USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,664
Naona medie karibu zote duniani zipo live kwa watanzania wenzangu unaweza kujifunza kitu kwa local channel ITV wamejiunga na CNN wapo live.
Mnyukano ni kati ya Democratic wanao pigakura kumwondoa na Democratic wanapinga kumbakiza imekaa kimrengo zaidi ya kiuhalisia ni kama vile bongo tu.
Wawakilishi hutakiwa kujieleza kwa nini wamuondoe au wamuache
=====
Rais Donald Trump alifunguliwa mashtaka ya kuondolewa madarakani na Baraza la Wawakilishi Jumatano usiku, akituhumiwa kutumia madaraka yake ya urais vibaya kujinufaisha yeye mwenyewe na pia kuzuia juhudi za bunge kuchunguza vitendo vyake.
Katika kura ambapo kila upande wa chama uliegemea upande wake, Baraza la Wawakilishi linalodhibitiwa na Wademokrat lilipitisha vifungu viwili vya kumshtaki Trump, Mrepublikan, na hivyo kufanya awe rais wa tatu wa Marekani kufunguliwa mashtaka katika historia ya miaka 243 ya nchi hii.
Trump ambaye amekejeli tuhuma za mashtaka yaliyo funguliwa kumuondoa madarakani na kuwashambulia Wademokrat kwa kushinikiza hilo, hivi sasa kuna uwezekano wakukabiliwa na kesi mwezi Januari 2020, katika Baraza la Seneti.
Lakini Warepublikan waliowengi katika Baraza la Seneti inatarajiwa zaidi kutomuondoa madarakani, na hivyo kuwaachia wapiga kura kuamua juu ya hatma yake Trump wakati akiomba muhula wa pili kurejea White House katika uchaguzi mkuu Novemba inayokuja.
White House imetoa tamko mara tu baada kupigwa kura, inayosema, “Leo ndiyo kilele cha tukio la kuaibisha la kisiasa katika Baraza la Wawakilishi katika historia ya taifa letu. Imesema hatua hiyo ni “mashtaka ya uongo.”
Tamko hilo limeongeza kusema, “Rais anayakini kuwa Baraza la Seneti litarejesha hali ya kawaida, yenye haki, na mchakato wa sheria, vyote hivyo vilipuuziwa katika mjadala wa Baraza la Wawakilishi. Yuko tayari kwa hatua zinazofuata na hana shaka kuwa atakutikana hana makosa kabisa.”
Baraza la Wawakilishi lilijadili faida za kumfungulia Trump mashtaka ya kumuondoa madarakani kwa zaidi ya masaa sita kabla ya kupiga kura. Wawakilishi wa chama cha Demokrat waliendeleza suala la kufunguliwa mashtaka Trump.
Walikinzana na Warepublikan, wanaosema kuwa Trump hakufanya makosa yoyote katika juhudi zake za kushinikiza kwa kipindi cha mwezi mzima Ukraine ichunguze mmoja wa mahasimu wa kisiasa wa Trump wa chama cha Demokrat katika uchaguzi wa mwaka 2020, shughuli za kampuni ya gesi yenye tija ya Makamu wa Rais Joe Biden, mtoto wake Hunter Biden, na nadharia iliyojitokeza kuwa Ukraine iliingilia kati uchaguzi mkuu wa 2016 ambao Trump alishinda, ili kuhujumu kampeni yake.
Trump alimtaka Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amchunguze Biden katika mazungumzo ya simu mwishoni mwa Julai wakati ambapo alikuwa amezuilia kwa muda msaada wa kijeshi uliokuwa umetolewa kwa ajili ya Kyiv wenye thamani ya Dola za Marekani milioni 391 ambao mji wa Kyiv ulikuwa unataka utumike kusaidia kupambana na waasi wa nchi hiyo waliojitenga wanaosaidiwa na Russia huko Ukraine mashariki
Hatimaye Trump alitoa fedha hizo Septemba bila ya Zelenskiy kuanzisha uchunguzi dhidi ya Biden, hivyo Warepublikan walisema wakati wa majadiliano ndani ya Bunge kuwa ni ushahidi kwamba Trump alikuwa hajajihusisha na kitendo chochote cha kudai kufanyiwa fadhila na Ukraine kumchunguza Biden kama ni malipo ya msaada huo wa kijeshi.
Moja ya vifungu hivyo vya kumfungulia mashtaka kilichopitishwa na Baraza hilo kilimshutumu Trump kwa kutumia vibaya madaraka yake ya urais kwa kuomba fadhila kutoka serikali ya kigeni ya Ukraine, kufanya uchunguzi ili kumsaidia katika kinyang’anyiro cha uchaguzi dhidi ya Biden, ambaye anaongoza katika kura za maoni za Wademokrat kitaifa katika uchaguzi wa kumtafuta mteule wa urais atakaye pambana na Trump mwaka 2020.
Madai ya shtaka la pili yalisema Trump alizuia maelfu ya nyaraka zinazohusiana na Ukraine kuwasilishwa kwa wachunguzi wa Baraza la Wawakilishi waliokuwa wanamchunguza ili kufungua mshtaka ya kumuondoa madarakani na kisha aliwazuia maafisa muhimu ndani ya uongozi wake kuja kuhojiwa wakati wa wiki za majadiliano yaliyokuwa yanaendeshwa na kamati zilizokua zimedhibitiwa na Wademokrat yakijikita katika vitendo vya Trump vinavyohusiana na Ukraine.
=====
UPDATE:
Donald Trump on Wednesday evening became the third president in US history to be impeached. Here’s a timeline of how we got here.
And here are the next steps:
The selection of impeachment manager
The House speaker, Nancy Pelosi, must settle on a team, known as “impeachment managers”, to make the case against Trump in a Senate trial to begin next month. Prime candidates are Adam Schiff, the intelligence committee chair, and Jerry Nadler, the judiciary chair. Another name to have been floated: Justin Amash, the Michigan independent who broke with the Republican party over Trump. His presence on the slate would confer some bipartisan credibility on the Democrats’ case.
Referral of impeachment to the Senate
The transfer of impeachment from the House to the Senate is expected to happen in short order. But some Trump critics have urged Pelosi to consider not transferring the case immediately to the Senate, where the majority leader, Mitch McConnell, has made clear his wishes to dismiss the case without calling witnesses . But with Democrats mostly arguing that the impeachment case is urgent in order to stop Trump from striking again, stalling on the transfer could be difficult to justify.
The Senate trial (and likely acquittal)
McConnell has said the Senate will host a trial in January on whether to convict and remove Trump from office, as prescribed in the constitution. But McConnell and the minority leader, Chuck Schumer, have staked out opposing positions on the terms of the trial, including what witnesses will be called and evidence admitted. There is a bare-bones set of rules governing the process, but most of the substance is up for negotiation. The supreme court’s chief justice, John Roberts, is to preside at the trial and could rule to break certain logjams – or he might not.
A two-thirds majority of senators would be required to remove Trump from office. That’s not likely to happen, given Republicans’ 53-seat majority and senior party figures’ public statements that they plan on acquitting Trump.
Mnyukano ni kati ya Democratic wanao pigakura kumwondoa na Democratic wanapinga kumbakiza imekaa kimrengo zaidi ya kiuhalisia ni kama vile bongo tu.
Wawakilishi hutakiwa kujieleza kwa nini wamuondoe au wamuache
=====
Rais Donald Trump alifunguliwa mashtaka ya kuondolewa madarakani na Baraza la Wawakilishi Jumatano usiku, akituhumiwa kutumia madaraka yake ya urais vibaya kujinufaisha yeye mwenyewe na pia kuzuia juhudi za bunge kuchunguza vitendo vyake.
Katika kura ambapo kila upande wa chama uliegemea upande wake, Baraza la Wawakilishi linalodhibitiwa na Wademokrat lilipitisha vifungu viwili vya kumshtaki Trump, Mrepublikan, na hivyo kufanya awe rais wa tatu wa Marekani kufunguliwa mashtaka katika historia ya miaka 243 ya nchi hii.
Trump ambaye amekejeli tuhuma za mashtaka yaliyo funguliwa kumuondoa madarakani na kuwashambulia Wademokrat kwa kushinikiza hilo, hivi sasa kuna uwezekano wakukabiliwa na kesi mwezi Januari 2020, katika Baraza la Seneti.
Lakini Warepublikan waliowengi katika Baraza la Seneti inatarajiwa zaidi kutomuondoa madarakani, na hivyo kuwaachia wapiga kura kuamua juu ya hatma yake Trump wakati akiomba muhula wa pili kurejea White House katika uchaguzi mkuu Novemba inayokuja.
White House imetoa tamko mara tu baada kupigwa kura, inayosema, “Leo ndiyo kilele cha tukio la kuaibisha la kisiasa katika Baraza la Wawakilishi katika historia ya taifa letu. Imesema hatua hiyo ni “mashtaka ya uongo.”
Tamko hilo limeongeza kusema, “Rais anayakini kuwa Baraza la Seneti litarejesha hali ya kawaida, yenye haki, na mchakato wa sheria, vyote hivyo vilipuuziwa katika mjadala wa Baraza la Wawakilishi. Yuko tayari kwa hatua zinazofuata na hana shaka kuwa atakutikana hana makosa kabisa.”
Baraza la Wawakilishi lilijadili faida za kumfungulia Trump mashtaka ya kumuondoa madarakani kwa zaidi ya masaa sita kabla ya kupiga kura. Wawakilishi wa chama cha Demokrat waliendeleza suala la kufunguliwa mashtaka Trump.
Walikinzana na Warepublikan, wanaosema kuwa Trump hakufanya makosa yoyote katika juhudi zake za kushinikiza kwa kipindi cha mwezi mzima Ukraine ichunguze mmoja wa mahasimu wa kisiasa wa Trump wa chama cha Demokrat katika uchaguzi wa mwaka 2020, shughuli za kampuni ya gesi yenye tija ya Makamu wa Rais Joe Biden, mtoto wake Hunter Biden, na nadharia iliyojitokeza kuwa Ukraine iliingilia kati uchaguzi mkuu wa 2016 ambao Trump alishinda, ili kuhujumu kampeni yake.
Trump alimtaka Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amchunguze Biden katika mazungumzo ya simu mwishoni mwa Julai wakati ambapo alikuwa amezuilia kwa muda msaada wa kijeshi uliokuwa umetolewa kwa ajili ya Kyiv wenye thamani ya Dola za Marekani milioni 391 ambao mji wa Kyiv ulikuwa unataka utumike kusaidia kupambana na waasi wa nchi hiyo waliojitenga wanaosaidiwa na Russia huko Ukraine mashariki
Hatimaye Trump alitoa fedha hizo Septemba bila ya Zelenskiy kuanzisha uchunguzi dhidi ya Biden, hivyo Warepublikan walisema wakati wa majadiliano ndani ya Bunge kuwa ni ushahidi kwamba Trump alikuwa hajajihusisha na kitendo chochote cha kudai kufanyiwa fadhila na Ukraine kumchunguza Biden kama ni malipo ya msaada huo wa kijeshi.
Moja ya vifungu hivyo vya kumfungulia mashtaka kilichopitishwa na Baraza hilo kilimshutumu Trump kwa kutumia vibaya madaraka yake ya urais kwa kuomba fadhila kutoka serikali ya kigeni ya Ukraine, kufanya uchunguzi ili kumsaidia katika kinyang’anyiro cha uchaguzi dhidi ya Biden, ambaye anaongoza katika kura za maoni za Wademokrat kitaifa katika uchaguzi wa kumtafuta mteule wa urais atakaye pambana na Trump mwaka 2020.
Madai ya shtaka la pili yalisema Trump alizuia maelfu ya nyaraka zinazohusiana na Ukraine kuwasilishwa kwa wachunguzi wa Baraza la Wawakilishi waliokuwa wanamchunguza ili kufungua mshtaka ya kumuondoa madarakani na kisha aliwazuia maafisa muhimu ndani ya uongozi wake kuja kuhojiwa wakati wa wiki za majadiliano yaliyokuwa yanaendeshwa na kamati zilizokua zimedhibitiwa na Wademokrat yakijikita katika vitendo vya Trump vinavyohusiana na Ukraine.
=====
UPDATE:
Donald Trump on Wednesday evening became the third president in US history to be impeached. Here’s a timeline of how we got here.
And here are the next steps:
The selection of impeachment manager
The House speaker, Nancy Pelosi, must settle on a team, known as “impeachment managers”, to make the case against Trump in a Senate trial to begin next month. Prime candidates are Adam Schiff, the intelligence committee chair, and Jerry Nadler, the judiciary chair. Another name to have been floated: Justin Amash, the Michigan independent who broke with the Republican party over Trump. His presence on the slate would confer some bipartisan credibility on the Democrats’ case.
Referral of impeachment to the Senate
The transfer of impeachment from the House to the Senate is expected to happen in short order. But some Trump critics have urged Pelosi to consider not transferring the case immediately to the Senate, where the majority leader, Mitch McConnell, has made clear his wishes to dismiss the case without calling witnesses . But with Democrats mostly arguing that the impeachment case is urgent in order to stop Trump from striking again, stalling on the transfer could be difficult to justify.
The Senate trial (and likely acquittal)
McConnell has said the Senate will host a trial in January on whether to convict and remove Trump from office, as prescribed in the constitution. But McConnell and the minority leader, Chuck Schumer, have staked out opposing positions on the terms of the trial, including what witnesses will be called and evidence admitted. There is a bare-bones set of rules governing the process, but most of the substance is up for negotiation. The supreme court’s chief justice, John Roberts, is to preside at the trial and could rule to break certain logjams – or he might not.
A two-thirds majority of senators would be required to remove Trump from office. That’s not likely to happen, given Republicans’ 53-seat majority and senior party figures’ public statements that they plan on acquitting Trump.