Vianelly Vian
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 337
- 100
Kinachofanywa na clouds ni swala ambalo pengine serikali kupitia wizara ya kazi na vijana ingeweza kuwa imefanya. Lakini kwa wao kama private sector wamefanya uzalendo. Ndo maana Rais amewaunga mkono na kuwapongeza. Ile inayorushwa ni clip ya sauti ya rais akiwapongeza wakati wa kuhitimisha fursa. Sioni kama kuna ubaya wowote kufanya hivyo.
Uko sawa kabisa me naona ilikuwa ni vizuri kwa rais kuwaunga mkono kwani walichokifanya ni kizuri sana wameamsha hari kwa vijana sema kuna watu wamezaliwa kupinga kila kitu hata kama ni kizuri