PostGE2025 CNN Evidence: Tanzania Police Killed Protestors

PostGE2025 CNN Evidence: Tanzania Police Killed Protestors

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Uchunguza kubain kwamba police waliwazuia madaktari wasiwatibu majeruhi, kuwapeleka mortuary wafiehuko ni ukatili uliopituliza.
Polisiccm wapora waleti simu za waliowaua ni unyama wa kutisha sana
 
🤣🤣🤣🤣 imeisha hiyo.

Gari limeshawaka. Saivi kilichobaki ni kila mtu kuandaa utetezi wake.

Ni ama wamuangushie jumba bovu bibi wa kizanzibari kuwa aliingiza mercenaries na silaha wao walikuwa hawajui au wakubali kuzama nae.
 
All these nonsensical justifications won't help anything comrade.

Hakuna namna mama yako ataepuka rungu la ICC kwa hiki alichokifanya, yaani uuwe watu zaidi ya 10,000 kwa kisingizio cha kwamba eti wanaharibu miundo mbinu ya umma, halafu utegemee dunia itakuelewa?

Hivi unafahamu hata sheria za kimataifa ambazo zinatoa guideline jinsi vyombo vya ulinzi vinavyopaswa kukabiliana na violent political demonstrations?

Hizo unazoziita vurugu dunia haitambui kama vurugu, bali inayatambua kama maandamano yaliyoambatana na fujo ambapo ni kawaida uharibifu kutokea, sasa nyie endeleeni na kusukuma hiyo narrative yenu eti "vurugu" mkiamini kwamba itawasaidia kuwatoa hatiani.

Uliwahi kuona wapi, "vurugu" zinatokea karibu nchi nzima tena kwa muda mmoja na tena siku ya uchaguzi? Kwanza kitendo tu cha lile tukio kutokea siku ya uchaguzi ni ngumu sana kulitenganisha na siasa, na tena ukizingatia hapo nyuma kumekuwepo na madai ya kubadilisha katiba kabla ya kuingia kwenye uchaguzi inaongeza uhalali kuwa yale yalikuwa ni maandamano ya kisiasa.

Haya maneno kama "vurugu".."vibaka" sijui "wezi" hili kuhalalisha mauaji ya halaiki mliyofanya yatabaki kwenye midomo ya nyie maccm.

Halafu kwanza kwanini uzime internet nchi nzima hili ukabiliane na hao vibaka!? Kwanin hutaki kutoa idadi kamili ya vifo ilihali uliowaua ni wahalifu? Kwanin uende kuwazika wahalifu kwa siri na wakati inatakiwa kila kitu kifanyike kihadhara hili iwe fundisho kwa wahalifu wengine..!?

Bana nyie na mama yenu hamchomoki kwenye hili.
Mandamano kikatiba kisheria ni haki ya wananchi, hakuna wa kuwazuia,
Kilichofanyika tarehe 29 ni Polisiccm kmkm na maccm kuwapiga watu Risasi hovyo majumbani mitaani na wakapora mali kuchoma vituo ili wapate kisingizio cha kufanya mangamizi, na kukamata watu hovyo wawabambikie kesi za uhaini wapate fursa za kuomba Rushwa kama ilivyokuwa sasa huko mwanza, Dar, Arusha watu wote waliokamatwa hawapewi dhamana mpaka watoe rushwa kuanzia miloni kwenda juu, ni wizi mpya, walipora mali na sasa wanawaibia pesa wana familia kupitia Rushwa, Ma-RPC wafukuzwe kazi na kufikishwa ICC mara moja
 
TBC1 wapo live wanaonyesha protestors walivyochoma shell za mafuta unaweza kwenda kuangalia.
Waliokuwa wakichoma shells kuiba vitu ni Polisiccm na maccm ili wapate kutengeneza visingizio vya kuwaua watu
 
Ma-ccm na Polisiccm, kmkm hawana pa kujificha ukweli wote upo wazi
 
Polisiccm wapora waleti simu za waliowaua ni unyama wa kutisha sana
Hii ni kweli, kuna ile video ya mochwari, kuna maiti zimevuliwa nguo, zipo na boxer tyuu.
😭😭😢😢
 
Sisi umoja wa Mashehe Mwitu tunasema "TUTAWAPIGA QUNUI KAMA SIO QULAULAU"
 
Hakukuwa maandamano bali kulikuwa na magenge ya wezi na waharibifu wa mali. Walichokipata kutoka kwenye nguvu ya dola wanastahili

Wanapaswa kuonyesha pia namna protesters walivyochoma miundombinu na kuiba mali za watu.

Sipo nyumbani kwa sasa, naweza kuwa na biased opinion
Issue sio protesters wamefanya nini, issue ni mauaji yaliyofanywa na vyombo vya ulinzi na usalama dhidi ya protesters.

Hata kama ni magenge ya wezi, Je sheria inaruhusu kuwaua?

Halafu vipi kuhusu waliouawa majumbani mwao? Vipi wale waliofuatwa majumbani mwao na kuuawa, vipi kuhusu waliokamatwa wazima na baadaye wameuawa?

Tusione ni kawaida kukumbwa jinamizi la mamlaka kujipa uhalali wa kuua watu kwa sababu yoyote ile.
 
CNN wanasema yule mama wa Arusha aliyevalia sweta la purple alikuwa n mjamzito wa miezi mitatu.

Manyonyo ameua mama na mtoto mchanga miezi mitatu tumboni.

Wakristo wenzangu em nikumbusheni kama kwenye Biblia kuna mahali shetani aliua mtoto.
 
Uchunguza kubain kwamba police waliwazuia madaktari wasiwatibu majeruhi, kuwapeleka mortuary wafiehuko ni ukatili uliopituliza.
Huu ulikuwa ni zaidi ya unyama kuliko hata kupiga risasi.

Tena naskia wale hao majeruhi walikuwa wanachukuliwa na hawajulikani walikuwa wanapelekwa wapi!, japo kuna watu wanasema walikuwa wanaenda kuzikwa hivyo hivyo kama walivyo.

Huyu mzanzibar hastahili kabisa kusamehewa hata iwe vipi.
 
CNN wanasema yule mama wa Arusha aliyevalia sweta la purple alikuwa n mjamzito wa miezi mitatu, manyonyo ameua mama na mtoto mchanga miezi mitatu tumboni.

Wakristo wenzangu em nikumbusheni kama kwenye Biblia kuna mahali shetani aliua mtoto.
 
Back
Top Bottom