REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,918
- 14,894
Aligoma baada ya Trump kwenda she didn't even reply the request until Trump paid a visit alone firstly.Mexico walialikwa wote bt clinton akagoma kwenda
Aligoma baada ya Trump kwenda she didn't even reply the request until Trump paid a visit alone firstly.Mexico walialikwa wote bt clinton akagoma kwenda
Mimi si Mwanamke, tafadhali
babyy...!!poleee!!Mimi si Mwanamke, tafadhali
babyy...!!poleee!!
nakupendea hapo tu...!
nilikua nasoma ili nikishukie vizuri![]()
![]()
![]()
![]()
Baby wako haja nielewa tu, wala sikumaanisha alivo elewa

Mbona Kinyatta Amekutana Lowassa. Mkuu iyo sio sababu....inch nyingi ambazo ni maadui wa marekani hasa China, Russia wanapigia upatu ili Trump awe Rais.Wanaona mbali wameshaona Trump gonna win the election ndio mana Mexican President Enrique Pena Nieto alimpa compliment invitation na wamediscuss kuhusu swala la border wall uliona wapi rais wa nchi jirani anakutana na presidential candidate and addressing negotiations about the two countries as if Obama is dead.
Clinton has no more.
sasa hao asilimia 5 iliyobaki si ndo wanaweza...Mimi mwanamke lakini cheo kikubwa kama urais hapana ka kweli...!
Wanawake 95%hatuna uwezo wa kuhimili mikikimiki ya uongozi mkubwa kama huo
We huoni yule wa Brazil washamtema!
Na yule wa Liberia Kwa sababu tu ni Africa ingekua nchi zilizoendelea washamtema!
Tena taifa lenyewe kubwa America bora Trumph
tofauti na wanaumesasa hao asilimia 5 iliyobaki si ndo wanaweza...
Etii...eeehhh!!tell me more!!Katika uongozi wa thatcher wanawake wenzake ndo waliia zaidi, yule hakuwa kiongozi mzuri hata
Etii...eeehhh!!tell me more!!
Wache marekani na wao wajipatie dude lao.
![]()
tungemshukia kama mwewe.
Halafu baridi kali baby
let's go to sleep!Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenziee!!![]()
![]()
![]()
Nakupa hints tuu, ukitaka taarifa zaidi utalipia.
Kipindi chake mawaziri wanawake au viongozi wakubwa wanawake ndio walipungua kabisa ni kama alibaki mwenyewe tuu.
Alibadilisha sera nyingi za mama na mtoto, na kufanya hata upendeleo walio kuwa wanapata kupungua,
aliwadis wapigania haki za wanawake wa huko UK alikuwa anasema wanataka kukimbia majukumu yao ya u mama tuu.
Sera zake zilifanya hali ya uchumi kuwa ngumu na wanawake ndo waliumia zaidi