bartenderznz
JF-Expert Member
- Jul 18, 2016
- 398
- 195
Wekeni akiba ya maneno uchaguzi bado naona mnataka kumuapisha mapema hyo Trump safari bado ni ndefu
Mimi mwanamke lakini cheo kikubwa kama urais hapana ka kweli...!
Wanawake 95%hatuna uwezo wa kuhimili mikikimiki ya uongozi mkubwa kama huo
We huoni yule wa Brazil washamtema!
Na yule wa Liberia Kwa sababu tu ni Africa ingekua nchi zilizoendelea washamtema!
Tena taifa lenyewe kubwa America bora Trumph
Atajua mwenyewe Ila huo ndo ukweli hakuna usawa kati ya mwanaume na mwanamke hata siku mojaa![]()
![]()
![]()
![]()
Ngoja akusikie Ananilea Nkya
Uchaguzi bado sana kura halisi ndo zita amua.Wekeni akiba ya maneno uchaguzi bado naona mnataka kumuapisha mapema hyo Trump safari bado ni ndefu
HahahaAtajua mwenyewe Ila huo ndo ukweli hakuna usawa kati ya mwanaume na mwanamke hata siku mojaa
watapingana na asili ya binadamu na maumbile yake!You made my day mkuu.Wengine wale wa mlengo wa ki feminist watakupinga lkn hii ni fact.
Yes wamarekani na wao wapate nanii wao.Trump aongoze marekani
atashinda yule nna hakika Hilary sidhani yaani!Hahaha
Mi mwenyewe team Trump kwa kweli, japo kushinda ni kaz sana kwake
Actually raisi wa Mexico aliwaalika wote wawili. Trump akakubali mwaliko mara moja. Si unajua Hillary lazima afanye calculations kwanza.Wanaona mbali wameshaona Trump gonna win the election ndio mana Mexican President Enrique Pena Nieto alimpa compliment invitation na wamediscuss kuhusu swala la border wall uliona wapi rais wa nchi jirani anakutana na presidential candidate and addressing negotiations about the two countries as if Obama is dead.
Clinton has no more.
Nilikuwa natazama CNN poll, Trump anaongoza kwa 45% dhidi ya 43% za Hillary Clinton.
Lakini pia inaonyesha kwa categories zote I.e likely voters, registered voters, truth worthy leader etc Trump anaongoza. Kilichonishangaza pia ni kuwa katika category zote Hillary ameshuka sana baada ya Convetion. Na zaidi ya hapo ni spending ya Hillary ya 120 milioni kwenye ads wakati Trump ni 20 milioni tu Usd.
Kama trend ni hii hadi Novemba inawezekana tukashuhudia kisichotegemewa na wengi.
Cc nguruvi 3, BAK, Koba, kui
Sielewi sana hoja yako na mifano yako. Je, Queen Nzinga Mbandi wa Wambundu hapo kale? Je, Margareth Thatcher wa Waingereza? Tusemeje juu ya Golda Meijer wa Israel? nkMimi mwanamke lakini cheo kikubwa kama urais hapana ka kweli...!
Wanawake 95%hatuna uwezo wa kuhimili mikikimiki ya uongozi mkubwa kama huo
We huoni yule wa Brazil washamtema!
Na yule wa Liberia Kwa sababu tu ni Africa ingekua nchi zilizoendelea washamtema!
Tena taifa lenyewe kubwa America bora Trumph
Na yule wa Argentina unamwacha wapi..??Unamzungumziaje Magreth Thatcher, Julia Gillard, Angel Markel nk
Sawa kama hujaelewa Ila mi nshaeleza tayari...!!Sielewi sana hoja yako na mifano yako. Je, Queen Nzinga Mbandi wa Wambundu hapo kale? Je, Margareth Thatcher wa Waingereza? Tusemeje juu ya Golda Meijer wa Israel? nk
Remember that has happened only four times ni very rare tukio kama hiloAnaongoza popular vote ama pia kwenye electoral college including key states?
Remember Al Gore won the popular vote but lost the election to Dubya in 2000
The magic number is 270 electoral points
Yes wamarekani na wao wapate nanii wao.
Clinton hakwenda na jamaa alifanya hivyo ku neutralise tu target was getting Trump.DAT is normal,hata Clinton alialikwaa.. sema haiwez Ku trend kama ya trump