CNN Poll: Trump anaongoza

CNN Poll: Trump anaongoza

Mimi mwanamke lakini cheo kikubwa kama urais hapana ka kweli...!
Wanawake 95%hatuna uwezo wa kuhimili mikikimiki ya uongozi mkubwa kama huo
We huoni yule wa Brazil washamtema!
Na yule wa Liberia Kwa sababu tu ni Africa ingekua nchi zilizoendelea washamtema!

Tena taifa lenyewe kubwa America bora Trumph
Unamzungumziaje Magreth Thatcher, Julia Gillard, Angel Markel nk
 
RAIA wa Mexico ambao ni wapiga kura ni wengi sana ....nchi marekani....
Ni kweli Hispanics wanawazidi blacks kwa population hasa maeneo ya California Arizona New Mexico Texas lakini pia kwenye hayo maeneo trump nae ameonesha kuongoza kwenye primaries nyingi tu

na saivi trump amevamia viongozi wa minorities na amegain momentum nzuri tu juzi alikua Detroit kwenye black church fulani na Ben Carson hii movement imeamsha hisia kubwa kwa people of colour kuonyesha support yao kwa trump. Kitu ambacho Clinton hawezi hata kuingia inner city na kuongea na black communities mpaka saivi.
 
Wako wachache wako strong kwenye uongozi na wako vizuri pia asili ya familia zao pia na misimamo ya nchi husika

Kuongoza nchi kunahitaji karisma ya hali ya juu na akili kuliko hisia zako
Mimi sidhani kuwa Mwanamke kunapunguza uwezo wako wa kuongoza, labda sana unaowaongoza wasikuamini.

Unaweza kufanya mlinganisho na akina Bokassa, Idd Amin, Hitler, Mobutu, Bongo nk. Walikuwa wanaume lakini madudu waliyofanya yameacha historia mbaya sana.
 
Nilikuwa natazama CNN poll, Trump anaongoza kwa 45% dhidi ya 43% za Hillary Clinton.

Lakini pia inaonyesha kwa categories zote I.e likely voters, registered voters, truth worthy leader etc Trump anaongoza. Kilichonishangaza pia ni kuwa katika category zote Hillary ameshuka sana baada ya Convetion. Na zaidi ya hapo ni spending ya Hillary ya 120 milioni kwenye ads wakati Trump ni 20 milioni tu Usd.


Kama trend ni hii hadi Novemba inawezekana tukashuhudia kisichotegemewa na wengi.

Cc nguruvi 3, BAK, Koba, kui
Kwani kinachotegemewa ni kipi?
 
Mimi mwanamke lakini cheo kikubwa kama urais hapana ka kweli...!
Wanawake 95%hatuna uwezo wa kuhimili mikikimiki ya uongozi mkubwa kama huo
We huoni yule wa Brazil washamtema!
Na yule wa Liberia Kwa sababu tu ni Africa ingekua nchi zilizoendelea washamtema!

Tena taifa lenyewe kubwa America bora Trumph
You made my day mkuu.Wengine wale wa mlengo wa ki feminist watakupinga lkn hii ni fact.
 
USA siamini kama wako tayari kupata rais mwanamke
 
Uzuri wa wapiga kura wa Marekani hufuatilia mambo na kuchanganua kabla ya kuamua hivyo the more wanavyopata infos za mgombea ndiyo wanavyobadili misimamo yao.

Hapa kwetu mtu anaamua miezi hata kumi kabla na habadilishi msimamo hata asikie mgombea huyo ni shoga na ushahidi ukawekwa.

Utasikia,"nitalipigia hata jiwe".
 
Back
Top Bottom