imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,039
Hakuna haja ya kuchimba mashimo ambayo wao watakuja kuyafukia ili yawe makaburi yetu ya kudumuHatuwezi kupotea kirahisi hivyo tutachimba hata maandaki tuishi humo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia Mind yako vizuri hayo mahandaki yachimbe ndani ya Mind yako toa elimu kwa jamii yako inayokuzunguka mjue adui yako kwanza ndio utaielewa vita