ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 8,681
- 16,279
Nilimaanisha hao watoto wamejaa kule tiktok hawataki kufanya kazi nyingine zaidi ya kupiga kelele usiku wa manage,kelele zenyewe zinaambatana na maneno kama TAPTAP kwenye skiing,inamaana wanaamini watapata wateja wa miili yao.Sina maana nyingine.Yawezekana matumizi ya TU-TU ndo yamekuchanganya.Unapata FAIDA GANI?
Unaelimisha nini Jamii?