matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,225
- 3,944
Kauli ya Babra Hassan ni ya kichochezi sana.
Babra ana sura nzito chachu mpaka mwenyewe anaogopa camera.
Kauli ya Babra Hassan ni ya kichochezi sana.
Babra ana sura nzito chachu mpaka mwenyewe anaogopa camera.
Nikiwa katika foleni kuelekea kuwajibika, napenda kusikiliza uchambuzi wa magazeti kutoka ktk radio tofauti tofauti.
Nimefungulia radio clouds, wakati Paul James (PJ) akichambua magazeti walipofikia kusoma habari ya Ukawa, Barbara Hassan akamwambia PJ hawa tuwapotezee maana wao wametupotezea.
Badala ya kurudi bungeni kusimamia tupate katiba nzuri wameamua kutupotezea basi nasi tusiwape kichwa tuwapotezee.
Kauli ambayo imeungwa mkono na PJ na Mbwiga na kuendelea kusoma habari zingine.
Hii inaonyesha ni kiasi gani wananchi wamekereka na ukawa waliokuwa wanawategemea kuleta changamoto kubwa ktk bunge la katiba hatimae kupata katiba nzuri.
Je maamuzi yao yametokana na uchanga wa uzoefu ktk siasa hasa katika mambo makubwa kubwa kama katiba kwa kutojua athari zake?
Au ni kususa baada ya kuona matumaini yao kuona yamepotea ya kuivunja Tanzania?
Maana kama ni kuleta machafuko hilo wasitegemee maana waTanzania hatujakulia katika mazingira hayo??
Nawasilisha.
Mkuu ungemalizia na mwili wake kama lijiguruwe.
Mdomo mrefu kama chupa kazi umbea tu kaa ukijua kuwa umbea hausaidii kitu hii ni redio ya watu hulazimishwi kuisikiliza kidampa wewe,kasome tanzania daima basi gazeti la mbowe.Clauds fm rasmi leo imetangaza rasmi kuwa ni radio ya ccm na sasa kuungana na radio uhuru na gazeti la uhuru kufanya kazi ya uenezi wa ccm. Akiongea katika kipindi cha power breakfast wanadai hawataangaza tena habari za ukawa. Hii ndio readi pekee inayojinadi kwa umbea na unafiki kama watu wasio na kazi za kufanya imejaa majungu na haina tija kwa jamii ya watanzania kila siku wenyewe kugombana na watu mara wasanii mara sijui wanasiasa mara vile sasa hawa jamaa wao taaluma yaop ni ugomvi tuu kila siku duu.
Ukawa wamewasaliti watanzania kwa kususa bunge kwanini watangazwe potezea mbali huko.Clouds wamesema habari yoyote ya Ukawa wataipotezea