Coco Beach: The project has consumed 260m/- from its concept design phase to completion of a Master

Coco Beach: The project has consumed 260m/- from its concept design phase to completion of a Master

Kuna tatizo gani ukibaki hivyo? Copacabana wamejenga nini kwenye ufukwe wao? Bondi Beach wamejenga nini kwenye ufukwe wao?

Tusipende kudanganyana. Mvuto wa Coco Beach ni unspoilt nature. Kuanza kujenga ni kuiharibu.

Amandla.....


Waswahili wana msemo unasema "ukimruhusu ngamia kuingiza kichwa kwenye hema mwisho ataingiza mwili mzima"
Hii ni gea ya kutaka kuanza kujenga kichanga chui yote mpaka sea cliff.
Hebu kuweni wabunifu zaidi, ufukwe wa bahari Tanzania unaanzia Tanga mpaka Mtwara, COCO beach iwacheni.
 
tatizo ni kuwa wabongo hawajazoea biashara za aina hizi,
tumezoe biashara za uchuuzi sana,hii kitu mbona ya kawaida sana na inaweza kuvuta watalii wakitoka zao kilimanjaro wanakuja cocobeach kujiachia kabla hawajakwea pipa kurudi makwao,thimk how much milions of dollars that project can generate.and create employment.


Mji kama Beirut,lebanon wanapata watalii kwa mamilion kwa ajili ya watalii wanaokuja kujigalagaza kwenye fukwe zao maridadi
Kwani lazima iwe Coco beach ?Tanzania ina kama karibu km 1000 na ushee za beach kuanzia Moa Tanga hadi Kwa Dangote Mtwara,hata masikini wana haki,pesa sio kila kitu ,na pesa,umeona huko Lebanon wana amani?haya mambo ya kuwakandamiza walalahoi hata kwa sehemu za kupumulia kisa pesa matokeo yake hata hiyo Coco beach haitakalika.Hata masikini anapenda kujigalagaza kwenye fuko maridadi kama Coco,hivi sasa ukitaka kwenda hizi fukwe zingine kuna kiingilio katika hayo mahoteli ni ufukwe tu wa Coco ndio watoto wa kwa Mfuga mbwa wana uhakikawa kwenda kuruka sarakasi na kujifunza kuogelea.Manji na Noni na Engineer Nutty ni matapeli tu.
 
Na wewe endelea tu na hayo mawazo kale yako kama yale "tuna haraka gani ya kuchimba madini, kwani madini yanaoza....!" Yaani baada ya kuangalia ni namna gani jambo linaweza kufanyika kwa manufaa ya taifa karne ya 21 bado watu mna simulizi za madini hayaozi.... sisi maskini tutaishi wapi.... that's fantasy world!!

Kwanza hao maskini mnaojifanya kuwatetea ingekuwa busara kuwaambia waendelee kupiga kazi bila kuchoka ili waupukani na umaskini badala ya kutaka shughuli za kiuchumi zisifanyike ili eti maskini waendelee kuuza mihogo sehemu husika!!!

Nisawa mawazo yako lkn sio kwa hawa waHINDI think Big ndugu
 
Nisawa mawazo yako lkn sio kwa hawa waHINDI think Big ndugu
Wapi nimetaja Wahindi ndugu? If by Wahindi you mean Yusuph Manji, Manispaa wamemnyang'anya Manji hii project tangu kitambo hata kama bado watu wanamkomalia Manji na ndio maana walipelekana mahakamani! Kilichopo ni ubia kati ya Manispaa, NHC na TIB!

By the way, what's the difference kati ya hao Wahindi na wale wanaojiita wazawa?
 
Wapi nimetaja Wahindi ndugu? If by Wahindi you mean Yusuph Manji, Manispaa wamemnyang'anya Manji hii project tangu kitambo hata kama bado watu wanamkomalia Manji na ndio maana walipelekana mahakamani! Kilichopo ni ubia kati ya Manispaa, NHC na TIB!

By the way, what's the difference kati ya hao Wahindi na wale wanaojiita wazawa?

Afadhali Nchi iliwe na Mzawa kuliko Muhindi anaehamisha Hela kupeleka INDIA na CANADA mkuu labda umgeni na hao watu nimefanya naokazi Miaka ya 90 nawafahamu Vzr Ikiwa NHC,,,TIB na MANISPAA ndio wenyehiyo Project kwanini huyo Muhindi atokwe Povu kuwa anaonewa Mkuu acha kabisa kuhusu wahindi ni watu Ovyo sana
 
Na wewe Elungata Kibanga Ampiga Mkoloni subirini muitwe vibaraka wa Manji. Yaani wakati Muhongo anawatukana kina Mengi na Miradi wanapewa wachina hao wanaotaka "waachiwe Beach yao" walikaa kimya . Hoja yangu hatuwezi kubadili mambo ya nchi hii kifkira kama CCM itaendelea kuwepo madarakani.Viongozi wengi wa CCM wana fikra za kichuuzi ingawa wao wanakwapua fedha toka kwenye hazina ya serikali na kununua hisa kwenye hizo hizo Kampuni wanazo wachochea wananchi wazichukie!

Dar es salaam ina wakazi zaidi ya milioni 4 ni wangapi huwa wanakwenda huko Coco Beach? Jee fedha zitakazopatikana kutokana na mradi huo haziwezi kutumika kufikisha huduma za jamii kwa hao ambao wala hawajawahi, hawana hamu na wala hawafikirii kufika huko Coco Beach?
 
Ndugu yangu Victoire hayo maamuzi yalifanywa na Viongozi wa CCM. Walikosea au tamaa ya kifisadi iliwasukuma kufanya hayo waliyoyafanya?
 
Last edited by a moderator:
Leo chige umefanya uchambuzi wa kitaalam sana. Ambaye hajakuelewa yeye ndiyo tatizo!!
 
Last edited by a moderator:
Afadhali Nchi iliwe na Mzawa kuliko Muhindi anaehamisha Hela kupeleka INDIA na CANADA mkuu labda umgeni na hao watu nimefanya naokazi Miaka ya 90 nawafahamu Vzr Ikiwa NHC,,,TIB na MANISPAA ndio wenyehiyo Project kwanini huyo Muhindi atokwe Povu kuwa anaonewa Mkuu acha kabisa kuhusu wahindi ni watu Ovyo sana
Kwangu mimi fisadi ni fisadi tu na katu, fisadi mmoja hawezi kuwa ni heri compared to mwingine simply because ninafananae ngozi huku nikifahamu fika madhara yanayoletwa na fisadi mwenye ngozi nyeupe ni yale yale yanayoletwa na fisadi mwenye ngozi nyeusi... huyu fisadi mwenye ngozi nyeusi ni kheri kwa ndugu zake lakini sio kwangu!

Kwamba wanaficha pesa India na Canada; kwangu wala hawawezi kuwa tofauti na Andrew Chenge ambae alithibitika kuficha pesa Virgin Island. Katu ufichaji wa pesa uliofanywa na Chenge kwangu hauwezi kuwa eti afadhali kuliko ule wa Manji kwa sababu tu ngozi ya Chenge na yangu zinafanana na ile ya Manji sifananani nayo!

Kwamba how come Manji atoke povu kwa project ya NHC & TIB jibu ni kwamba Manji anayo haki hiyo kwa sababu Manispaa wenyewe ndio tatizo hata kama hatuwataji kwenye mjadala huu. Kama nilivyosema hapo awali, Manispaa walimpa project Manji lakini baadae wakamnyang'anya. Baada ya Manji kunyang'anywa; akaenda Mahakamani na Mahakama ikampa haki Manji lakini Manispaa wakasema hawakubaliani na maamuzi ya Mahakama!

Sasa let's assume kwamba hii project ni crime... hivi ni nani tunayepaswa kumbebesha zigo la misumari kati ya Manji mfanyabiashara mtafuta fursa na municipal officials ambao wapo kwa niaba ya umma? Oh! According to wewe bila shaka anayepaswa kubebeshwa gunia la misumari ni Manji kwa kuwa hana ngozi nyeusi!!!!
 
What is 260mil vs the wishes of DAR residents. I doubt the participation of UN institution . Where is the Environmental and social impact report.. who did it and when. Put it here for everyone to see it. Approved by Nemc? The environmental and social consequence may exceed the QG and KNDN expected benefits by far. Hands off or go back to the drawing table.Yes and no, why did/ should NEMC approved this contraversial project in the first place.
 
Mkuu chige tambua Jambo kwamba kwa upande wangu hakuna Mradi wowote unaoingiwa na watawala wa CCM ukawa na Manufaa kwa Jamii pana ktk Taifa ndio maana hata sisi wengine hatuoni umuhimu wwt wa hiyo Project imebakia walaNchi wanatoa ngeu tu huko.....!
 
Last edited by a moderator:
Michezo ya manji ungeijuwa daah, ungeshika tama. By the way, sisemi afadhali ya fisadi mweusi ila Manji ana scenes utadhani movie. Katumia sana udhaifu wa system iliyopita.
 
nishasemaga sijui ni nani anawapa nafasi hawa wahindi,waarabu na wachina kwenye mambo ambayo hayawahusu,hizi ten percent zinaumiza sisi wanyonge wa chini,kiwacha cha waislam akitake yeye,beach yeye,naomba JOHN POMBE magufuli aziue hili jambo,ikibidi ianzishwe petition ya sisi walalahoi tuzuie huyu jamaa.mimi ananiboa sana

acha ubaguzi wewee..
 
........ By the way, what's the difference kati ya hao Wahindi na wale wanaojiita wazawa?

He heee! wahindi ni wale wanaotoa ten percent ili kupiga tenda kubwa za serikali, wazawa ni wale wanaochukua hiyo ten percent na kuwekeza kwa small house, majengo au kilabuni.
 
Kwamba how come Manji atoke povu kwa project ya NHC & TIB jibu ni kwamba Manji anayo haki hiyo kwa sababu Manispaa wenyewe ndio tatizo hata kama hatuwataji kwenye mjadala huu. Kama nilivyosema hapo awali, Manispaa walimpa project Manji lakini baadae wakamnyang'anya. Baada ya Manji kunyang'anywa; akaenda Mahakamani na Mahakama ikampa haki Manji lakini Manispaa wakasema hawakubaliani na maamuzi ya Mahakama!!!!!

Una hakika hiyo mahakama ilitenda haki? Maana mahakama zetu nazo!
Unajua kwamba Manji ni mmoja kati ya wafanyabiashara waliokuwa na kesi nyingi sana mahakamani, kwa nini? Na zote za serikali ameshinda yeye! ... Quality Plaza, hiyo ya Manispaa, sijui ule mkataba wa UWT wa jengo lililokuwa Gogo hotel....
 
Una hakika hiyo mahakama ilitenda haki? Maana mahakama zetu nazo!
Unajua kwamba Manji ni mmoja kati ya wafanyabiashara waliokuwa na kesi nyingi sana mahakamani, kwa nini? Na zote za serikali ameshinda yeye! ... Quality Plaza, hiyo ya Manispaa, sijui ule mkataba wa UWT wa jengo lililokuwa Gogo hotel....


fafanua ndugu yangu
 
Back
Top Bottom