Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 859
- 1,012
Ni kama Simba sc haikwenda kushinda ule mchezo ila makosa ya wachezaji baadhi yakapekekea Simba sc kuondoka na ushindi,.
1. Baleke: Nimeona magoli aliyeshinda huyu jamaa nikama vile amekaidi kitu flani na hayakuusishwa sana na msaada wa wachezaji wengine.
Ni kama timu ilitaka kufungwa ila baleke hakuusishwa kwenye hilo swala au ameusishwa na amekaidi,.
Au hata jeuri tu aliyokuwa nayo,.
2. Mabeki wa Coastal union fc: mabeki walionyesha uzaifu mkubwa kiwango cha kushindwa Baleke kujizuia asishinde kuna wakati unawaona kabisa washambuliaji wa Simba sc kama hawahitaji kabisa kuwafunga Coastal union ila ila wanashindwa kwani mabeki wanaonyesha udhaifu mkubwa katika eneo lao.
Kuna mUda mpaka nawaza wenda hata mabeki kama hawajaambiwa kuwa hii gemu wacheze kwa namna gani,.
1. Baleke: Nimeona magoli aliyeshinda huyu jamaa nikama vile amekaidi kitu flani na hayakuusishwa sana na msaada wa wachezaji wengine.
Ni kama timu ilitaka kufungwa ila baleke hakuusishwa kwenye hilo swala au ameusishwa na amekaidi,.
Au hata jeuri tu aliyokuwa nayo,.
2. Mabeki wa Coastal union fc: mabeki walionyesha uzaifu mkubwa kiwango cha kushindwa Baleke kujizuia asishinde kuna wakati unawaona kabisa washambuliaji wa Simba sc kama hawahitaji kabisa kuwafunga Coastal union ila ila wanashindwa kwani mabeki wanaonyesha udhaifu mkubwa katika eneo lao.
Kuna mUda mpaka nawaza wenda hata mabeki kama hawajaambiwa kuwa hii gemu wacheze kwa namna gani,.