Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,349
- 176,148
Isue sio uanamke wake.Kwa hiyo hamumkubali Mwanamke mwenzenu?
Isue sio uanamke wake.Kwa hiyo hamumkubali Mwanamke mwenzenu?
Unamzungumziaje Magreth Thatcher, Julia Gillard, Angel Markel nkMimi mwanamke lakini cheo kikubwa kama urais hapana ka kweli...!
Wanawake 95%hatuna uwezo wa kuhimili mikikimiki ya uongozi mkubwa kama huo
We huoni yule wa Brazil washamtema!
Na yule wa Liberia Kwa sababu tu ni Africa ingekua nchi zilizoendelea washamtema!
Tena taifa lenyewe kubwa America bora Trumph
Wako wachache wako strong kwenye uongozi na wako vizuri pia asili ya familia zao pia na misimamo ya nchi husikaUnamzungumziaje Magreth Thatcher, Julia Gillard, Angel Markel nk
Ni kweli Hispanics wanawazidi blacks kwa population hasa maeneo ya California Arizona New Mexico Texas lakini pia kwenye hayo maeneo trump nae ameonesha kuongoza kwenye primaries nyingi tuRAIA wa Mexico ambao ni wapiga kura ni wengi sana ....nchi marekani....
Mimi sidhani kuwa Mwanamke kunapunguza uwezo wako wa kuongoza, labda sana unaowaongoza wasikuamini.Wako wachache wako strong kwenye uongozi na wako vizuri pia asili ya familia zao pia na misimamo ya nchi husika
Kuongoza nchi kunahitaji karisma ya hali ya juu na akili kuliko hisia zako
Kwani kinachotegemewa ni kipi?Nilikuwa natazama CNN poll, Trump anaongoza kwa 45% dhidi ya 43% za Hillary Clinton.
Lakini pia inaonyesha kwa categories zote I.e likely voters, registered voters, truth worthy leader etc Trump anaongoza. Kilichonishangaza pia ni kuwa katika category zote Hillary ameshuka sana baada ya Convetion. Na zaidi ya hapo ni spending ya Hillary ya 120 milioni kwenye ads wakati Trump ni 20 milioni tu Usd.
Kama trend ni hii hadi Novemba inawezekana tukashuhudia kisichotegemewa na wengi.
Cc nguruvi 3, BAK, Koba, kui
Wale wanatawala kwa mkono wa chumaUnamzungumziaje Magreth Thatcher, Julia Gillard, Angel Markel nk
Kivipi Ukweli na uwajibikaji mkuu?Trump aingie tuanze kuishi kwa ukweli na Uwajibikaji
Toka mwanzo trump alionekana kuwakilisha mawazo alisi ya wamarekani so let's it happen
Taratibu mkuuUSA haitakuja kuongozwa na mwanamke hadi siku dunia inaisha
Mmmmmmhhh...hii ngumu kumeza!!! Bila shaka huja-take into regard a lot of factors associated with what you are referring to???ni rahisi marekani na NATO kumpiga urusi kijeshi kuliko h,clintoni kuwa rais wa marekani
Mwanamke kuwa juu ya mwanamke tena,mbona Ujerman,uingereza,philpines nk ,wanawake waliongoza\wanaongoza? Ila hata mm ni timu Trump,lowasa wa Marekani,jamaa anachukia unyonge na umaskini.HATA BIBLE IMEKATAZA MWANAMKE KUWA JUU YA MWANAUME
You made my day mkuu.Wengine wale wa mlengo wa ki feminist watakupinga lkn hii ni fact.Mimi mwanamke lakini cheo kikubwa kama urais hapana ka kweli...!
Wanawake 95%hatuna uwezo wa kuhimili mikikimiki ya uongozi mkubwa kama huo
We huoni yule wa Brazil washamtema!
Na yule wa Liberia Kwa sababu tu ni Africa ingekua nchi zilizoendelea washamtema!
Tena taifa lenyewe kubwa America bora Trumph
Mkuu umeshindwa kujiokoa mwenyewe?Labda atatuokoa na sisi huku tunaobandikwa makufuli midomoni.
Anaweza kuamka vibaya na kusema pombe iondoleweLabda atatuokoa na sisi huku tunaobandikwa makufuli midomoni.