Mi ushindi nampa Trump,Clinton asubiri kwanza pembenii!!hilo liko wazi
Wako wachache wako strong kwenye uongozi na wako vizuri pia asili ya familia zao pia na misimamo ya nchi husika
Kuongoza nchi kunahitaji karisma ya hali ya juu na akili kuliko hisia zako
Isue sio uanamke wake.
Mexico walialikwa wote bt clinton akagoma kwendaWanaona mbali wameshaona Trump gonna win the election ndio mana Mexican President Enrique Pena Nieto alimpa compliment invitation na wamediscuss kuhusu swala la border wall uliona wapi rais wa nchi jirani anakutana na presidential candidate and addressing negotiations about the two countries as if Obama is dead.
Clinton has no more.
nimewahi soma sehemu nyingi sana watafiti wa kisiasa wanampa sana nafasi Trump ila najiuliza mbona ni mkorofi na anayezungumza maneno makali inakuwaje anakubalika dah siasa za wenzetu banaNilikuwa natazama CNN poll, Trump anaongoza kwa 45% dhidi ya 43% za Hillary Clinton.
Lakini pia inaonyesha kwa categories zote I.e likely voters, registered voters, truth worthy leader etc Trump anaongoza. Kilichonishangaza pia ni kuwa katika category zote Hillary ameshuka sana baada ya Convetion. Na zaidi ya hapo ni spending ya Hillary ya 120 milioni kwenye ads wakati Trump ni 20 milioni tu Usd.
Kama trend ni hii hadi Novemba inawezekana tukashuhudia kisichotegemewa na wengi.
Cc nguruvi 3, BAK, Koba, kui
Wanaona mbali wameshaona Trump gonna win the election ndio mana Mexican President Enrique Pena Nieto alimpa compliment invitation na wamediscuss kuhusu swala la border wall uliona wapi rais wa nchi jirani anakutana na presidential candidate and addressing negotiations about the two countries as if Obama is dead.
Clinton has no more.
Hao unaowasema sawa wameacha historian mbaya Ila Mwanamke bwana ni mwanamke tu tunaongozwa zaidi na mioyo + hisia mi siamini katika usawa kati ya mwanamke na mwanaume kwa kweli!Mimi sidhani kuwa Mwanamke kunapunguza uwezo wako wa kuongoza, labda sana unaowaongoza wasikuamini.
Unaweza kufanya mlinganisho na akina Bokassa, Idd Amin, Hitler, Mobutu, Bongo nk. Walikuwa wanaume lakini madudu waliyofanya yameacha historia mbaya sana.
Tena akishashinda huyo mbibi clinton asipewe hata ujumbe wa nyumba kumi

Najua kwamba mnakesha mkiomba ili bibie Clinton ashinde uraisi kwani Tutsi-hima supremacy in Rwanda, Uganda and DRC is well backed by Democrats!National polls hazikupi picha halisi tunajua kuna states like Texas, Oklahoma etc Trump hata asipopiga campaign atashida and same to Clinton in California or New York hahitaji kupiga campaign but guarantee she will win, state polls tena kwenye less than 10 states ndio zinaamua US president na zote Hillary anaongoza by far....Hillary Clinton is your next President
hawa pia walikuwa stable ktk uongozi lakin si ktk Taifa kubwa kama USAUnamzungumziaje Magreth Thatcher, Julia Gillard, Angel Markel nk
Katika uongozi wa thatcher wanawake wenzake ndo waliia zaidi, yule hakuwa kiongozi mzuri hataUnamzungumziaje Magreth Thatcher, Julia Gillard, Angel Markel nk