Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 12,894
- 11,378
hili ni tatizo,mtu kwenu mpwapwa ambako hata bwawa hakuna unajifanya kuongelea mambo ya beach...private beaches zinalipiwa,nenda beach kimba ya mikadi kigamboni huingii hadi utoe 2,000/=
Usie jua ni wewe. Hakuna private beach Tanzania. Beach zote ni Public kwa mujibu wa sheria. Hao wanaowatoza wanawaonea kwa kisingizio cha kuwa mnatumia huduma zao.
Amandla.....