSM including Eliufoo) elimu bure kwa kila M-zanzibari irrespective of one's colour or creed. Elimu bure ilikuwa hata kwa wahindi na waarabu. Karume hakubagua. Is this not investing in education for the future? Kufanya hivyo Karume hakuwa anaweka misingi ya kupata local intellectuals in Zanzibar?
Mimi ni Mtanganyika kama wewe, lakini naona sababu ya ZNZ ku-mark time in development ni sisi wa-Bara na sio Karume. Else, ZNZ ingelikuwa mbali leo kama ingelikuwa kweli inauhuru wake kamili wa kujiamulia mambo yake wenyewe. Tunaibinya sana ZNZ na wala haiwezi kupumua au kuibuka tena.
Walitaka kuifanya Zanzibar Port kuwa free port sisi wa-Bara tumewakatalia.
Walitaka kujiunga na World Islamic Organization ili wapate misaada, nasi tukawafanyia roho mbaya (kama desturi zetu), bila ya kujali kuwa wakipata wao ndio tumepata sisi.
Mizigo inalipiwa kodi ZNZ na ikija Bara inalipiwa tena kwasababu huko ZNZ tunasema walikosea - as a result Zanzibar Port siku hizi hukuti hata Container moja linashushwa!
Chaguzi zao tunazizuwia sisi zisiwe huru.
Tukiona wanataka kumchagua mtu wanaemtaka wao tunapeleka vifaru ZNZ au tunawangojea Dodoma tuwale ngwara.
Anaetaka kugombea urais ZNZ mpaka kwanza apendeze kwetu sisi wa-Bara na sio kwa wa-Zanzibari.
When it comes to natural resources, rasilimali zao ni zetu sote, lakini zetu ni zetu peke yetu na sio zao - yaani wakipata mafuta yatakuwa ni yetu sote kwa pamoja, lakini dhahabu yetu ni yetu peke yetu! This is silly, stupid and absurd to the core! It causes me to vomit! How can we Tanzanians today support such an oppressive Constitution? How can we perpetrate such economic injustices to our own bretheren? Hii ni aibu kwetu kuwafanyia wa-Zanzibari kitu kama hichi. Halafu eti tunasema wanatafuta scapegoat. Hawatafuti scapegoat. Bara inaidhalilisha ZNZ kiuchumi na kisiasa na pale waZNZ watakapoamua kutoka kwenye Muungano, then, we will only have ourselves to blame.
Zanzibar sio kuwa haina ma-intellectuals, lakini wote walikimbia kutokana na siasa mbaya zilizofuata baada ya 1972. Serikali ya Oman leo inaendeshwa na wa-zanzibari. Wa-zanzibari pia wana-positions nzuri nzuri kule Dubai, Bahrain and throughout the Gulf region. Why? Because our brothers are hardworking people. Tizama leo walivyoiteka nyara Bara kibiashara. Bara leo cannot afford to miss the services of Zanzibaris. Nilikuenda Tabora ndani hata wenyeji hakuna na nilistaajabu kukuta maduka ya wa-Zanzibari!
At least Karume katika hio miaka yake 8 kawajengea watu wake hayo majumba marefu na TV, japokuwa kafanya hivyo bila ya "deep understanding" kama alivyoandika rafiki yangu mmoja. Nenda leo Kwamtipura kule Zanzibar na kwengineko ukaone umaskini na vibanda vibovu wanavyoishi watu. Tumbo linaweza kukupinduka hapo hapo!
Inasikitisha sana sana tena sana kuona kuwa serikali ya mwafrika inamuacha mwafrika iliyompigania kumgomboa kutoka ukoloni aendelee na maisha ya ufukara na duni.
Sio kuukumbatia ufisadi tu, au kusema "na hapa pangu", our aim must be to take deliberate actions to extricate the majority from the quagmire of poverty and misery in which they are wallowing. This is exactly what Karume had in mind!
 

Dear Nd. Son of Alaska,
DIV { MARGIN:0px;}
Mimi sio kama ninampenda Karume. Pia, sio kama ninasema kuwa hakufanya makosa kule ZNZ.
Karume ruled ZNZ hardly for 8 years (1964-1972) out of ZNZ's post-Sultan era of 45 years (1964-2009). Are we being FAIR and JUST to Karume tunaposema kuwa ...."leo hii ma intellectuals ni wa kuhesabu zanzibar,kisiwa kiko mark time,stagnant matokeo watu wako frustuated wanatafuta scapegoats which happens to be muungano"
Sasa tokea hio 1972 hadi leo (37 years) sisi tunafanya nini hata tunamlaumu yeye aliye-rule only for 8 years? Kama Karume bado angelikuwa madarakani mpaka leo hii hapo kweli tungelimlaumu, lakini yeye kapita tu for 8 years na katuachia wenyewe balaa letu na bado tunamsakama yeye.
Kujibu maelezo yako ya hapa juu ni kuwa: In 1964 after the success of the people's revolution he shook the education system in ZNZ to its very concrete foundation - pale alipotoa matokeo mapya ya Entrance Examination to Form1 na aka-cancel yale matokeo bandia yaliyotolewa na vibaraka wa Sultani. Chini ya Sultani 98% ya nafasi za kusoma Form 1 zilikuwa wakipewa wahindi na waarabu,
waafrika waliyokuwa wengi wakipewa only 2%. Hii sio kasumba. Huu ni ukweli usiopingika!
Karume alitangaza (to the surprize of many in DSM including Eliufoo) elimu bure kwa kila M-zanzibari irrespective of one's colour or creed. Elimu bure ilikuwa hata kwa wahindi na waarabu. Karume hakubagua. Is this not investing in education for the future? Kufanya hivyo Karume hakuwa anaweka misingi ya kupata local intellectuals in Zanzibar?
Mimi ni Mtanganyika kama wewe, lakini naona sababu ya ZNZ ku-mark time in development ni sisi wa-Bara na sio Karume. Else, ZNZ ingelikuwa mbali leo kama ingelikuwa kweli inauhuru wake kamili wa kujiamulia mambo yake wenyewe. Tunaibinya sana ZNZ na wala haiwezi kupumua au kuibuka tena.
Walitaka kuifanya Zanzibar Port kuwa free port sisi wa-Bara tumewakatalia.
Walitaka kujiunga na World Islamic Organization ili wapate misaada, nasi tukawafanyia roho mbaya (kama desturi zetu), bila ya kujali kuwa wakipata wao ndio tumepata sisi.
Mizigo inalipiwa kodi ZNZ na ikija Bara inalipiwa tena kwasababu huko ZNZ tunasema walikosea - as a result Zanzibar Port siku hizi hukuti hata Container moja linashushwa!
Chaguzi zao tunazizuwia sisi zisiwe huru.
Tukiona wanataka kumchagua mtu wanaemtaka wao tunapeleka vifaru ZNZ au tunawangojea Dodoma tuwale ngwara.
Anaetaka kugombea urais ZNZ mpaka kwanza apendeze kwetu sisi wa-Bara na sio kwa wa-Zanzibari.
When it comes to natural resources, rasilimali zao ni zetu sote, lakini zetu ni zetu peke yetu na sio zao - yaani wakipata mafuta yatakuwa ni yetu sote kwa pamoja, lakini dhahabu yetu ni yetu peke yetu! This is silly, stupid and absurd to the core! It causes me to vomit! How can we Tanzanians today support such an oppressive Constitution? How can we perpetrate such economic injustices to our own bretheren? Hii ni aibu kwetu kuwafanyia wa-Zanzibari kitu kama hichi. Halafu eti tunasema wanatafuta scapegoat. Hawatafuti scapegoat. Bara inaidhalilisha ZNZ kiuchumi na kisiasa na pale waZNZ watakapoamua kutoka kwenye Muungano, then, we will only have ourselves to blame.
Zanzibar sio kuwa haina ma-intellectuals, lakini wote walikimbia kutokana na siasa mbaya zilizofuata baada ya 1972. Serikali ya Oman leo inaendeshwa na wa-zanzibari. Wa-zanzibari pia wana-positions nzuri nzuri kule Dubai, Bahrain and throughout the Gulf region. Why? Because our brothers are hardworking people. Tizama leo walivyoiteka nyara Bara kibiashara. Bara leo cannot afford to miss the services of Zanzibaris. Nilikuenda Tabora ndani hata wenyeji hakuna na nilistaajabu kukuta maduka ya wa-Zanzibari!
At least Karume katika hio miaka yake 8 kawajengea watu wake hayo majumba marefu na TV, japokuwa kafanya hivyo bila ya "deep understanding" kama alivyoandika rafiki yangu mmoja. Nenda leo Kwamtipura kule Zanzibar na kwengineko ukaone umaskini na vibanda vibovu wanavyoishi watu. Tumbo linaweza kukupinduka hapo hapo!
Inasikitisha sana sana tena sana kuona kuwa serikali ya mwafrika inamuacha mwafrika iliyompigania kumgomboa kutoka ukoloni aendelee na maisha ya ufukara na duni.
Sio kuukumbatia ufisadi tu, au kusema "na hapa pangu", our aim must be to take deliberate actions to extricate the majority from the quagmire of poverty and misery in which they are wallowing. This is exactly what Karume had in mind!

Mzee wangu niongeze nini kwenye maneno yako ili watu waone mambo kwa kina?
 
ngida1 salute,history has to be rewritten,contrary to what i have allways known,humu JF napata darasa kamili,many a jigsaw puzzles are falling into place,with bits and pieces me is getting the picture.Nasikitika nimekaa jirani na NATEPE but by then ubongo ulikuwa unajua kucheza goroli tu-kustuka it was to late to get hold of this man-once again salutes
 
Dear Nd. Son of Alaska,

DIV { MARGIN:0px;}
Mimi sio kama ninampenda Karume. Pia, sio kama ninasema kuwa hakufanya makosa kule ZNZ.


Karume ruled ZNZ hardly for 8 years (1964-1972) out of ZNZ's post-Sultan era of 45 years (1964-2009). Are we being FAIR and JUST to Karume tunaposema kuwa ...."leo hii ma intellectuals ni wa kuhesabu zanzibar,kisiwa kiko mark time,stagnant matokeo watu wako frustuated wanatafuta scapegoats which happens to be muungano"


Sasa tokea hio 1972 hadi leo (37 years) sisi tunafanya nini hata tunamlaumu yeye aliye-rule only for 8 years? Kama Karume bado angelikuwa madarakani mpaka leo hii hapo kweli tungelimlaumu, lakini yeye kapita tu for 8 years na katuachia wenyewe balaa letu na bado tunamsakama yeye.

Kujibu maelezo yako ya hapa juu ni kuwa: In 1964 after the success of the people's revolution he shook the education system in ZNZ to its very concrete foundation - pale alipotoa matokeo mapya ya Entrance Examination to Form1 na aka-cancel yale matokeo bandia yaliyotolewa na vibaraka wa Sultani. Chini ya Sultani 98% ya nafasi za kusoma Form 1 zilikuwa wakipewa wahindi na waarabu, waafrika waliyokuwa wengi wakipewa only 2%. Hii sio kasumba. Huu ni ukweli usiopingika!

Karume alitangaza (to the surprize of many in DSM including Eliufoo) elimu bure kwa kila M-zanzibari irrespective of one's colour or creed. Elimu bure ilikuwa hata kwa wahindi na waarabu. Karume hakubagua. Is this not investing in education for the future? Kufanya hivyo Karume hakuwa anaweka misingi ya kupata local intellectuals in Zanzibar?


Mimi ni Mtanganyika kama wewe, lakini naona sababu ya ZNZ ku-mark time in development ni sisi wa-Bara na sio Karume. Else, ZNZ ingelikuwa mbali leo kama ingelikuwa kweli inauhuru wake kamili wa kujiamulia mambo yake wenyewe. Tunaibinya sana ZNZ na wala haiwezi kupumua au kuibuka tena.


Walitaka kuifanya Zanzibar Port kuwa free port sisi wa-Bara tumewakatalia.


Walitaka kujiunga na World Islamic Organization ili wapate misaada, nasi tukawafanyia roho mbaya (kama desturi zetu), bila ya kujali kuwa wakipata wao ndio tumepata sisi.


Mizigo inalipiwa kodi ZNZ na ikija Bara inalipiwa tena kwasababu huko ZNZ tunasema walikosea - as a result Zanzibar Port siku hizi hukuti hata Container moja linashushwa!


Chaguzi zao tunazizuwia sisi zisiwe huru.


Tukiona wanataka kumchagua mtu wanaemtaka wao tunapeleka vifaru ZNZ au tunawangojea Dodoma tuwale ngwara.


Anaetaka kugombea urais ZNZ mpaka kwanza apendeze kwetu sisi wa-Bara na sio kwa wa-Zanzibari.


When it comes to natural resources, rasilimali zao ni zetu sote, lakini zetu ni zetu peke yetu na sio zao - yaani wakipata mafuta yatakuwa ni yetu sote kwa pamoja, lakini dhahabu yetu ni yetu peke yetu! This is silly, stupid and absurd to the core! It causes me to vomit! How can we Tanzanians today support such an oppressive Constitution? How can we perpetrate such economic injustices to our own bretheren? Hii ni aibu kwetu kuwafanyia wa-Zanzibari kitu kama hichi. Halafu eti tunasema wanatafuta scapegoat. Hawatafuti scapegoat. Bara inaidhalilisha ZNZ kiuchumi na kisiasa na pale waZNZ watakapoamua kutoka kwenye Muungano, then, we will only have ourselves to blame.


Zanzibar sio kuwa haina ma-intellectuals, lakini wote walikimbia kutokana na siasa mbaya zilizofuata baada ya 1972. Serikali ya Oman leo inaendeshwa na wa-zanzibari. Wa-zanzibari pia wana-positions nzuri nzuri kule Dubai, Bahrain and throughout the Gulf region. Why? Because our brothers are hardworking people. Tizama leo walivyoiteka nyara Bara kibiashara. Bara leo cannot afford to miss the services of Zanzibaris. Nilikuenda Tabora ndani hata wenyeji hakuna na nilistaajabu kukuta maduka ya wa-Zanzibari!


At least Karume katika hio miaka yake 8 kawajengea watu wake hayo majumba marefu na TV, japokuwa kafanya hivyo bila ya "deep understanding" kama alivyoandika rafiki yangu mmoja. Nenda leo Kwamtipura kule Zanzibar na kwengineko ukaone umaskini na vibanda vibovu wanavyoishi watu. Tumbo linaweza kukupinduka hapo hapo!


Inasikitisha sana sana tena sana kuona kuwa serikali ya mwafrika inamuacha mwafrika iliyompigania kumgomboa kutoka ukoloni aendelee na maisha ya ufukara na duni.


Sio kuukumbatia ufisadi tu, au kusema "na hapa pangu", our aim must be to take deliberate actions to extricate the majority from the quagmire of poverty and misery in which they are wallowing. This is exactly what Karume had in mind!


Jamaa anatafuna na kupuliza!
 
Nafahamu kuwa hupeleki kiongozi vitani lakini baada ya mapinduzi kutokea kwenye vikao vya mwanzo vya majadiliano na mataifa makubwa (ambavyo wote walishiriki) Karume hakuwa na sauti mbele ya Okello, sasa wewe kama ndio amiri jeshi mkuu kwa nini unamwachia lieutenant wako atoe maamuzi yote?, hii ni sawa na kumuona Nyerere anamuachia Brigedia Peter Marwa atoe maamuzi yote kwenye vikao walivyoshiriki pamoja baada ya kuikomboa Uganda, sasa kama wewe ndio field marshal vita vishaisha kwa nini huonekani kuwa kiongozi mbele ya lieutenant wako?, jee unajua kwamba mwenyekiti wa kwanza wa baraza la mapinduzi ni Okello na sio Karume? duh. ...

naamini hili ni suala la mkakati zaidi.

angalia raisi kagame alikuwa wapi wakati wa majadiliano kati
rpf na serikali ya marehemu habyalimana? nani aliongoza mazungumzo
hayo, sio kagame. nani alikuwa mwenyekiti wa rpf? sio kagame, na nani
alikuwa raisi wa rwanda baada ya rpf kuchukuwa madaraka rwanda? sio
kagame. lakini wakati wote huo wajuvi walifahamu kwamba kagame ndio
alikuwa "the power" ndani ya rpf.
 
<Haya maelezo yako hapo juu just proved my case, hizo takwimu na hayo majina ya watu yote yanaupotosha ukweli, watanganyika hamuijui historia ya Zanzibar munachupiachupia tu na mukianza kuwa challenged basi munaleta chuki zenu kwa wazanzibari, sasa haya ya "zanzibar to us is a thorn in our a--" yametokea wapi tena, maana sikumbuki kama tulikuwa tuna discuss kuhusu zanzibar kwenu ni nini?, kama ningelikuwa na muda basi ningelipigishana kelele na wewe lakini naona itakuwa ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa so I rest my case>.

Nd. Nkazahau,
Sasa ndugu yako Calipso anakutegemea wewe utosomeshe sisi Watanganyika wa darasa la saba na wewe naona unaikimbia kazi hio. Ni kweli kabisa kuwa mimi sitokufahamu na wala sina haja ya kukufahamu na itakuwa kama “unampigia mbuzi gitaa” tu, lakini wengine hapa JF ni binaadamu kama wewe na wangekufahamu vizuri sana na wangejua ukweli ni upi.
Ukweli gani huo unaopotoshwa kuhusu Zanzibar? Mapinduzi kwani hayakutokea kweli? Au mnataka jina la Karume liwe blackened out from the history books of Zanzibar?
Au kwasababu nimemwita Karume shujaa na genius? Au kwasababu nimemgusa Sultani? Kama ni hilo mnalolitaka basi kila penye jina la Karume tutatia jina la Sultani – maanake huyo Sultani ndio ugonjwa wenu mkubwa!
Au huyo Edington Kisasi nae hakuwepo kweli na wala hakushiriki kabisa katika Mapinduzi sawa na Karume - kama mnavyoeleza? Au nimechukiza kwasababu nimeandika kuwa Kisasi alikuwa ni Mchaga? Yeye alikuwa ni Mchaga jina tu, but he identified himself as a true Zanzibari kwa maneno na kwa vitendo vyake vya January12th, 1964, and he loved Zanzibar just like any other true Zanzibari.

Øwatanganyika hamuijui historia ya Zanzibar munachupiachupia tu
That is true. Sasa kwanini hamuitumii hii nafasi mkapata kutuelimisha sisi Watanganyika wa darasa la saba? The truth is that tunakujuweni vizuri sana. Usisahau kuwa tupo na nyinyi pamoja for 45 years now. Please, pray to Almighty God to keep us united for another 45 years! Else, mwenyewe unajua nini matokeo yatakuwa pale Watanganyika tutakaposema tumechoka!!!!

mmh, hiki kiswahili cha "kukufahamu" asili yake sio bara.
hata hivyo shukurani kwa jitihada za kuweka historia ya mapinduzi
sawa.
 
sasa wakuu aliyemuua karume ni nani hasa?kampeni za mchujo wa urais CCM 2005 tuliambiwa ni Salim Salim,kwingine nilisikia kuna mkono wa Nyerere pia.
Wakuu naona mko deep na historia ya mapinduzi na utawala wa Karume,sasa mnijuze ni nani muuaji/wauaji sahihi na kwa sababu ipi/zipi?
 
Ngida1 said:
Tizama leo w
Ngida1 said:
alivyoiteka nyara Bara kibiashara. Bara leo cannot afford to miss the services of Zanzibaris. Nilikuenda Tabora ndani hata wenyeji hakuna na nilistaajabu kukuta maduka ya wa-Zanzibari!


ngida1,

..sasa hapo huoni kwamba ni faida kwa pande zote za Muungano. Wazenj wanafaidika kwa kipato cha biashara na sisi Watanganyika tunafaidi huduma zao.

..jinsi unavyotoa hoja zako ni kana kwamba wanaofaidika ni Watanganyika, na Wazenj ni kama wanatufadhili na kututendea wema tu.


ngida1 said:
When it comes to natural resources, rasilimali zao ni zetu sote, lakini zetu ni zetu peke yetu na sio zao - yaani wakipata mafuta yatakuwa ni yetu sote kwa pamoja, lakini dhahabu yetu ni yetu peke yetu! This is silly, stupid and absurd to the core!

ngida1,

..rasilimali zipi ambazo Watanganyika wamewapora Wazenj? kama ni mafuta bado hayajaanza kuchimbwa na sidhani kama yatakuwa suala la muungano.

..halafu mnazungumza kana kwamba kwa jinsi katiba ilivyo leo hii mafuta yakipatikana Tanganyika basi Zenj haitapata chochote.

..hata hivyo SMZ imeshaamua kuondoa suala hilo kwenye Muungano hivyo tusonge mbele kujenga nchi sasa.

ngida1 said:
Mizigo inalipiwa kodi ZNZ na ikija Bara inalipiwa tena kwasababu huko ZNZ tunasema walikosea - as a result Zanzibar Port siku hizi hukuti hata Container moja linashushwa!



ngida1,

..kama bidhaa zilizoko kwenye container zinakwenda kuuzwa Tanganyika kwanini mzigo huo uteremshiwe Zenj?

..Wazenj mnataka kukwepa kodi kwa kisingizio cha Muungano. hivi hamfahamu kodi hiyo ndiyo itakayosaidia kuendesha masuala yetu ya muungano?

..ukiona hakuna mizigo inayoteremshwa bandarini Zanzibar basi elewa kwamba biashara imekufa visiwani. msifikiri ni fitina za Watanganyika.

..pia labda mngeangalia uwezekano wa kuzalisha mali hapo Zenj ili bandari yenu iwe busy ku-export bidhaa "made in Zanzibar."
 
mmh, hiki kiswahili cha "kukufahamu" asili yake sio bara.
hata hivyo shukurani kwa jitihada za kuweka historia ya mapinduzi
sawa.

Shukrani zimepolkelewa.

<hiki kiswahili cha "kukufahamu" asili yake sio bara>.
Hio ni Swahili ya kule Kisumu. Sio ile ya Bara!
 
Ndugu Joka Kuu,
Kabla hujanimeza, please, fahamu kwamba, katika watu walaini kulipa kodi ni Wa-Zenj. Kwa hilo ninawasifu sana, kwani mzee wangu yupo kwenye mambo ya kodi na yeye ndio anaenieleza hayo!

>..kama bidhaa zilizoko kwenye container zinakwenda kuuzwa Tanganyika kwanini mzigo huo uteremshiwe Zenj?>

Hili suala halipo hivyo. Hapa tunawazungumzia raia wema wanaofanya shopping yao kule Viziwani na halafu wakifika Bara wanakuwa-harassed na kulipishwa ushuru tena, kama vile wanatiwa adabu kwa kufanya shopping yao ZNZ. Au wewe hujaenda ZNZ na ukaona harassement watu wanayopata pale pwani au Airport?
 
Sijui source yako ya hii habari inatoka wapi lakini it's a well known fact kwamba hakushiriki na kwamba kuna strong evidence kuonyesha hivyo, kuna vitabu vimeandikwa na independent writers (sio wana mapinduzi au waliopinduliwa) kuhusu hili jambo visome halafu come to your own conclusion, kimojawapo kinaitwa "Zanzibar Revolution: An American Cold War Tale" by Don Peterson, huyu Don Peterson alikuwa ni Mmarekani pekee aliekuwepo ubalozi wa Marekani Zanzibar katika kipindi chote kabla na baada ya mapinduzi na alishiriki katika majadiliano baina ya Revolutionary Council na serikali za Marekani/UK, majadiliano yalihusu mambo mengi yakiwemo kuwaachia raia wa nchi hizi kupanda manuwari ya kimarekani iliyokuja kuwachukua na pia kuhusu Marekani/UK kuyatambua mapinduzi, nchi hizi hazikuyatambua mapinduzi na ilipita zaidi ya miezi miwili mpaka kuyatambua!!!!. Yeye kwa ufupi anasema kuwa hata katika majadiliano yao kiongozi alikuwa ni Okello na sio Karume, uamuzi wa mwisho ukitoka kwa Okello, sasa kama wewe ndio kiongozi wa Mapinduzi inakuwaje maamuzi ya mwisho anakuwa nayo Okello - inaeleweka hii?.

Vile vile katika chama cha ASP kulikuwa kuna kundi ambalo lilitaka kufanya kila njia ili chama hicho kitwae madaraka na kundi ambalo lilitaka ASP iheshimu mfumo wa siasa uliokuwepo (akiwemo Sultani) na wafanye mgomo baridi ndani ya baraza la kutunga sheria (bunge) la Zanzibar, Karume alikuwa kwenye kundi hili la mgomo baridi na wala hakuwafiki mambo ya fujo pengine akiogopa yatakayomfika pindi wakishindwa.

La mwisho na ombi kwa wale wanaoweza wamuulize Natepe ukweli ni upi, nasikia keshasema kuna kitabu kakiandika kuhusu mapinduzi na kitachapishwa akishafariki maana anaona wasaliti wa mapinduzi leo wanaitwa wana mapinduzi!!!!! - habari ndo hiyo.

Kila mtu anasema lake...which is which?
 
Asante kukumbushia Col. Mahafudh. Huyu ni miongoni mwa ma strategists wa Zanzibar Revolution, yeye, akina Abrahaman Mohamed Babu.Feild Marshal John Okello, Abdalah Said Natepe na wengine. Siku ya mapinduzi yenyewe, January 12, Karume aliikimbia Zanzibar na kujificha bara. Baada ya mapinduzi, ikaamuliwa Karume aliongoze Baraza la Mapinduzi kwa heshima tuu lakini power halisi zilikuwa zishikwe na Okello, Mnganda. Hili lilimuogopesha Karume, akamwambia Julius amuite Okello Dar, Tarehe 14 January 1964, baada ya ile picha ya pamoja ya Baraza la kwanza la Mapinduzi, John Okello alitwa Dar na masikini kumbe ndio ilikuwa safari yake ya mwisho.
Taarifa za ujio wa Okello Dar zilizagaa ambapo wajeshi walimsubiri kama shujaa.
Okelo alipofika tuu bara, badala ya mapokezi ya kishujaa, alipokelewa na detention kitu kilichowatia wazimu wajeshi ambao nao tarehe 18-20 Wakafanya Maasi na sasa ilikuwa ni zamu ya Julius kutoroshwa kwa boti kufichwa Zanzibar.Jaribio likazimwa, jeshi likavunjwa na kuundewa upiya chini ya Sarakikya.
Upande wa Zanzibar, ikumbukwe Karume (Mmalawi) hakushiriki physically aliwekwa tuu sasa aliwageuka wenzake akajipa madaraka yote in full na akawa hasikilizi tena ushauri wala cha mtu, ni yeye na Julius tuu.
Hata uamuzi wa kuungani aliufanya Karume sio kwa mapenzi na wabara, bali convenience ya usalama wa Zanzibar dhidi ya maadui nwa ndani, waliofanikisha mapinduzi na maadui wa nje, manowari ya Muingereza ulikuwa umeshatia nanga Lamu.

Baada ya Karume kujitwalia madaraka yote, yako maovu aliyoyafanya ambayo hata Julius hakuyaunga mkono, alisitisha utawala wa sheria, aliyonga kila aina ya wahalifu. Aliruhusu weusi wajitwalie vibinti vya kiarabu kwa kuwabaka, ikumbukwe baba zao ndio waliochinjwa wakati wa mapinduzi, no wonder kwa nini Wazanzibari wana jazba sana.

Ndipo mipango ya kumfix Karume ikafanywa ndani kwa ndani, azma iliyotimizwa 1972. Wako watu waliongamia akiwemo Shamte, baba wa Mwandishi/Mhariri wa Makala wa gazeti la Mwanachi na corespondent wa Sauti ya Ujerumani, Deustche Welle (Dochi Vella), Bi. Hawra Shamte.
Abdulrahaman Mohamed Babu na Col. Mahafudh waliepuka kifo kwa kukingiwa kifua na Julius, walitiwa kizuizini na kusalimishwa roho zao kwa Babu kukimbizwa uhamishoni London na Mahafudha kuchukuliwa na Samora.
Aliyekuwa mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki na Makamo Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binaadamu na Utawala Bora, Mahafudha Hamid Alley maarufu kama Untie Ummie, ni binti wa Col. Mahafudh, na wanaomfahamu huyu mama kwa karibu, ni miongoni mwa wanawake wachache wa shoka toka visiwani Zanzibar wenye misimamo isiyotetereka kwa jambo wanaliamini.
Ila Ummi Mahfudha si binti ya Col. Mahfudh. Ni mwana wa Waziri mwingine nimemsahau jina linaishia na Alley. Alikuwa Waziri wa Uchumi wakati wa serikali ya Shamte.
 
Karume alirithi Zanzibar yenye Neema ....alikuta palace imejaa pesa na dhahabu baada ya kuwa Sultani kakimbia........pia wakati huo bei ya karafuuu ilikuwa mzuri na idadi ya watu haikuwa kubwa......haikuwa ajabu kumudu kufanya maendleo hayo.......lakini naamini kabisa Kama Karume angekuwa mtulivu na kuwatumia wasomi waliokuwa wamemzunguka ...Kama kina Abdulrahman Babu,Kassim Hanga ,Abdul Jumbe Mwinyi na wengine ......Zanzibar ingepiga hatua zaidi.....ya hayo magorofa ya wananchi na TV ambayo ndie imekuwa litania ya Kipimo cha maendleo

Ungeniambia ingekuwaje Karume angeendelea kuwepo miaka 5 tu mingine naona Angefika mahala angekwama kwa Aina ya uongozi wa mabavu na mauwaji.......pesa zilikuwa zinaelekea kwisha .......na kufikia Kati Kati ya 70s bei ya karafuuu ikaanza kushuka .....na Uchumi wa dunia uliyumba Sana ...na pia kulitokea njaaa na serikali za kiafrika ziliyumba kwa kutumia pesa nyingi kuagiza vyakula.....Sioni Kama Wazanzibar wangeweza kuendelea kuvumiliaaaa kuona Ndugu zao wakitoweka ....ingefikia mahala angebaki Hana pakukamata..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom