Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,008
- 453,986
Hujaona kajiwish chit chat tatizo nawe ukiweka kalio kule kwenye malikes hujui chochote kinachoendelea mbona sie tunatembeaBday ya nani tena?@Linamo hata mualiko
Hujaona kajiwish chit chat tatizo nawe ukiweka kalio kule kwenye malikes hujui chochote kinachoendelea mbona sie tunatembeaBday ya nani tena?@Linamo hata mualiko
JamaaaanKabisaaa
Hujaona kajiwish chit chat tatizo nawe ukiweka kalio kule kwenye malikes hujui chochote kinachoendelea mbona sie tunatembea
na sie tungekuwa tunakaa makapuku tuuuu
Ngoja tuanze huo mchezona sie tungekuwa tunakaa makapuku tuuuu
Ngoja tuanze huo mchezona sie tungekuwa tunakaa makapuku tuuuu
Hata sijaionaBirthday yangu.
Mualiko uko kule kwa thread yangu
Sio kwa mshushuo huuHujaona kajiwish chit chat tatizo nawe ukiweka kalio kule kwenye malikes hujui chochote kinachoendelea mbona sie tunatembea
Asante sana MamyHata sijaiona
Happy bday Mungu akupe kila hitaji la moyo wako kipenzi,akuongezee busara na akujaalie miaka mingi
hatuweziNgoja tuanze huo mchezo
utaonaje umekaa kwenu kwenye malikes tuSio kwa mshushuo huu
Sijaona huo uzi mwaya
Amna bhana sio hivyoutaonaje umekaa kwenu kwenye malikes tu
Amna bhana sio hivyo
Leo mitoko shogaleo mpo wapiii jamaan
JamaanLeo mitoko shoga
Nimewamiss jaman mrs Cole ndg zangu wengine wako wapiiiiHuu uzi mmeususia?et team ubuyu?
Hata sijawaona kwakweli,sakayo tuligongana mtaa mmoja hivi ila hao wengine sijawaonaNimewamiss jaman mrs Cole ndg zangu wengine wako wapiiii
wametekwaHata sijawaona kwakweli,sakayo tuligongana mtaa mmoja hivi ila hao wengine sijawaona