26 Life
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 829
- 1,229
Anakataa kila mwanaume wa kawaida kwa maneno ya “Siwezi date mtu asiye na gari.”
- Wewe mwenyewe una miguu ya bure, lakini unataka gari ya mtu mwingine?
Utasikia anasema “Mimi siwezi teseka na mwanaume. Nimejitambua.”
-Toka huko, ulijitambua kwenye TikTok au?
Wanaulizaga “What can you do for me?” ndio opening line yao.
- Madam, sisi sio wafadhili wa mapenzi, Kama unahitaji msaada wa uwekezaji, peleka proposal Halmashauri..
Wengine utasikia "Lengo niolewe na rich guy ili nimsaidie kutimiza ndoto zake.”
- Acha michezo, Tajiri anatafuta mke wa character, si motivational speaker au mviziaji wa assets.
Vingibe hua vinasema “If you love me, can you buy me the moon?”
- Hapa nicheke tu. 😂
Maisha yake ni soft life by force yaani shopping ni kwa Zemanda, rent ni ya Mwachiluwi , na vocha ni kwa Ex wake.
- Halafu kameandika kwenye bio "independent woman". Tulia, We ni corporate leech tu.
Hata mwanaume akimuambia “nitakuoa baada ya miaka miwili nikiwa stable,” kanajibu “Mimi siweki mtu pending kama loan.”
-Sawa, lakini miaka ikikukimbiza utatamani hata draft ya hiyo loan.
Insta caption zake ni “I’m too rare to settle.”
- Kweli ni rare, maana mtu wa tabia yako hukubaliwi hata kwenye ndoto nyevu.
Anaona mwanaume mwenye kazi ya kawaida si level yake, lakini kila weekend anazimia kwa Casttle lite za buku tatu tatu.
-Hiyo level yako ya juu inashushwa na bia 4 za buku tatu tatu?
Akitemwa na mwanaume kwasababu ya ujinga wake anasema “Sitaki mapenzi tena, wanaume ni useless(mbwa).”
-Wewe ndio uliwachagua kama unavyochagua mihogo sokoni sasa kwanini unalaumu soko lote?
Kila mwanaume akiingia kanapima uwezo wa pesa kwa wiki mbili, then kanamtema, Halafu baada ya miezi 6 kanauliza “Wanaume wazuri walipotelea wapi?”
- Kama hujui, walienda kule ulipowatema kwa sababu wallet zao zilikuwa flat.
Anaamini mwanaume akimpenda basi ni lazima atoe kila kitu kama pesa, muda, hata roho.
- Nikuulize wewe utatoa nini?
Kama mapenzi ni biashara, tuletee risiti basi.
Kama kawaida Bio yake “I’m the prize.”
- Prize ya nini? Mashindano ya kuigiza maisha ya watu?
Akiona mwanaume hataki kupost picha yake, anasema “Unaogopa nini? Au una wengine?”
- Tulia wewe, Hata Yesu hakupost watu wake kila siku, lakini aliwapenda kwa dhati.
Just Chill.
Ukimwambia apike au afue utaona ukimuangalia usoni anatamani kama aseme “Sijazaliwa kuwa mfanyakazi wa mwanaume.”
- Sawa, hata huyo mwanaume hajazaliwa kuwa ATM ya mtoto wa TikTok.
Ndoa si tu kuhusu mapenzi, ni kuhusu character, akili, na kuheshimiana.
Next time ntakuja na uzi wa vijana wa hovyo ambao itakuwa ngumu sana kupata pisi iliyonyooka...
Yaani wale wa “bro siwezi sumbuliwa na mapenzi, ila anaweza kutumwa na hiyo manzi saa6 usiku akatafute chipsi na anaambiwa akikosa asirudi”.
Stay tuned.
Mimi ni Botanist, Gardener, na Horticulturist all the way from Jozi.
26 Life ☘️.
- Wewe mwenyewe una miguu ya bure, lakini unataka gari ya mtu mwingine?
Utasikia anasema “Mimi siwezi teseka na mwanaume. Nimejitambua.”
-Toka huko, ulijitambua kwenye TikTok au?
Wanaulizaga “What can you do for me?” ndio opening line yao.
- Madam, sisi sio wafadhili wa mapenzi, Kama unahitaji msaada wa uwekezaji, peleka proposal Halmashauri..
Wengine utasikia "Lengo niolewe na rich guy ili nimsaidie kutimiza ndoto zake.”
- Acha michezo, Tajiri anatafuta mke wa character, si motivational speaker au mviziaji wa assets.
Vingibe hua vinasema “If you love me, can you buy me the moon?”
- Hapa nicheke tu. 😂
Maisha yake ni soft life by force yaani shopping ni kwa Zemanda, rent ni ya Mwachiluwi , na vocha ni kwa Ex wake.
- Halafu kameandika kwenye bio "independent woman". Tulia, We ni corporate leech tu.
Hata mwanaume akimuambia “nitakuoa baada ya miaka miwili nikiwa stable,” kanajibu “Mimi siweki mtu pending kama loan.”
-Sawa, lakini miaka ikikukimbiza utatamani hata draft ya hiyo loan.
Insta caption zake ni “I’m too rare to settle.”
- Kweli ni rare, maana mtu wa tabia yako hukubaliwi hata kwenye ndoto nyevu.
Anaona mwanaume mwenye kazi ya kawaida si level yake, lakini kila weekend anazimia kwa Casttle lite za buku tatu tatu.
-Hiyo level yako ya juu inashushwa na bia 4 za buku tatu tatu?
Akitemwa na mwanaume kwasababu ya ujinga wake anasema “Sitaki mapenzi tena, wanaume ni useless(mbwa).”
-Wewe ndio uliwachagua kama unavyochagua mihogo sokoni sasa kwanini unalaumu soko lote?
Kila mwanaume akiingia kanapima uwezo wa pesa kwa wiki mbili, then kanamtema, Halafu baada ya miezi 6 kanauliza “Wanaume wazuri walipotelea wapi?”
- Kama hujui, walienda kule ulipowatema kwa sababu wallet zao zilikuwa flat.
Anaamini mwanaume akimpenda basi ni lazima atoe kila kitu kama pesa, muda, hata roho.
- Nikuulize wewe utatoa nini?
Kama mapenzi ni biashara, tuletee risiti basi.
Kama kawaida Bio yake “I’m the prize.”
- Prize ya nini? Mashindano ya kuigiza maisha ya watu?
Akiona mwanaume hataki kupost picha yake, anasema “Unaogopa nini? Au una wengine?”
- Tulia wewe, Hata Yesu hakupost watu wake kila siku, lakini aliwapenda kwa dhati.
Just Chill.
Ukimwambia apike au afue utaona ukimuangalia usoni anatamani kama aseme “Sijazaliwa kuwa mfanyakazi wa mwanaume.”
- Sawa, hata huyo mwanaume hajazaliwa kuwa ATM ya mtoto wa TikTok.
NB: Wengi wao si kwamba hawawezi kuolewa, ni tabia zao tu zinawafukuza wahuni wenye mpango nao.Ndoa si tu kuhusu mapenzi, ni kuhusu character, akili, na kuheshimiana.
Next time ntakuja na uzi wa vijana wa hovyo ambao itakuwa ngumu sana kupata pisi iliyonyooka...
Yaani wale wa “bro siwezi sumbuliwa na mapenzi, ila anaweza kutumwa na hiyo manzi saa6 usiku akatafute chipsi na anaambiwa akikosa asirudi”.
Stay tuned.
Mimi ni Botanist, Gardener, na Horticulturist all the way from Jozi.
26 Life ☘️.