funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 39,119
- 31,639
Nimeipitia hii thesis na kujiuliza swali hivi Garduates wa kitanzania especially wale waliomaliza ARDHI University hawana uwezo wa kufanya utafiti wa aina hii?
Je Wataalamu wa manispaa ya Kinondoni wana uwezo wa kufanya assessment ya mradi kama huu?
Je manispaa hii ilishindwa au inashindwa kufanya study ya namna hii?
Majibu yangu ni confusion juu ya confusion inayosababishwa na pengine uwezo mdogo wa waajiriwa wa serikali au uzembe wa waajiriwa wa serikali au uvivu wa wasomi wa kitanzania au ni kukosekana kwa uzalendo kati ya jamii ya kitanzania au kuendekeza rushwa na ufisadi tu.
Kiufupi naweza kusema huwa napenda vitu vya hisani ya watanzania...
Ingawa pia siwezi kuignore ukweli kuwa at times we need to make decision basing on best available evidence iwe kutoka kwa mtanzania au mwengine yoyote yule.
Nikirudi kwenye thesis yenyewe naona kuna limitation moja kubwa ya kukosekana kwa maelezo ya gharama za kuujenga na kuusustain mradi ...hili ni jambo muhimu ambalo as a scientist au msomi huwezi ukaliacha kuliongelea kwani ni muhimu kupita maelezo especially katika nchi ambayo haina ukwasi wa kujitosheleza hata kwenye msosi.
Waandishi wa utafiti huu au mradi huu wamelitendea haki taifa katika eneo moja muhimu kwamba kwa vyovyote vile iwavyo eneo hili au mradi huu ni lazima ulenge kwa watumiaji wote yaani umma lakini kimsisitizo ni umma ambao ni wa walalahoi.
Hii ni fact au uzuri wa mradi huu basing on proposal ya wadada wa kisweeden.
Ni mtanzania fisadi tu ambaye hatakubaliana na hawa kina dada katika hilo.
Hapa kuna swali nyeti inabidi tujiulize kama GTs au wasomi au wazalendo....JE HIVI COCO BEACH KABLA HAIJAANZA KUTUMIWA KAMA ENEO LA WALALAHOI KUJIPUMZISHA ILIKUWAJE?
NI NANI ALIYEANZISHA IDEA YA KUFYEKA MSITU NA KUWEKA MANDHARI AMBAYO LEO HII WATWAJWA WA UFISADI WANATAKA KUWEKEZA NA KUBORESHA??
Ni nani hasa alikuwa akihudumia eneo hili kwa kipindi chote hiki?
Ni wapi alipokwamia na sababu za yeye kukwama ni zipi?
Haya ni maswali ambayo waandishi wa mradi na yoyote yule anayejidai anataka kupaboresha ajiulize na kuyapatia majibu.
Waandishi wamenigusa walipoongelea uchafuzi wa mazingira katika eneo hili pamoja na possible solutions za kukabiliana na tatizo hili.
Mimi sio mtaalamu wa miradi au michoro ya miradi lakini kwa perspective ya mlalahoi naona waandishi wamejaribu kukidhi mahitaji ya watumiaji tarajiwa wa eneo au mradi huu.
By the way watarajiwa walio wengi wa mradi huu hawana na wala hawahitaji makuu sana ...
Utamaduni wao hautakiwi kufananishwa na wa waarabu au wazungu bali watanzania.
Kuhusu KMC/TIB na Manji
Sitaongelea sana kwani sijaona version yao ya mradi ingawa kwa maelezo machache ya waandishi hapo juu na uzoefu mdogo wa mwenendo na tuhumu dhidi ya Manji napata wasiwasi mradi wake utawaondolea access walalahoi ambao kwa mujibu wa mh Rais COCO ni kati ya maeneo machache yaliyobakia kwa kuwaliwaza wapiga kura wake ambao wengi ni walalahoi.
Halmashauri ya Kinondoni
Nawaona watumishi wa manispaa ya Kinondoni hawajafanya kazi yao kama ilivyo hulka ya watumishi wengi wa halmashauri.
Wao ndio waliotakiwa kuwa watatuzi wa migongano hii badala yake wamekuwa chanzo.
Kwa vyovyote vile nitasimama na swahiba wangu Magufuli kuwa COCO lazima iwe eneo la wazi kwa ajili ya umma wa walalahoi....njia au proposal za kutekeleza hili lirudishwe kwa halmashuri na ikiwezekana kuwe na jopo la wataalamu wa kitanzania na wapewe hadidu za rejea za jinsi ya kuliboresha eneo hilo nq mengine yanayofanania nayo.
Nitaendelea ikinibidi.
HII MADA NI KUBWA KWA WAZUNGUSHA MIKONO KWA HIYO MKAE KANDO.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Je Wataalamu wa manispaa ya Kinondoni wana uwezo wa kufanya assessment ya mradi kama huu?
Je manispaa hii ilishindwa au inashindwa kufanya study ya namna hii?
Majibu yangu ni confusion juu ya confusion inayosababishwa na pengine uwezo mdogo wa waajiriwa wa serikali au uzembe wa waajiriwa wa serikali au uvivu wa wasomi wa kitanzania au ni kukosekana kwa uzalendo kati ya jamii ya kitanzania au kuendekeza rushwa na ufisadi tu.
Kiufupi naweza kusema huwa napenda vitu vya hisani ya watanzania...
Ingawa pia siwezi kuignore ukweli kuwa at times we need to make decision basing on best available evidence iwe kutoka kwa mtanzania au mwengine yoyote yule.
Nikirudi kwenye thesis yenyewe naona kuna limitation moja kubwa ya kukosekana kwa maelezo ya gharama za kuujenga na kuusustain mradi ...hili ni jambo muhimu ambalo as a scientist au msomi huwezi ukaliacha kuliongelea kwani ni muhimu kupita maelezo especially katika nchi ambayo haina ukwasi wa kujitosheleza hata kwenye msosi.
Waandishi wa utafiti huu au mradi huu wamelitendea haki taifa katika eneo moja muhimu kwamba kwa vyovyote vile iwavyo eneo hili au mradi huu ni lazima ulenge kwa watumiaji wote yaani umma lakini kimsisitizo ni umma ambao ni wa walalahoi.
Hii ni fact au uzuri wa mradi huu basing on proposal ya wadada wa kisweeden.
Ni mtanzania fisadi tu ambaye hatakubaliana na hawa kina dada katika hilo.
Hapa kuna swali nyeti inabidi tujiulize kama GTs au wasomi au wazalendo....JE HIVI COCO BEACH KABLA HAIJAANZA KUTUMIWA KAMA ENEO LA WALALAHOI KUJIPUMZISHA ILIKUWAJE?
NI NANI ALIYEANZISHA IDEA YA KUFYEKA MSITU NA KUWEKA MANDHARI AMBAYO LEO HII WATWAJWA WA UFISADI WANATAKA KUWEKEZA NA KUBORESHA??
Ni nani hasa alikuwa akihudumia eneo hili kwa kipindi chote hiki?
Ni wapi alipokwamia na sababu za yeye kukwama ni zipi?
Haya ni maswali ambayo waandishi wa mradi na yoyote yule anayejidai anataka kupaboresha ajiulize na kuyapatia majibu.
Waandishi wamenigusa walipoongelea uchafuzi wa mazingira katika eneo hili pamoja na possible solutions za kukabiliana na tatizo hili.
Mimi sio mtaalamu wa miradi au michoro ya miradi lakini kwa perspective ya mlalahoi naona waandishi wamejaribu kukidhi mahitaji ya watumiaji tarajiwa wa eneo au mradi huu.
By the way watarajiwa walio wengi wa mradi huu hawana na wala hawahitaji makuu sana ...
Utamaduni wao hautakiwi kufananishwa na wa waarabu au wazungu bali watanzania.
Kuhusu KMC/TIB na Manji
Sitaongelea sana kwani sijaona version yao ya mradi ingawa kwa maelezo machache ya waandishi hapo juu na uzoefu mdogo wa mwenendo na tuhumu dhidi ya Manji napata wasiwasi mradi wake utawaondolea access walalahoi ambao kwa mujibu wa mh Rais COCO ni kati ya maeneo machache yaliyobakia kwa kuwaliwaza wapiga kura wake ambao wengi ni walalahoi.
Halmashauri ya Kinondoni
Nawaona watumishi wa manispaa ya Kinondoni hawajafanya kazi yao kama ilivyo hulka ya watumishi wengi wa halmashauri.
Wao ndio waliotakiwa kuwa watatuzi wa migongano hii badala yake wamekuwa chanzo.
Kwa vyovyote vile nitasimama na swahiba wangu Magufuli kuwa COCO lazima iwe eneo la wazi kwa ajili ya umma wa walalahoi....njia au proposal za kutekeleza hili lirudishwe kwa halmashuri na ikiwezekana kuwe na jopo la wataalamu wa kitanzania na wapewe hadidu za rejea za jinsi ya kuliboresha eneo hilo nq mengine yanayofanania nayo.
Nitaendelea ikinibidi.
HII MADA NI KUBWA KWA WAZUNGUSHA MIKONO KWA HIYO MKAE KANDO.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!