JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Coastal imeeleza mazungumzo ya kusaini mkataba mpya baina yao na Mgunda yalikuwa kwenye mchakato, hivyo suala la Mgunda kujiunga na Simba ni la kwake binafsi.
Kutokana na hali hiyo uongozi wa Coastal Union umemtangaza Kocha Msaidizi wa timu hiyo, Joseph Lazaro kusimamia timu kwa muda.