Kwanza kutakuwa na recreation facilities including restaurants & bars na hizi ndo zitakuwa main sources of income ya kujerejesha hiyo 17 billion. I also assume kutakuwa na mageti zaidi ya moja depending your visiting status. Kama unaenda kula bata, utatumia geti/mageti ya wanaoenda kula bata na kama kinachokupeleka ni fukwe na bahari peke yake, I assume kutakuwa na geti la watu wa aina hiyo!A key question: How will the project raise this 17bil while it's already a free open space? What services will be there for a charge?